21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 11. Ushuhuda wa Waana wa Wafalme<br />

Mojawapo ya shuhuda “maalum”uliotamkwa <strong>za</strong>idi kwa ajili ya Matengenezo ulikuwa<br />

Ushuhuda uliotolewa na watawala Wakristo wa Ujeremani huko kwa bara<strong>za</strong> la Spires<br />

mwaka 1529. Uhodari na msimamo wa watu wale wa Mungu vikaimarisha uhuru wa <strong>za</strong>miri<br />

kwa karne zilizofuata, na wakatoa kwa kanisa lililotengenezwa jina la Protestanti.<br />

Maongozi ya Mungu yakazuia nguvu zilizopinga ukweli. Charles Quint akakusudia<br />

kuangami<strong>za</strong> Matengenezo, lakini mara kwa mara alipoinua mkono wake kwa kupinga<br />

akalazimishwa kugeukia kando ya pigo. Tena na tena kwa wakati wa hatari majeshi ya<br />

Turki valipotokea kwa mpaka, ao mfalme wa Ufransa ao Papa mwenyewe alifanya vita<br />

kwake. Kwa hiyo miongoni ya vita na fujo ya mataifa, Matengenezo yakapata nafasi ya<br />

kujiimarisha na kujipanua.<br />

Lakini, wakati ukafika ambao wafalme wakatoliki wakafanya tendo la umoja juu ya<br />

kupinga Watengene<strong>za</strong>ji. Mfalme akaitisha bara<strong>za</strong> kukutanika huko Spires munamo mwaka<br />

1529 na kusudi la kuharibu upingaji wa imani ya dini. Kama mpango huo ukishindwa kwa<br />

njia ya imani Charles alikuwa tayari kutumia upanga.<br />

Wakatoliki huko Spires wakaonyesha uadui wao kwa wazi juu ya Watengene<strong>za</strong>ji.<br />

Akasema Melanchton: “Tunakuwa maapizo na takataka ya ulimwengu; lakini Kristo<br />

atata<strong>za</strong>ma chini kwa watu wake maskini, na atawalinda.” Watu wa Spires wakawa na kiu<br />

cha Neno la Mungu, na, ingawa kulikuwa makatazo, maelfu wakakutanika kwa huduma<br />

iliyofanywa ndani ya kanisa ndogo la mchaguzi wa Saxony. Jambo hili likaharakisha shida.<br />

Uvumilivu wa dini ukaimarishwa kwa uhalali, na vikao vya injili vikakusudia kupinga<br />

uvunjaji wa haki <strong>za</strong>o. Luther hakuruhusiwa kuwa Spires lakini pahali pake pakatolewa kwa<br />

wafuasi wake na watawala ambao Mungu aliinua kwa kutetea kazi yake. Frederic wa<br />

Saxony akatengwa na kifo, lakini Duke Jean, muriti wake (aliyemfuata), akakaribisha kwa<br />

furaha Matengenezo na akaonyesha uhodari mkubwa.<br />

Mapadri wakadai kwamba taifa ambalo lilikubali Matengenezo liwe chini ya mamlaka<br />

ya Warumi. Watengene<strong>za</strong>ji kwa upande mwengine, hawakuwe<strong>za</strong> kukubali kwamba Roma<br />

ilipashwa tena kuleta mataifa yale chini ya utawala wake yale yaliyopokea Neno la Mungu.<br />

Mwishowe ikakusudiwa kwamba mahali ambapo Matengenezo haikuanzishwa bado,<br />

Amri ya Worms ilipaswa kutumiwa kwa nguvu; na kwamba “Mahali ambapo watu<br />

hawangewe<strong>za</strong> kuilazimisha bila hatari ya uasi, hawakupasa kuingi<strong>za</strong> matengenezo mapya, ...<br />

hawakupashwa kupinga ibada ya misa, hawakupashwa kuruhusu mkatoliki wa Roma<br />

kukubali dini ya Luther.” Shauri hili likakubaliwa katika bara<strong>za</strong>, kwa kutoshelewa ukubwa<br />

kwa mapadri na maaskofu.<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!