21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wamejitoa wote kwa mshawishi, wamejiunga karibu sana naye na kujazwa na roho yake, ili<br />

wasiwe na upungufu kutoka katika mtego wake.<br />

Msingi wa kazi ya Shetani uliwekwa kwa matumaini iliyotolewa kwa Hawa katika<br />

Edeni: “Hakika hamutakufa”. “Siku mutakapokula matunda yake, macho yenu<br />

yatafunguliwa, na mutakuwa kama Mungu mukijua uzuri na ubaya.” Mwanzo 3:4,5. Kipeo<br />

chake cha madanganyo kitafikia katika mabaki ya mwisho ya wakati. Asema nabii:<br />

“Nikaona pepo wachafu watatu waliofanana na vyura, wakatoka kinywa cha yule joka, na<br />

katika kinywa cha yule nabii wa uwongo kama vyura. Maana ndio pepo <strong>za</strong> mashetani,<br />

wanaofanya alama, na kutoka na kwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote, kuwakusanya<br />

kwa vita ya siku ile kubwa ya Mungu Mwenyezi.” Ufunuo 16:13, 14.<br />

Ila tu wale wanaolindwa na uwezo wa Mungu katika imani katika Neno lake, ulimwengu<br />

mzima utapita kwa nguvu katika njia <strong>za</strong> madanganyo haya. Watu wanajitumbuki<strong>za</strong> upesi<br />

kwa salama ya ajali, kuamshwa tu na kumiminika kwa hasira ya Mungu.<br />

234

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!