21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

roho zinapochungu<strong>za</strong>, “Nifanye nini nipate kuokolewa?” anakuwa pale kupiganisha uwezo<br />

wake kupinga Kristo pia na kupinga mvuto wa Roho Mtakatifu.<br />

Kwa wakati moja wakati malaika walipokuja kujionyesha wao wenyewe mbele ya<br />

Bwana, Shetani akakuja vilevile miongoni mwao, si kwa ajili ya kuinama mbele ya Mfalme<br />

wa Milele, lakini kuharakisha makusudi yake maovu ya kushindana na wenye haki.<br />

Uta<strong>za</strong>me Yobu 1:6. Yeye anahuzuria wakati watu wanapoabudu, kutumika kwa juhudi<br />

kutawala mawazo ya wanaoabudu. Kwa namna anavyoona mjumbe wa Mungu kutafuta<br />

Maandiko, anaandika yote juu ya fundisho litakalofundishwa. Ndipo anatumia werevu wake<br />

na akili ili habari isiweze kufikia wale ambao anawadanganya kwa jambo halisi lile. Yule<br />

anayehitaji onyo <strong>za</strong>idi atashurutishwa katika kazi ya jambo fulani ao kwa njia ingine atapata<br />

kizuizi kwa kusikia neno.<br />

Shetani anaona watumishi wa Mungu wakilemewa kwa sababu ya gi<strong>za</strong> inayofunika<br />

watu. Anasikia maombi yao kwa ajili ya neema ya Mungu na uwezo kwa kuvunja mvuto wa<br />

ubaridi na uvivu. Halafu kwa nguvu mpya anajaribu watu kwa anasa ya tamaa ao<br />

kujifurahisha, na kwa hivyo anaua akili <strong>za</strong>o ili washindwe kusikia mambo kabisa<br />

wanayohitaji <strong>za</strong>idi kujifun<strong>za</strong>.<br />

Shetani anajua kwamba wote wanao<strong>za</strong>rau maombi na Maandiko watashindwa kwa<br />

mashambulio yake. Kwa hiyo anavumbua kila kitu cha kuvuta moyo. Wasaidizi wake wa<br />

mkono wa kuume wanakuwa na juhudi siku zote wakati Mungu anakuwa kwa kazi.<br />

Wataonyesha watumishi wa kweli wa Kristo wenye kujikana kama wanaodanganywa ao<br />

wanaodanganya. Ni kazi yao kusingizia makusudi ya kila tendo bora, kuene<strong>za</strong> mambo ya<br />

kuchongea, na kuamsha mashaka katika mioyo ya wajinga. Lakini inawe<strong>za</strong> kuonekana upesi<br />

wanakuwa watoto wa nani, ambao mfano ni wa nani wanaoufuata, na wanafanya kazi ya<br />

nani. “Mutawatambua kwa njia ya matunda yao.” Matayo 7:16; uta<strong>za</strong>me vilevile Ufunuo<br />

12:10.<br />

Kweli Inatakasa<br />

Mdanganyi mkubwa anakuwa na wazushi wengi waliofanywa tayari kupende<strong>za</strong> onjo<br />

mbalimbali ya wale ambao angeharibu. Ni mpango wake kuleta ndani ya kanisa watu<br />

wasiofaa, wasiogeu<strong>za</strong> wale watakaoshawishi mashaka na kutoamini. Wengi wasiokuwa na<br />

imani kamili katika Mungu wanakubali kanuni zingine <strong>za</strong> kweli na wanajifanya kuwa<br />

Wakristo, na kwa hivi wanawezeshwa kuingi<strong>za</strong> kosa kama mafundisho ya maandiko.<br />

Shetani anajua kwamba kweli, iliyokubaliwa katika upendo, inatakasa nafsi. Kwa hiyo<br />

anatafuta kubadilisha maelezo ya uwongo, mifano, injili ingine. Tangu mwanzo, watumishi<br />

wa Mungu wamebishana juu ya waalimu wa uwongo, si kama watu wabaya tu, bali kama<br />

wenye kufundisha uwongo wa kufisha kwa nafsi. Elia, Yeremia, Paulo, kwa nguvu<br />

walipinga wale waliokuwa wakigeu<strong>za</strong> watu kutoka kwa Neno la Mungu. Ule uhuru ambao<br />

unaangaliarau imani kamili hafifu haikupata nafasi kwa hawa watetezi watakatifu wa kweli.<br />

217

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!