21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wesley akatanga<strong>za</strong> umoja kamilifu wa sheria na injili. “Kwa upande moja sheria kwa<br />

kuendelea kutuongo<strong>za</strong> kwa injili, kwa ngambo ingine injili huendelea kutuwezesha kutimi<strong>za</strong><br />

utimilifu inafanya njia kuwa na sheria, kwa mfano, inatuamuru kumpenda Mungu, kupenda<br />

jirani wetu, kuwa wapole, wanyekevu ao watakatifu. Tukijisikia kwamba hatutoshi kwa<br />

mambo haya; ... lakini tunaona ahadi ya Mungu kutupatia upendo huo, na kutufanya<br />

wanyenyekevu, wapole, na watakatifu: tunashika injili hii, ya habari ya furaha: ... ` haki ya<br />

sheria hutimilika ndani yetu; kwa njia ya imani inayokuwa katika Yesu Kristo. ...<br />

“Katika daraja la juu sana <strong>za</strong> maadui wa injili ya Kristo,” akasema Wesley, “ni wale ...<br />

wanaofundisha watu kuvunja ... si moja tu, wala ndogo ao kubwa sana, bali amri zote kwa<br />

jumla. ... Wanamheshimu kama Yuda alivyofanya aliposema, `salamu, Rabi; akamubusu’ ...<br />

Hakuna namna ingine isipokuwa kumusaliti kwa kumubusu, kuzungum<strong>za</strong> juu ya damu<br />

yake, na kunyanganya taji lake; kuweka nuru kwa kila sehemu ya sheria yake, chini ya<br />

ujanja wa kuendesha injili yake.”<br />

Umoja wa Sheria na Injili<br />

Kwa wale wanaoshurtisha kwamba “hotuba ya injili hujibu vikomo vyote vya sheria,”<br />

Wesley akajibu: “Wajibu wa kwan<strong>za</strong> kabisa wa sheria, yaani, kusadikisha watu juu ya<br />

<strong>za</strong>mbi, kuamsha wale wangali katika usingizi kwa ukingo wa Gehena ya moto. ... Ni<br />

uwongo, basi kutoa mganga kwa wenye afya, ao wanaoji<strong>za</strong>nia wao wenyewe kuwa na afya.<br />

Inafaa kwan<strong>za</strong> kuwasadikisha kwamba wako wagonjwa, kama sivyo hawatakushukuru kwa<br />

kazi yako. Inakuwa vilevile uwongo kunena habari ya Kristo kwa wale ambao roho yao<br />

haijavunjika.”<br />

Na katika kuhubiri injili ya neema ya Mungu, Wesley kama Bwana wake, alitafuta<br />

“kutuku<strong>za</strong> sheria, na kuifanyi<strong>za</strong> kuwa na heshima.” Isaya 42:21. Matokeo yalikuwa ya<br />

utukufu aliyoruhusiwa kuona. Kwa mwisho wa juu nusu ya karne aliyotumia katika kazi,<br />

wafuasi wake wakahesabika <strong>za</strong>idi kuliko nusu ya milioni. Lakini wengi wa roho<br />

zilizoinuliwa kutoka kwa upotovu wa <strong>za</strong>mbi kwa maisha ya juu na safi hauwezi kamwe<br />

kujulikana hata jamaa lote la waliokombolewa wanapokusanyika katika ufalme wa Mungu.<br />

Maisha yake inaonyesha fundisho la thamani isiyohesabika kwa kila Mkristo.<br />

Ilipende<strong>za</strong> Mungu kwamba imani na unyenyekevu, juhudi isiyolegea, kujinyima na<br />

uchaji wa kweli wa mtumishi huyu wa Mungu yapate kurudisha nuru katika makanisa ya<br />

leo!<br />

106

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!