21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Huko Lisbon “Sauti ya ngurumo ilisikiwa chini ya udongo, na bila kukawia baadae<br />

kishindo kikali kikaangusha sehemu kubwa ya mji ule. Katika mwendo wa dakika karibu<br />

sita watu elfu makumi sita wakaangamizwa. Bahari mara ikarudi, na ikaacha kivuko kikavu;<br />

na kurudi ndani yake, nakuinuka juu mita makumi tano ao <strong>za</strong>idi juu ya daraja lake la<br />

kawaida.”<br />

Tetemeko la inchi lilifanyika kwa sikukuu, wakati makanisa na nyumba <strong>za</strong> watawa<br />

zilijaa na watu, wachache sana tu waliokoka.” “Hofu ya watu ilikuwa ya kupita kiasi kwa<br />

kuiele<strong>za</strong>. Hakuna mtu aliyelia; hapakuwa na machozi mbele ya msiba kama huo.<br />

Wakakimbia huko na huko, wakipayuka payuka na hofu na mshangao, wakipiga nyuso <strong>za</strong>o<br />

na vifua, kulia, ` Mesericordia! Ni mwisho wa dunia?’ Wamama wakasahau watoto wao, na<br />

kukimbia njiani pamoja na sanamu <strong>za</strong> misalaba. Kwa bahati mbaya, wengi wakakimbilia<br />

kwa makanisa kutafuta kimbilio; lakini sacramenti iliwekwa kwa bure; kwa bure viumbe<br />

maskini walikumbatia ma<strong>za</strong>bahu; masanamu, mapadri, na watu wakazikwa katika uharibifu<br />

moja mbaya wa wote pamoja.”<br />

Kutiwa gi<strong>za</strong> kwa jua na Mwezi<br />

Miaka makumi mbili na tano baadaye ishara ingine iliotajwa katika unabii ikaonekana -<br />

Kutiwa gi<strong>za</strong> kwa jua na mwezi. Wakati wa kutimilika kwake kulionyeshwa kabisa katika<br />

mazungumzo ya Mwokozi na wanafunzi wake juu ya mlima wa Mizeituni. “Katika siku zile<br />

nbaada ya mateso yale, jua litatiwa gi<strong>za</strong>, na mwezi hautatoa nuru yake.” Marko 13:24. Siku<br />

1260, ao miaka, zilimalizika katika mwaka 1798, robo ya karne mbele, mateso yalikuwa<br />

karibu kuisha kabisa. Kufuata mateso haya, jua likatiwa gi<strong>za</strong>. Kwa tarehe 19 mai 1780,<br />

unabii huu ukatimilika.<br />

Shahidi aliyejionea kwa macho katika Massachusetts akaele<strong>za</strong> jambo hili kama<br />

ifuatavyo: “Wingu nzito sana likatawanyika juu ya mbingu nzima isipokuwa ukingo<br />

mwembamba juu ya upeo wa macho, na ilikuwa gi<strong>za</strong> kama inavyokuwa kwa kawaida saa<br />

tisa kwa majira ya baridi jioni... “Woga, mashaka, na hofu polepole vikajaa mioyoni mwa<br />

watu. Wanawake wakasimama mlangoni, kuta<strong>za</strong>ma juu ya kipande cha inchi ya gi<strong>za</strong>; watu<br />

wakarudi kutoka kazini mwao katika mashamba; sermala akaacha vyombo vyake, mhunzi<br />

kuacha kiwanda chake, mchuuzi kuacha me<strong>za</strong> yake. Vyuo vikafungwa, na kwa kutetemeka<br />

watoto wakakimbilia kwao. Wasafiri wakaenda kutafuta kimbilio karibu sana ya nyumba ya<br />

mashamba. “Ni kitu gani kita kuja?” Swali hili lilikuwa katika midomo yote na ndani ya<br />

moyo. Ilionekana kwamba zoruba kali ilitaka kupita inchini, ao siku ya maangamizi ya vitu<br />

vyote.<br />

“Mishumaa ikatumiwa, mioto ya nyumbani ikaanga<strong>za</strong> kwa mwanga<strong>za</strong> mwingi kama<br />

usiku wa wakati wa baridi, bila mwezi... Kuku wakatoka na kwenda kwa vituo vyao na<br />

kwenda kulala, mifugo ikakusanyika kwa fito <strong>za</strong> malisho na kulala, vyura vikalia, ndege<br />

wakaimba nyimbo <strong>za</strong>o <strong>za</strong> jioni, na popo wakaruka. Lakini watu walijua kwamba usiku<br />

ulikuwa haujafika bado...<br />

123

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!