21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kikatoa nguvu kubwa kwa masingizio yake. Akashawishi wengi kuungana pamoja naye<br />

katika uasi.<br />

Uchuki Ukasitawishwa Katika Uasi wa Juhudi<br />

Mungu katika hekima yake akaruhusu Shetani kuendelea na kazi yake, hata roho ya<br />

uchuki ikasitawishwa katika uasi. Ilikuwa ni lazima kwa mashauri yake kuendelea kabisa, ili<br />

tabia yake ya kweli iweze kuonekana kwa wote. Lusifero alikuwa mwenye kupendwa sana<br />

na viumbe vya mbinguni, na mvuto wake juu yao ulikuwa wa nguvu. Serkali ya Mungu<br />

haikuhusikana tu na wakaaji wa mbinguni, lakini kwa dunia zote alizoziumba; na Shetani<br />

akafikiri kwamba kama akiwe<strong>za</strong> kuchukua malaika pamoja naye katika uasi, angewe<strong>za</strong><br />

kuchukua vilevile dunia zingine. Kutumia madanganyo na werevu, uwezo wake kwa<br />

kudanganya ulikuwa mkubwa sana. Hata Malaika waaminifu hawakuwe<strong>za</strong> kabisa kutambua<br />

tabia yake wala kuona ni kitu gani kazi yake ilikuwa ikiongo<strong>za</strong>.<br />

Shetani alikuwa akiheshimiwa sana, na matendo yake yote kuvikwa sana na siri, mpaka<br />

ilikuwa vigumu kuonyesha kwa malaika tabia ya kweli ya kazi yake. Hata ilipositawi<br />

kabisa, <strong>za</strong>mbi haikuonyesha kitu kibaya kilichokuwako. Viumbe vitakatifu havikuwe<strong>za</strong><br />

kutambua matokeo ya kuweka kando sheria ya Mungu. Shetani mwanzoni alisema alikuwa<br />

anatafuta kuendelesha heshima ya Mungu na uzuri wa wakaaji wote wa mbinguni.<br />

Katika mipango yake juu ya <strong>za</strong>mbi, Mungu aliwe<strong>za</strong> kutumia tu haki na kweli. Shetani<br />

aliwe<strong>za</strong> kutumia mambo ambayo Mungu hakuwe<strong>za</strong> kutumia--uongo na werevu. Tabia ya<br />

kweli ya mnyanganyi ilipashwa kufahamiwa na wote. Alipashwa kuwa na wakati<br />

kujionyesha mwenyewe kwa kazi <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> uovu.<br />

Ugomvi ambao alianzisha yeye mwenyewe mbinguni, Shetani aliuwekea juu ya Mungu.<br />

Uovu wote aliutanga<strong>za</strong> kuwa matokeo ya utawala wa Mungu. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima<br />

kwamba aonyeshe wazi matokeo ya makusudi yake ya kugeu<strong>za</strong> sheria ya Mungu. Kazi yake<br />

mwenyewe ilipashwa kumuhukumu. Viumbe vyote vya ulimwengu vilipashwa kuona<br />

mdanganyi kufunuliwa.<br />

Hata wakati ilipokusudiwa kwamba hawezi tena kudumu mbinguni, Mungu wa hekima<br />

isiyokuwa na mwisho hakumuangami<strong>za</strong> Shetani. Utii wa viumbe vya Mungu unapashwa<br />

kuwa juu ya sadikisho la haki yake. Wakaaji wa mbinguni na wa dunia zingine, walipokuwa<br />

bila kujitayarisha kufahamu matokeo ya <strong>za</strong>mbi, hawakuwe<strong>za</strong> basi kuona haki na rehema ya<br />

Mungu katika maangamizi ya Shetani. Kama angaliangamizwa mara moja, wangemtumikia<br />

Mungu kwa hofu kuliko kwa upendo. Mvuto wa mdanganyi haungeharibiwa kabisa, wala<br />

roho ya uasi kungolewa kabisa. Kwa faida ya viumbe vyote katika vi<strong>za</strong>zi vyote, Shetani<br />

alipashwa kuendelesha kabisa kanuni <strong>za</strong>ke, kwamba mashambulio yake juu ya mamlaka ya<br />

Mungu yapate kuonekana katika nuru yake ya kweli kwa viumbe vyote vilivyoumbwa.<br />

Uasi wa Shetani ulipashwa kuwa kwa viumbe vyote ushuhuda kwa matokeo ya<br />

kuogopesha ya <strong>za</strong>mbi. Kanuni yake ingeonyesha matunda ya kuweka kando mamlaka ya<br />

209

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!