21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Na miaka ya milele, kama inavyopita upesi, italeta daima na <strong>za</strong>idi mambo ya funuo<br />

tukufu ya Mungu na ya Kristo. Watu watakavyojifun<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi habari ya Mungu, ndivyo <strong>za</strong>idi<br />

watakayoshangaa juu ya tabia yake. Kwa namna Yesu atakavyofunua mbele yao utajiri wa<br />

ukombozi na kazi bora <strong>za</strong> kushanga<strong>za</strong> katika mashindano makubwa na Shetani, mioyo ya<br />

waliokombolewa wanafurahi sana na kufanya ibada, na sauti elfu kumi mara elfu kumi<br />

zinaungana kuonge<strong>za</strong> nguvu la itikio la wimbo wa sifa.<br />

“Na kila kiumbe kilicho mbinguni na juu ya dunia na chini ya dunia na vile ndani ya<br />

bahari, na vyote vilivyo ndani yake, nilivisikia, vikisema: Baraka na heshima na utukufu na<br />

uwezo kwa yeye anayeketi juu ya kiti cha enzi, na kwa Mwana-Kondoo hata milele na<br />

milele”. Ufunuo 5:13.<br />

Vita kuu imekoma. Zambi na wenye <strong>za</strong>mbi hawako tena. Ulimwengu wote mzima ni<br />

safi. Kwa Yeye aliyeumba vyote, kunajaa uzima na nuru na furaha po pote katika ufalme <strong>za</strong><br />

anga pasipo mpaka. Kutoka kwa chembe ndogo hata kwa ulimwengu mkubwa sana, vitu<br />

vyote, vyenye uhai na vitu visivyokuwa na uhai, katika uzuri wao pasipo kivuli na furaha<br />

kamili, vitatanga<strong>za</strong> ya kwamba Mungu ni upendo.<br />

284

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!