21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

katika Pahali patakatifu pa patakatifu mno, walita<strong>za</strong>ma sanduku ya agano lake. Kwa namna<br />

walivyojifun<strong>za</strong> fundisho la Pahali patakatifu walipata kufahamu badiliko la kazi ya<br />

Mwokozi, na wakaona kwamba alikuwa sasa anahudumia mbele ya sanduku la Mungu.<br />

Sanduku ndani ya hema duniani lilikuwa na vipande mbili vya mawe, ambapo sheria <strong>za</strong><br />

Mungu ziliandikwa. Wakati hekalu la Mungu lilifunguliwa mbinguni, sanduku ya agano<br />

lake ilionekana. Ndani ya Pahali patakatifu pa patakatifu mno mbinguni, sheria ya Mungu<br />

inatunzwa--sheria iliyosemwa na Mungu na kuandikwa kwa kidole chake juu ya vipande<br />

mbili vya mawe.<br />

Wale waliopata kufahamu maana yake waliona, <strong>za</strong>idi kuliko mbele, nguvu <strong>za</strong> maneno ya<br />

Mwokozi: “Hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja<br />

haitaondoka.” Matayo 5:18. Sheria ya Mungu, ambayo ni ufunuo wa mapenzi yake, andiko<br />

la tabia yake, inapaswa kudumu milele.<br />

Katika orodha ya Amri kumi kunakuwa amri ya Sabato. Roho ya Mungu ikaonyesha<br />

wale wanafunzi wa Neno lake lile kwamba walivunja kwa ujinga amri hii kwa kutojali siku<br />

ya pumziko ya Muumba. Wakaan<strong>za</strong> kuchungu<strong>za</strong> sababu ya kushika siku ya kwan<strong>za</strong> ya<br />

juma. Hawakuwe<strong>za</strong> kupata ushahidi wo wote kwamba amri ya ine iliondolewa mbali wala<br />

kwamba Sabato iligeuzwa. Wakatafuta kwa uaminifu kujua na kutenda mapenzi ya Mungu;<br />

sasa wakaonyesha uaminifu wao kwa Mungu kwa kushika Sabato yake takatifu.<br />

Nguvu mingi ilifanywa kwa kuangusha imani ya waamini wa Adventiste. Hakuna mtu<br />

aliwe<strong>za</strong> kushindwa kuona kwamba ukubali ule wa kweli juu ya Pahali patakatifu pa<br />

mbinguni unahusika na haki <strong>za</strong> sheria ya Mungu na Sabato ya amri ya ine. Hapa kulikuwa<br />

na siri ya upin<strong>za</strong>ni uliokusudiwa juu ya maelezo wazi ya umoja wa Maandiko yanayofunua<br />

huduma ya Kristo ndani ya Pahali patakatifu pa mbinguni. Watu wakatafuta kufunga<br />

mlango ambao Mungu alifungua, na kufungua mlango ambao aliufunga. Lakini Kristo<br />

alifungua mlango wa huduma ya Pahali patakatifu pa patakatifu. Amri ya ine ilikuwa ndani<br />

katika sheria iliyotunzwa pale.<br />

Wale waliokubali nuru juu ya upatanisho wa Kristo na sheria ya Mungu wakaona<br />

kwamba haya yalikuwa kweli ya Ufunuo 14, ambayo ni onyo la mara tatu kwa kutayarisha<br />

wakaaji wa dunia kwa ajili ya kuja kwa Bwana mara ya pili. (Ta<strong>za</strong>ma mwisho wa kitabu,<br />

Nyongezo). Tangazo “Saa ya hukumu yake imekuja “linatanga<strong>za</strong> kweli ambayo inapaswa<br />

kutangazwa hata upatanisho wa Mwokozi utakapoisha na atarudi kuchukua watu wake<br />

kwake mwenyewe. Hukumu ambayo ilian<strong>za</strong> katika mwaka 1844 inapaswa kuendelea hata<br />

kesi <strong>za</strong> wote zinapokwisha kukatwa, wote wahai na waliokufa; kwa sababu hiyo itaenea hata<br />

kwa kufungwa kwa rehema ya wanadamu.<br />

Ili watu waweze kujitayarisha kusimama katika hukumu, ujumbe unawaagi<strong>za</strong> kuogopa<br />

Mungu, na kumutuku<strong>za</strong>,” na kumwabudu yeye aliyefanya mbingu, na dunia na bahari na<br />

chemchemi <strong>za</strong> maji.” Matokeo ya kukubali kwa ujumbe huu wa malaika watatu unatolewa:<br />

182

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!