21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

alipotetea injili mbele ya bara<strong>za</strong>. Katika mji ule kulikuwa rafiki wengi wa Matengenezo.<br />

Vitabu elfu tatu vya Agano Jipya vikachapwa, na mchapo mwengine ukafuata.<br />

Neno la Mungu likapenya kwa siri kule Londoni na kuenezwa po pote katika inchi.<br />

Wakatoliki wakajaribu kukomesha ukweli, lakini haikuwezekana. Askofu wa Durham<br />

akanunua kwa muu<strong>za</strong>vitabu akiba yote ya Mabiblia kwa kusudi la kuviharibu, kufikiri<br />

kwamba jambo hili lingesimamisha kazi. Lakini mali ikatoa vyombo vilivyonunuliwa kwa<br />

ajili ya mchapo mpya na bora kuliko. Wakati Tyndale alipofungwa baadaye, uhuru<br />

ukatolewa kwake isipokuwa ataje majina ya wale waliomsaidia kwa <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong>o kwa<br />

mchapo wa Mabiblia. Akajibu kwamba askofu wa Durham alifanya <strong>za</strong>idi kuliko kila mtu ye<br />

yote kwa kulipa bei kubwa kwa ajili ya vitabu vilivyobaki mkononi.<br />

Mwishowe Tyndale akashuhudia imani yake kwa mauti ya mfia dini; lakini silaha<br />

alizozitayarisha ziliwezesha waaskari wengine kupigana katika karne nyingi, hata kwa<br />

wakati wetu.<br />

Latimer akasema juu ya mimbara kwamba inafaa kusoma Biblia katika lugha ya watu.<br />

“Tusichague njia zinazopingana, bali Neno la Mungu lituongoze: tusifuate ... mababu zetu,<br />

wala kufuata yale waliyotenda, bali yale waliyopaswa kufanya.”<br />

Barnes na Frith, Ridley na Cranmer, waongozi katika Matengenezo ya Uingere<strong>za</strong><br />

walikuwa wataalamu, wakaheshimiwa sana kwa bidii ao kwa utawa katika ushirika wa<br />

Kiroma. Upin<strong>za</strong>ni wao kwa kanisa la Roma ulikuwa ni matokeo ya maarifa yao ya<br />

kuvumbua makosa ya “kiti kitakatifu”.<br />

Uwezo Kamili wa Maandiko<br />

Kanuni kubwa iliyoshikwa na Watengene<strong>za</strong>ji hawa--ni ile ile iliyoshikwa na Wavaudois,<br />

Wycliffe, Huss, Luther, Zwingli, na wafuasi wao--ni uwezo kamilifu wa Maandiko<br />

matakatifu. Kwa mafundisho yake wakajaribu mafundisho ya dini yote na madai yote. Ni<br />

imani katika Neno la Mungu iliyosaidia watu hawa watakatifu walipotoa maisha yao kwa<br />

kigingi. “Muwe wakufarijika,” akasema Latimer kwa wen<strong>za</strong>ke wafia dini wakati sauti <strong>za</strong>o<br />

zilikuwa karibu kunyamazishwa na ndimi <strong>za</strong> moto, “tutawasha leo mshumaa, kwa neema ya<br />

Mungu, katika Uingere<strong>za</strong>, jinsi ninavyo tumaini hautazimika.”<br />

Kwa mamia ya miaka baada ya makanisa ya Uingere<strong>za</strong> yalipotii mamlaka ya Roma,<br />

wale wa Scotland (Ecosse) wakashika uhuru wao. Kwa karne ya kumi na mbili, hata hivyo,<br />

dini ya papa ikaimarishwa katika inchi, na sehemu zote zikafunikwa na gi<strong>za</strong> nzito. Lakini<br />

miali ya nuru ikaja kuangazia gi<strong>za</strong> hiyo. Wa Lollards, kutoka Uingere<strong>za</strong> pamoja na Biblia na<br />

mafundisho ya Wycliffe, wakafanya mengi kwa kulinda maarifa ya injili. Kwa kufunguliwa<br />

kwa Matengenezo kukaja maandiko ya Luther na Agano Jipya la Kingere<strong>za</strong> la Tyndale.<br />

Wajumbe hawa kwa ukimya wakapitia milimani na katika mabonde, wakawasha katika<br />

maisha mapya mienge ya kweli iliyokuwa karibu kuzimika na kufanya upya tena kazi<br />

ambayo iligandamizwa na karne inne <strong>za</strong> mateso.<br />

100

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!