21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mkubwa sana wa kanisa la Roma na kufikia kwa vita ambayo ilitetemesha kiti cha Papa na<br />

mataji matatu juu ya kichwa cha askofu huyu.<br />

Tetzel, mjumbe aliyechaguliwa kuongo<strong>za</strong> uujishaji wa huruma katika Ujeremani,<br />

alikuwa amehakikishwa makosa mabaya juu ya watu na sheria ya Mungu, lakini alitumiwa<br />

kwa kuendesha mipango ya faida ya Papa katika Ujeremani. Akasema bila haya mambo ya<br />

uongo na hadizi <strong>za</strong> ajabu kwa kudanganya watu wajinga wanaoamini yasiyo na msingi.<br />

Kama wangekuwa na neno la Mungu hawangedanganywa, lakini Biblia ilikatazwa kwao.<br />

Wakati Tetzel alipoingia mjini, mjumbe alimutangulia mbele, kutanga<strong>za</strong>: “Neema ya<br />

Mungu na ya baba mtakatifu inakuwa milangoni mwenu”. Watu wakamkaribisha mtu wa<br />

uwongo anayetukana Mungu kama kwamba angekuwa Mungu mwenyewe. Tetzel, kupanda<br />

mimbarani ndani ya kanisa, akatuku<strong>za</strong> uujisaji wa huruma kama <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong> damani sana <strong>za</strong><br />

Mungu. Akatanga<strong>za</strong> kwamba kwa uwezo wa sheti cha msamaha, <strong>za</strong>mbi zote ambazo<br />

mnunuzi angetamani kuzitenda baadaye zitasamehewa na “hata toba si ya lazima.”<br />

Akahakikishia wasikilizi wake kwamba vyeti vyake vya huruma vilikuwa na uwezo wa<br />

kuokoa wafu; kwa wakati ule kabisa pesa inapogonga kwa sehemu ya chini ya sanduku<br />

lake, roho inayolipiwa pesa ile itatoroka kutoka toharani (purgatoire) na kufanya safari yake<br />

kwenda mbinguni.<br />

Zahabu na fe<strong>za</strong> zikajaa katika nyumba ya hazina ya Tetzel. Wokovu ulionunuliwa na<br />

mali ulipatikana kwa upesi kuliko ule unaohitaji toba, imani, na kufanya bidii kwa<br />

kushindana na kushinda <strong>za</strong>mbi. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo). Luther akajazwa na hofu kuu. Wengi<br />

katika shirika lake wakanunua vyeti vya msamaha. Kwa upesi wakaan<strong>za</strong> kuja kwa<br />

mchungaji (pasteur) wao, kwa kutubu <strong>za</strong>mbi na kutumainia maondoleo ya <strong>za</strong>mbi, si kwa<br />

sababu walitubu na walitamani matengenezo, bali kwa msingi wa sheti cha huruma. Luther<br />

akakataa, na akawaonya kwamba isipokuwa walipaswa kutubu na kugeuka, walipaswa<br />

kuangamia katika <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. Wakaenda kwa Tetzel na malalamiko kwamba muunganishaji<br />

wao alikataa vyeti vyake, na wengine wakauli<strong>za</strong> kwa ujasiri kwamba mali yao irudishwe.<br />

Alipojazwa na hasira, mtawa (religieux) akatoa laana <strong>za</strong> kutisha, akataka mioto iwake mbele<br />

ya watu wote, na akatanga<strong>za</strong> kwamba “alipata agizo kwa Papa kuungu<strong>za</strong> wapinga dini wote<br />

wanaosubutu kupinga, vyeti vyake vya huruma takatifu <strong>za</strong>idi.”<br />

Kazi ya Luther Inaan<strong>za</strong><br />

Sauti ya Luther ikasikiwa mimbarani katika onyo la kutisha. Akaweka mbele ya watu<br />

tabia mbaya sana ya <strong>za</strong>mbi na kufundisha kwamba haiwezekani kwa mtu kwa kazi <strong>za</strong>ke<br />

mwenyewe kupungu<strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke ao kuepuka malipizi yake. Hakuna kitu bali toba kwa<br />

Mungu na imani katika Kristo inaowe<strong>za</strong> kuokoa mwenye <strong>za</strong>mbi. Neema ya Kristo haiwezi<br />

kununuliwa; ni <strong>za</strong>wadi ya bure. Akashauri watu kutokununua vyeti vya huruma, bali<br />

kuta<strong>za</strong>ma kwa imani kwa Mkombozi aliyesulubiwa. Akasimulia juu ya habari mambo ya<br />

maisha yake ya uchungu na akahakikisha wasikili<strong>za</strong>ji wake kwamba kwa kuamini Kristo<br />

ndipo mtu atapata amani na furaha.<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!