21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Yoane anatanga<strong>za</strong>: “Naye anafanya mastaajabu makubwa, hata kufanya moto kushuka toka<br />

mbingu juu ya dunia, mbele ya watu. Naye anawakosesha wale wanaokaa juu ya dunia, kwa<br />

mastaajabu yale aliyopewa kufanya. Ufunuo 13:13, 14. Si mambo ya ujanja tu<br />

yaliyotabiriwa hapa. Watu wanadanganyiwa na mastaajabu ambayo wajumbe wa Shetani<br />

wanafanya, si yale wanayotaka kufanya.<br />

Mwito Wa Shetani Kwa Wenye Akili<br />

Kwa watu wenye elimu naustaarabu mfalme wa gi<strong>za</strong> anaonyesha imani ya kuwa na roho<br />

<strong>za</strong> watu waliokufa na kujionyesha na kuongea na watu (spiritisme) katika mifano yake safi<br />

<strong>za</strong>idi na ya akili. Anapendezwa sana na wazo la tendoo la kushanga<strong>za</strong> kwa furaha na<br />

maelezo yenye uwezo wa kushawishi ya mapendo na wema. Anaongo<strong>za</strong> watu kutumia<br />

kiburi sana katika hekima yao wenyewe ili ndani ya mioyo yao waaibishe Bwana wa Milele.<br />

Shetani anadanganya watu sasa kama alivyodanganya Hawa katika Edeni kwa njia ya<br />

kuamsha tamaa ya nguvu kwa ajili ya kujiinua.<br />

“Mutakuwa kama miungu,” anatanga<strong>za</strong>, “mukijua uzuri na ubaya”. Mwanzo 3:5. Imani<br />

ya kuwako kwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa inafundisha” kwamba mtu ni kiumbe cha<br />

maendeleo... karibu ya kichwa cha uungu”. Tena; “Hukumu itakuwa ya haki, kwa sababu ni<br />

hukumu ya kila mtu binafsi.... Kiti cha enzi ni ndani yako”. Na mwingine anasema: “Kila<br />

kiumbe cha haki na kikamilifu ni Kristo”.<br />

Kwa hivyo Shetani aligeu<strong>za</strong> tabia ya <strong>za</strong>mbi ya mtu mwenyewe kuwa amri ya pekee ya<br />

hukumu. Hii ni maendeleo, si kwenda juu, bali kwenda chini. Mtu hawezi kuinuka juu<br />

kuliko cheo chake cha usafi wala wema. Kama nafsi ndiyo kipeo chake kikamilifu cha juu<br />

kuliko, hatafikia kamwe kwa kitu cho chote kinachoinuka <strong>za</strong>idi. Neema ya Mungu tu<br />

inakuwa na uwezo kwa kuinua mtu. Kuachwa upekee, maendeleo yake inapaswa kwenda<br />

chini.<br />

Mwito kwa Kupenda Anasa<br />

Kwa ulafi, kupenda anasa, uasherati, imani ya kuwa na roho <strong>za</strong> watu waliokufa<br />

(spiritisme) inaonyesha umbo la uwongo la werevu kidogo. Katika mifano yao mbaya sana<br />

wanapata kitu ambacho kinachokuwa katika umoja na tamaa <strong>za</strong>ke. Shetani anaandika<br />

hesabu ya <strong>za</strong>mbi kila mtu kutenda halafu anajiha<strong>za</strong>li ya kwamba saa <strong>za</strong> kufaa zisipunguke<br />

kwa kupende<strong>za</strong> mvuto. Anajaribu watu kwa njia ya kutojizuia kwa kupungu<strong>za</strong> nguvu <strong>za</strong><br />

mwili, akili na <strong>za</strong> mafundusho mazuri. Anaharibu maelfu katika mazoezi wa kufurahisha<br />

tamaa, kuharibu tabia yote nzima. Na kutimi<strong>za</strong> kazi yake, pepo wanatanga<strong>za</strong> kwamba<br />

“maarifa ya kweli yanamuweka mtu juu ya sheria yote”; “cho chote kinachokuwa, kinakuwa<br />

haki”; ya kwamba “Mungu hahukumu”, na ya kwamba “<strong>za</strong>mbi zote... zinakuwa bila kosa”.<br />

Wakati watu wanapoamini ya kwamba tamaa ni sheria ya juu <strong>za</strong>idi, ya kwamba uhuru ni<br />

ruhusa, ya kwamba mtu ni juu yake mwenyewe tu, nani anayewe<strong>za</strong> kushangaa ya kwamba<br />

231

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!