21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Malaika wa Mauti<br />

Sasa malaika wa mauti anaenda mbele, anaonyeshwa katika ndoto ya Ezekieli kwa watu<br />

wanaokuwa na silaha <strong>za</strong> kuchinja, kwao agizo limetolewa: “Ueni kabisa mzee na kijana, na<br />

wote wawili wasichana, na watoto wadogo, na wanawake, lakini musikaribie mtu aliye na<br />

alama ile juu yake; na anzieni kwa pahali pangu patakatifu”, ‘’halafu wakaan<strong>za</strong> kwa wazee<br />

walio mbele ya nyumba, “wale waliojidai kuwa walinzi wa kiroho wa watu. Ezekieli 9:6.<br />

Walinzi wa uwongo wanakuwa wa kwan<strong>za</strong> kuanguka. “Kwa maana ta<strong>za</strong>ma, Bwana<br />

anakuja kutoka pahali pake kuazibu wenye kukaa duniani kwa sababu ya uovu wao; na<br />

dunia itafunua damu yake, na haitafunika tena watu wake waliouawa”. “Na itakuwa siku ile<br />

makelele makubwa toka kwa Bwana yatakuwa katikati yao; nao watakamata kila mtu<br />

mkono wa jirani yake, na mkono wake utanyanyuliwa juu ya mkono wa jirani yake” Isaya<br />

26:21; Zekarai 14:13.<br />

Katika vita yenye wazimu ya tamaa kali <strong>za</strong>o wenyewe na kwa kumiminika kwa ga<strong>za</strong>bu<br />

ya Mungu isiyo changanywa, wakuhani waovu wanaanguka, watawala, na watu. “Na<br />

waliouawa wa Bwana siku ile watakuwa toka mwisho wa dunia hata mwisho wa dunia”.<br />

Yeremia 25:33.<br />

Kwa kuja kwa Kristo waovu wataangamizwa kwa mwanga<strong>za</strong> wa utukufu wake. Kristo<br />

atachukua watu wake kwa mji wa Mungu, na dunia itafanyiwa utupu kwa wakaaji wake.<br />

“Ta<strong>za</strong>ma Bwana anafanya dunia kuwa utupu, na anaiharibu, na anaipindua, na<br />

kuwasamba<strong>za</strong> popote wakaaji wake... Inchi itafanywa kuwa utupu kabisa, na kuharibiwa<br />

kabisa; kwa maana Bwana amesema neno hili... kwa sababu wamevunja sheria, wamegeu<strong>za</strong><br />

amri, wamevunja agano la milele. Kwa sababu hii laana imekula dunia, na watu wanaokaa<br />

ndani yake wanaonekana kuwa na laumu: kwa hivi wakaaji wa dunia wamechomwa”. Isaya<br />

24:1,3,5,6.<br />

Dunia inaonekana kama jangwa lenye ukiwa. Miji imeharibiwa na tetemeko, miti<br />

kungolewa, miamba iliyopasuka duniani imetawanyika juu ya uso wa dunia. Mapango<br />

makubwa yanaonyesha alama mahali milima ilipasuka kutoka kwa misingi yao.<br />

Uhamisho wa Shetani<br />

Sasa matukio yamefanyika yaliyoonyesha mbele heshima ya kazi ya mwisho kwa Siku<br />

ya upatanisho. Wakati <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> Israeli zilipoondolewa kutoka Pahali patakatifu kwa uwezo<br />

wa damu ya sadaka ya <strong>za</strong>mbi, mbuzi wa A<strong>za</strong>zeli alionyeshwa hai mbele ya Bwana. Kuhani<br />

mkuu akaungama juu yake “maovu yote ya wana wa Israeli,... kuyaweka juu ya kichwa cha<br />

mbuzi”. Walawi 16:21. Vilevile, wakati kazi ya upatanisho katika Pahali patakatifu pa<br />

mbinguni itakapotimia, ndipo, mbele ya Mungu na malaika wa mbinguni na jeshi la<br />

waliookolewa, <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> watu wa Mungu zitawekwa juu ya Shetani; atatangazwa kuwa na<br />

kosa ya uovu wote aliolazimisha wao kuufanya. Kama vile mbuzi wa A<strong>za</strong>zeli aliochukuliwa<br />

katika inchi isiyokaliwa na watu, vivyo hivyo Shetani atahamishwa kwa dunia yenye ukiwa.<br />

274

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!