21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

utii. Maisha ya Wesley ilitolewa kuwa wakfu kwa kuhubiri kweli kubwa aliyoyakubali--<br />

kuhesabiwa haki kwa njia ya imani katika damu ya kafara ya Kristo, na uwezo mpya wa<br />

Roho Mtakatifu kwa moyo, kuendelea kuleta matunda katika maisha yanayofanana kwa<br />

mfano wa Kristo.<br />

Whitefield na Wesleys wawili waliitwa kwa wakati ule “Methodistes” na wanafunzi<br />

wen<strong>za</strong>o wabaya -jina ambalo kwa wakati huu lina<strong>za</strong>niwa kuwa la heshima. Roho Mtakatifu<br />

aliwalazimisha kuhubiri Kristo na Yeye aliyesulubiwa. Maelfu waliogeuka kwa kweli.<br />

Ilikuwa ni lazima kwamba kondoo hizi zilindwe kutoka mbwa mwitu wenye wazimu.<br />

Wesley hakuwa na wazo la kuanzisha dini lingine, lakini aliwatengene<strong>za</strong> chini ya kile<br />

kilichoitwa mwunganisho wa Methodiste.<br />

Ulikuwa ushindani wa siri na taabu ya uin<strong>za</strong>ni ambayo wahubiri hawa walipambana<br />

nayo kwa kuanzisha kanisa--kwani kweli ilikuwa na mwingilio mahali milango labda<br />

ingedumu kuendelea yenye kufungwa. Wakuu wengine wa dini wakaamka kwa mshangao<br />

wa tabia yao na wakawa wahubiri wa juhudi katika mitaa yao wenyewe.<br />

Kwa wakati wa Wesley, watu wa vipawa mbalimbali hawakulinganisha kila sehemu ya<br />

mafundisho ya dini. Tofauti kati ya Whitefield na Wesleys wawili ilitisha wakati moja<br />

kuleta fitina, lakini kwa namna walijifun<strong>za</strong> upole katika chuo cha Kristo, uvumilivu na<br />

upendo vikawapatanisha. Hawakuwa na wakati wa kubishana, wakati ambao makosa na<br />

maovu yalijaa pote.<br />

Wesley Anaepuka Kifo<br />

Watu wa mvuto wakatumia uwezo wao kinyume chao. Wakuu wengi wa kanisa<br />

wakaonyesha uchuki, na milango ya makanisa ikafungwa juu ya imani safi. Padri,<br />

akiwalaumu juu ya mimbara, akachochea watu wajinga wa gi<strong>za</strong> na waovu. Mara na mara<br />

Wesley akaepuka kifo kwa muuji<strong>za</strong> wa uhuruma ya Mungu. Wakati ilionekana kwamba<br />

hakuna njia ya kuepuka, malaika katika umbo la kibinadamu alikuja upande wake na kundi<br />

lilianguka na mtumishi wa Kristo akapita katika usalama kutoka hatarini.<br />

Kwa ajili ya ulinzi wake, mojawapo wa matukio hayo, Wesley akasema: “Ingawa wengi<br />

walijaribu kukamata ukosi wa shingo yangu ao mavazi, kuniangusha, hawakuwe<strong>za</strong> kufunga<br />

kamwe: ila mmoja tu alishika upindo wa kisibau changu ambacho kikabaki mara mkononi<br />

mwake; na upindo mwengine, ndani ya mfuko ambao ulikuwamo noti ya benki, ilipasuka<br />

lakini nusu yake. ... Mtu wa nguvu nyuma yangu akanipiga mara nyingi, na fimbo kubwa ya<br />

mti wa Ulaya (che ne); ambayo kama angalinipaga mara moja tu kwa upande wa nyuma wa<br />

kichwa changu, ingalikuwa ni mwisho wangu. Lakini kila mara, pigo likapotoka, sijui<br />

namna gani; kwani sikuwe<strong>za</strong> kwenda kuume wala kushoto.”<br />

Wamethodiste wa siku ile walivumilia kicheko na mateso, mara nyingi mauaji. Kwa<br />

nyakati zingine, matangazo kwa watu wote libandikwa, kuita wale waliotaka kuvunja<br />

madirisha na kunyanganya katika nyumba <strong>za</strong> Wamethodiste ili wakusanyike kwa wakati<br />

104

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!