21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kutuku<strong>za</strong> Mamlaka Ya Kibinadamu<br />

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kristo alikuwa na maoni ya unabii kwa kazi ya kutuku<strong>za</strong> mamlaka ya kibinadamu<br />

kutawala <strong>za</strong>miri, ambalo lilikuwa jambo la laana la kitisha katika vi<strong>za</strong>zi vyote. Maonyo<br />

yake si kufuata viongozi vipofu waliowekwa kwa ukumbusho kama onyo la upole kwa<br />

vi<strong>za</strong>zi wakati vijavyo.<br />

Kanisa la Roma linawekwa akiba ya haki ya kutafsiri Maandiko kwa mapadri. Ingawa<br />

matangenezo ilitoa Maandiko kwa wote, lakini kanuni ya namna moja iliyoshikwa kwa<br />

Roma inazuia wengi katika makanisa ya Kiprotestanti kutochungu<strong>za</strong> Biblia wao wenyewe.<br />

Wanafundishwa kukubali mafundusho yake kama ilivyofasiriwa na kanisa. Maelfu<br />

wanasubutu kutopata kitu, lakini ni wazi katika maandiko, ile inayokuwa kinyume kwa<br />

imani yao.<br />

Wengi wanakuwa tayari kutoa nafsi <strong>za</strong>o kwa mapadri. Wanapita mbali ya mafundusho<br />

ya Mwokozi karibu bila kuonywa. Lakini je, wanakuwa wahudumu wasiowe<strong>za</strong> kukosa?<br />

Namna gani tunawe<strong>za</strong> kutumaini uongozi wao isipokuwa tunajua kutoka kwa Neno la<br />

Mungu ya kama wanakuwa wachukuaji wa nuru? Ukosefu wa uhodari wa mafundisho<br />

unasukuma wengi kufuata watu waliojifun<strong>za</strong>, na wanakuwa wenye kufungwa bila kuwa na<br />

matumaini katika kosa. Wanaona ukweli kwa wakati huu katika Biblia na wanasikia uwezo<br />

wa Roho Mtakatifu kufikia matangazo jake, huku wakiruhusu mapadri kuwarudisha kutoka<br />

kwa nuru. Shetani anafunga wengi kuwafunga na kamba <strong>za</strong> hariri <strong>za</strong> upendo kwa wale<br />

wanaokuwa adui <strong>za</strong> msalaba wa Kristo. Kifungo hiki kinawe<strong>za</strong> kuwa cha wa<strong>za</strong>zi, cha jamii,<br />

cha ndoa ao ujamii wa jamaa nyingi kuwa pamoja. Nafsi chini ya mvuto wao hauna uhodari<br />

wa kutii nia <strong>za</strong>wajibu wao.<br />

Wengi hudai ya kama si kitu cho chote mtu anachoamini, kama tu maisha yake yakiwa<br />

kamili. Lakini maisha yanafanywa na imani. Kama ukweli unakuwa ndani unafikia kipimo<br />

na tunau<strong>za</strong>rau, tunaukataa kwa kweli, kuchagua gi<strong>za</strong> badala nuru.<br />

Ujinga hauachiliwi kwa ajili ya kosa la <strong>za</strong>mbi, kama pale kunakuwa na nafasi yo yote,<br />

kwa kujua mapenzi ya Mungu. Mtu mmoja anayesafiri anafika mahali ambapo panakuwa<br />

njia nyingi na mti wenye mkono wa kuonyesha njia mahali gani kila moja inaongo<strong>za</strong>. Kama<br />

aki<strong>za</strong>rau alama na kukamata njia yo yote inayoonekana kuwa ya haki, angewe<strong>za</strong> kuwa<br />

yakini, lakini katika kubahatisha kule kote atapatikana mwenyewe kwa njia mbaya.<br />

Shuguli ya Kwan<strong>za</strong> na ya Juu Sana<br />

Haitoshi kuwa na makusudi mema, kufanya kitu mtu anachofikiri kuwa cha haki ao kite<br />

muhuduma anachowaambia kuwa cha haki. Anapashwa kuchungu<strong>za</strong> maandiko kwa ajili<br />

yake mwenyewe. Anakuwa na amani inayoonyesha kila alama ya njia ya safari ya kwenda<br />

mbinguni, na hapashwe kuamini kitu cho chote.<br />

249

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!