21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ukageuzwa kuwa kwa hali ya mapatano ya adabu ya hivi hivi tu ya mda, na kwamba watu<br />

wawili wanawe<strong>za</strong> kuunga na kuvunja kwa mapenzi. ... Sophie Arnoult, mtendaji wa kike wa<br />

sifa kwa mambo ya kuchekesha akasema, akaele<strong>za</strong> kuwa ndoa ya serkali ni kama<br />

`sakramenti ao siri ya uzinzi.’”<br />

Uadui Juu ya Kristo<br />

“Mahali pia Bwana wetu alisulibiwa.” Jambo hili vile vile lilitimilika kwa Ufransa.<br />

Hakuna inchi ambayo ukweli ulikutana na upin<strong>za</strong>ni wa ukaidi kama Ufransa. Katika mateso<br />

iliyozuriwa kwa washahidi wa injili, Ufransa ulisulibisha Kristo katika mwili wa wanafunzi<br />

wake.<br />

Karne kwa karne damu ya watakatifu ilikuwa ikimwangika. Huku Wawaldense<br />

(Vaudois) walitoa maisha yao kwa milima ya Piedmont (kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu<br />

Kristo,” ushuhuda wa namna ile ile uliochukuliwa na Albigeois wa Ufransa. Wanafunzi wa<br />

Matengenezo waliouawa kwa mateso ya ajabu. Mfalme na wakuu, wanawake wa ki<strong>za</strong>zi cha<br />

juu na wabinti wazuri walishibisha macho kwa maumivu makuu ya wafia dini wa Yesu.<br />

Wahuguenots washujaa walimwaga damu yao pahali pa mapigano makali, kuwindwa kama<br />

wanyama wa mwitu.<br />

Wa<strong>za</strong>o wachache wa Wakristo wa <strong>za</strong>mani waliobaki kwa karne ya kumi na nane<br />

wakajificha katika milima ya Kusini, wakalinda imani ya mababa <strong>za</strong>o. Wakatembea kwa<br />

shida kwa maisha marefu ya utumwa ndani ya mashua ya vita (galères). Watu wa malezi<br />

safi sana na wenye akili wa Ufransa waliishi katika minyororo, katika mateso mabaya sana,<br />

kati ya wanyanganyi na wauaji. Wengine wakapigwa risasi na kuanguka katika damu ya<br />

baridi wanapoanguka kwa magoti yao katika sala. Inchi yao, ikateketezwa kwa upanga,<br />

shoka, na kwa moto, “ikageuka kuwa jangwa kubwa, la gi<strong>za</strong>.” “Mambo haya mabaya sana<br />

yakaendelea ... katika nyakati zisizokuwa <strong>za</strong> gi<strong>za</strong> bali katika wakati wa nuru wa Louis XIV.<br />

Elimu iliongezeka, vitabu ao maarifa yakaendelea vizuri, walimu wa elimu ya tabia na sifa<br />

<strong>za</strong> Mungu wa bara<strong>za</strong> ya hukumu na wa mji mkuu walikuwa wenye maarifa (savants) na<br />

wasemaji, wakavutwa na neema ya upole na upendo.”<br />

Uovu Mbaya Sana Kupita Mengine<br />

Lakini uovu mbaya <strong>za</strong>idi miongoni mwa matendo maovu ya karne <strong>za</strong> kutisha ilikuwa<br />

machinjo ao mauaji matakatiifu ya SaintBartheiemy. Chini ya mkazo wa mapadri na<br />

maaskofu, mfalme wa Ufransa akatoa ukubali wake. Kengele kulia katika ukimya wa usiku,<br />

ikatoa ishara ya mauaji. Maelfu ya Waprotestanti, walipokuwa wakilala nyumbani mwao,<br />

wakitumaini neno la heshima la mfalme wao, wakakokotwa na kuuawa.<br />

Machinjo yakaendelea kwa siku saba katika Paris. Kwa agizo la mfalme mauaji<br />

yakaenea kwa miji yote mahali Waprotestanti walikuwako. Wakuu na wakulima, wazee na<br />

vijana, wamama na watoto, wakachinjwa pamoja. Katika Ufransa po pote kulikuwa nafsi<br />

70.000 <strong>za</strong> ua la taifa wakauawa.<br />

109

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!