21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Ni wajibu wetu kuzuia maangamizi na aibu ya watu wetu. Kwa sababu hiyo sisi wote<br />

pamoja tunakuomba kwa unyenyekevu sana, lakini kwa namna ya haraka sana, kuagi<strong>za</strong><br />

matengenezo ya mambo yote na kufanya itimilike.”<br />

Luther Anaamuriwa Kufika Bara<strong>za</strong>ni<br />

Bara<strong>za</strong> sasa likaomba kuonekana kwa Mtengene<strong>za</strong>ji. Mwishowe mfalme akakubali, na<br />

Luther akaalikwa. Mwito ukafwatana na ruhusa ya kusafiri salama. Hati hizo mbili<br />

zikapelekwa Wittenberg na mjumbe aliyeagizwa kumusindiki<strong>za</strong> Worms.<br />

Kujua chuki na uadui juu yake, rafiki <strong>za</strong> Luther waliogopa kwamba cheti cha kusafiri<br />

salama hakitaheshimiwa. Akajibu: “Kristo atanipa Roho yake kwa kushinda wahuduma<br />

hawa wa uongo. Nina wa<strong>za</strong>rau katika maisha yangu; nitawashinda kwa kifo changu. Huko<br />

Worms wanashugulika sana kwa kunilazimisha; ni kane kukana kwangu kutakuwa huku:<br />

Nilisema <strong>za</strong>mani kwamba Papa alikuwa kasisi wa Kristo; sasa na tanga<strong>za</strong> kwamba yeye ni<br />

mpin<strong>za</strong>ni wa Bwana, na mtume wa Shetani.”<br />

Zaidi ya mjumbe wa mfalme, rafiki watatu wakakusudia kumsindiki<strong>za</strong> Luther. Moyo wa<br />

Melanchton ukaambatana kwa moyo wa Luther, na akatamani sana kumfuata. Lakini<br />

maombi yake yakakataliwa. Akasema Mtengene<strong>za</strong>ji: “Kama sitarudi, na adui <strong>za</strong>ngu<br />

wakiniua, endelea kufundisha, na kusimama imara katika ukweli. Utumike kwa nafasi<br />

yangu. ... Kama ukizidi kuishi, mauti yangu itakuwa ya maana kidogo.” Mioyo ya watu<br />

ikagandamizwa na maono ya huzuni. Waliambiwa kwamba maandiko ya Luther<br />

yalihukumiwa huko Worms. Mjumbe, huogopa kwa ajili ya usalama wa Luther kwa bara<strong>za</strong>,<br />

akauli<strong>za</strong> kama alikuwa akiendelea kutamani kwenda. Akajibu: “ijapokuwa nilikatazwa<br />

katika kila mji, nitaendelea.”<br />

Huko Erfurt, Luther akapitia katika njia alizokuwa akipitia kila mara, akazuru kijumba<br />

chake cha nyumba ya watawa, na akafikiri juu ya mapigano ambamo nuru iliojaa sasa katika<br />

Ujeremani imetawanywa juu ya roho yake. Akalazimishwa kuhubiri. Jambo hili alikatazwa<br />

kulifanya, lakini mjumbe akamtolea ruhusa, na mtu aliyefanywa <strong>za</strong>mani mtu wa kazi ngumu<br />

<strong>za</strong> nyumba ya watawa, sasa akaingia kwa mimbara.<br />

Watu wakasikili<strong>za</strong> kwa kushangaa sana. Mkate wa uzima ulivunjwa kwa roho hizo<br />

zenye njaa. Kristo aliinuliwa mbele yao na juu ya wapapa, maaskofu, wafalme (wakuu), na<br />

wafalme. Luther hakusema juu ya maisha yake katika hatari yake. Katika Kristo alikuwa<br />

amejisahau mwenyewe. Akajificha nyuma ya Mtu wa Kalvari, akitafuta tu kuonyesha Yesu<br />

kama Mkombozi wa wenye <strong>za</strong>mbi.<br />

Uhodari wa Mfia Dini<br />

Wakati Mtengene<strong>za</strong>ji alipoendelea mbele, makundi kwa hamu kubwa kwa kusongana<br />

karibu naye na kwa sauti <strong>za</strong> upole wakamuonya juu ya Waroma. “Watakuchoma”, akasema<br />

mwengine, “na kugeu<strong>za</strong> mwili wako kuwa majivu, kama walivyomfanya Jean Huss.” Luther<br />

60

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!