21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

malipo ya kodi yaliyodaiwa na Papa kutoka kwa mfalme wa Uingere<strong>za</strong>. Majivuno ya Papa<br />

ya mamlaka juu ya watawala wa ulimwengu yalikuwa kinyume kwa vyote viwili kweli na<br />

ufunuo. Matakwa ya Papa yalichochea hasira, na mafundisho ya Wycliffe yalivuta akili <strong>za</strong><br />

uongozi wa taifa. Mfalme na wakuu walikusanyika kwa kukataa malipo ya kodi.<br />

Watu waliojitenga na mambo ya dunia, maskini wakajaa katika Uingere<strong>za</strong>, kumwanga<br />

sumu juu ya ukubwa na kufanikiwa kwa taifa. Maisha ya watawa (moines) ya uvivu na<br />

uombaji wa vitu ao mali haikuwa tu gharama kubwa juu ya mali ya watu, wageu<strong>za</strong> kazi<br />

nzuri kuwa ya ku<strong>za</strong>rauliwa. Vijana walipotoka na kuharibika. Wengi walishawishwi kujitoa<br />

wao wenyewe kwa maisha ya watawa si kwa kukosa ukubali wa wa<strong>za</strong>zi tu, bali bila<br />

ufahamu wao na kinyume cha mwito wao. Kwa “chukizo hili lisilo la kibinadamu” kama<br />

vile Luther baadaye alilitia “kuonyesha dalili ya mbwa mwitu <strong>za</strong>idi na mjeuri kuliko ya<br />

Mkristo na mtu, “ilivyokuwa” mioyo ya watoto ikiwa migumujuu ya wa<strong>za</strong>zi wao.<br />

Hata wanafunzi katika vyuo vikubwa (universites) walidanganywa na watawa na<br />

kuvutwa kwa kuungana namaagizo yao. Mara waliponaswa katika mtego ilikuwa<br />

haiwezekani kupata uhuru. Wa<strong>za</strong>zi wengi walikataa kutuma vijana wao katika vyuo<br />

vikubwa. Vyuo vikazoofika, na ukosefu wa elimu ukaenea pote.<br />

Papa akatoa kwa watawa hawa uwezo kwa kusikia maungamo na kutoa rehema-shina la<br />

uovu mkubwa. Wakageuka kwa kuzidisha faida <strong>za</strong>o, watu waliojitenga kwa mambo ya<br />

kidunia walikuwa tayari kabisa kutoa masamaha hata wavunja sheria walikuwa wakienda<br />

mara kwa mara kwao, na makosa mabaya <strong>za</strong>idi yakaongezeka kwa haraka. Zawadi<br />

zilizopasa kusaidia wagonjwa na maskini zikaenda kwa watawa. Utajiri wa watu<br />

waliojitenga kwa mambo ya kidunia ukaongezeka daima, na majumba yao makubwa na<br />

me<strong>za</strong> <strong>za</strong> anasa vikaonyesha <strong>za</strong>idi kuongezeka kwa umaskini kwa taifa. Huku watawa<br />

wakaendelea kuka<strong>za</strong> uwezo wao juu yawengi waliokuwa katika imani ya uchawi na<br />

wakawaongo<strong>za</strong> kuamini kuwa kazi yote ya dini iliyoonyesha ukubali wa mamlaka ya Papa,<br />

kusujudu watakatifu, kufanya <strong>za</strong>wadi kwa watawa, hili lilikuwa la kutosha kwa kujipatia<br />

nafasi mbinguni!<br />

Wycliffe kwa maarifa safi, akashambulia mizizi ya uovu, kutanga<strong>za</strong> kwamba utaratibu<br />

wenyewe ni wa uongo na ulipaswa kuondolewa kabisa. Mabishano na maswali yalikuwa<br />

yakiamshwa. Wengi walikuwa wakiongozwa kujiuli<strong>za</strong> kwamba hawakupaswa kutafuta<br />

rehema <strong>za</strong>o kwa Mungu <strong>za</strong>idi kuliko kwa askofu wa Roma. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo). “Watawa<br />

na mapadri wa Roma,” wakasema, “wako wanatula kama ugonjwa unaoitwa (cancer),<br />

Mungu anapashwa kutuokoa, kama sivyo watu wataangamia”. Watawa waombezi<br />

waliojidai kwamba walikuwa wakifuata mfano wa Mwokozi, kutanga<strong>za</strong> kwamba Yesu na<br />

wanafunzi wake walikuwa wakisaidiwa kwa ajili wema wa watu. Madai haya yakaongo<strong>za</strong><br />

watu wengi kwa Biblia kujifun<strong>za</strong> ukweli wao wenyewe.<br />

Wycliffe akaan<strong>za</strong> kuandika na kuchapa vimakaratasi na tuvitabu juu ya watawa, kuita<br />

watu kwa mafundisho ya Biblia na Muumba wake. Si kwa njia ingine bora kuliko angewe<strong>za</strong><br />

31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!