21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kweli, wapate kuokolewa,” wataachwa kupokea “nguvu ya upotevu, hata waamini uwongo.”<br />

2 Watesalonika 2:9-11. Hata muungano wa kanisa pamoja na dunia utakapotimia kabisa<br />

ndipo kuanguka kwa Babeli kutakuwa kamili. Mabadiliko ni ya kidogo kidogo na kutimilika<br />

kamili kwa Ufunuo 14:8 kunakuwa kwa wakati ujao.<br />

Bila kuta<strong>za</strong>ma gi<strong>za</strong> ya kiroho inayokuwa katika makanisa yanaosimamisha Babeli,<br />

wengi wa wanafunzi wa kweli wa Kristo wangali wanapatikana katika ushirika wao. Wengi<br />

hawajaona kamwe kweli <strong>za</strong> kipekee kwa ajili ya wakati huu. Wengi ni wale wanaotamani<br />

nuru kamili <strong>za</strong>idi. Wanata<strong>za</strong>ma bila kuona sura ya Kristo katika makanisa ambamo<br />

wanaambatana nayo.<br />

Ufunuo 18 huonyesha wakati ambao watu wa Mungu ambao wakingali katika Babeli<br />

wataitwa kujitenga kwa ushirika wake. Ujumbe huu, wa mwisho unaopaswa kutolewa kwa<br />

dunia, itatenda kazi yake. Nuru ya kweli itaanga<strong>za</strong> juu ya wote ambao mioyo yao<br />

inafunguliwa kwa kuipokea, na wana wote wa Bwana wanaokuwa katika Babeli watasikia<br />

mwito: “Tokeni kwake, watu wangu.” Ufunuo 18:4.<br />

162

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!