21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Watengene<strong>za</strong>ji nafasi ya kujibu. “Wakatuma ujumbe kusihi mfalme arudi : Akajibu tu, “Ni<br />

jambo lilokwisha kukatwa; kutii ni kitu tu kinachobaki.”<br />

Watu wa kundi la mfalme wakajisifu wenyewe kwamba sababu ya mfalme na Papa<br />

ilikuwa na nguvu, na kwamba ile ya Watengene<strong>za</strong>ji ni <strong>za</strong>ifu. Kama Watengene<strong>za</strong>ji<br />

wangetumainia usaada wa mtu tu, wangalikuwa wa<strong>za</strong>ifu kama walivyo <strong>za</strong>niwa na wafuasi<br />

wa Papa. Lakini wakaita “kutoka kwa taarifa la bara<strong>za</strong> kuelekea Neno la Mungu, na badala<br />

ya mfalme Charles, kwa Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Kama<br />

vile Ferdinand alivyokataa kujali nia <strong>za</strong> <strong>za</strong>miri yao, watawala wakakusudia bila kujali<br />

kukosekana kwake, bali kuleta ushuhuda wao mbele ya bara<strong>za</strong> la taifa bila kukawia.<br />

Tangazo la heshima likaandikwa na kuwekwa kwa mkutano:<br />

“Tunashuhudia kwa wanaokuwa hapa ... kwamba sisi, kwa ajili yetu na kwa ajili ya watu<br />

wetu, hatukubali wala kupatana katika namna yote kwa amri iliyokusudiwa, katika kila kitu<br />

kinachokuwa kinyume kwa Mungu, kwa Neno lake takatifu, kwa <strong>za</strong>miri yetu ya haki, kwa<br />

wokovu wa roho zetu ... kwa sababu hii tunakataa utumwa ambao unaotwikwa juu yetu. ...<br />

Na vilevile tunakuwa katika matumaini kwamba utukufu wake wa kifalme utatenda mbele<br />

yetu kama mfalme Mkristo anayempenda Mungu kupita vitu vyote; na tunatanga<strong>za</strong> sisi<br />

wenyewe kuwa tayari kulipa kwake, na kwenu pia, watawala wa neema, upendo wote na<br />

utii unavyokuwa wajibu wetu wa haki na wa sheria.”<br />

Wengi wakajaa na mshangao na mshituko wa hofu kwa ushujaa wa washuhuda. Fitina,<br />

ushindano, na kumwaga damu ilionekana bila kuepukwa. Lakini Watengene<strong>za</strong>ji, katika<br />

kutumainia silaha ya mamlaka Kuu, walikuwa wenyekujazwa na “uhodari tele na ujasiri.”<br />

“Kanuni zilizokuwa katika ushuhuda huu wa sifa ... ilianzisha msingi kabisa wa<br />

Kiprotestanti. ... Kiprotestanti kinatia uwezo wa <strong>za</strong>miri juu ya muhukumu na mamulaka ya<br />

Neno la Mungu juu ya kanisa linaloonekana ... Husema pamoja na manabii na mitume<br />

“Imetupasa kutii Mungu kuliko mwanadamu. Kuwako kwa taji la Charles V kiliinua taji la<br />

Yesu Kristo.” Ushuhuda wa Spires ulikuwa ushuhuda wa heshima juu ya ushupavu wa dini<br />

na madai ya haki ya watu wote kwa kuabudu Mungu kwa kupatana na <strong>za</strong>miri <strong>za</strong>o wenyewe.<br />

Maarifa ya Watengene<strong>za</strong>ji bora hawa yanakuwa na fundisho kwa ajili ya vi<strong>za</strong>zi vyote<br />

vinavyofuatana. Shetani angali anapinga Maandiko yaliyofanywa kuwa kiongozi cha<br />

maisha. Kwa wakati wetu kuna haja ya kurudi kwa kanuni kubwa ya ushuhuda--Biblia, na<br />

ni Biblia peke, kama kiongozi cha amri ya imani na kazi. Shetani angali anatumika kwa<br />

kuharibu uhuru wa dini. Uwezo wa mpinga Kristo ambao washuhuda wa Spires walikataa<br />

sasa unatafuta kuanzisha mamlaka yake iliyopotea.<br />

Makutano Huko Augsburg<br />

Watawala wa injili walinyimwa kusikiwa na Mfalme Ferdinand, lakini kwa kutuli<strong>za</strong><br />

magomvi yaliyosumbua ufalme, Charles V katika mwaka uliofuata Ushuhuda wa Spires<br />

81

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!