21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 37. Maandiko - Mlinda Yetu Pekee<br />

Watu wa Mungu wanaongozwa kwa maandiko kama mlinda usalama wao kwa kupinga<br />

mvuto wa wa waalimu wa uongo na roho <strong>za</strong> gi<strong>za</strong>. Shetani hutumia kila shauri lo lote<br />

iwezekanavyo kuzuia watu kupokea maarifa ya Biblia, kwa usemi ao maneno yake ya<br />

waziinafunua madanganyifu yake. Madanganyo makubwa ya mwisho ni karibu kufunguliwa<br />

mbele yetu. Mpinga Kristo atafanya kazi yake ya ajabu mbele ya macho yetu kwa ukaribu<br />

kutakuwa mfano wa kufanana na iliyo ya kweli ambayo itakuwa haiwezekani kutofautisha<br />

kati yao isipokuwa kwa Maandiko. Wale wanaojitahidi kutii amri zote <strong>za</strong> Mungu<br />

watapingwa na ku<strong>za</strong>rauliwa. Kwa kuvumilia jaribu, wanapaswa kufahamu mapenzi ya<br />

Mungu kama inavyofuniliwa katika Neno lake. Hapana mtu bali wale ambao wamaimarisha<br />

akili kwa kweli <strong>za</strong> Biblia watakaosimama katika vita kubwa ya mwisho.<br />

Mbele ya kusulibiwa kwake mwokozi alielezea wanafunzi wake ya kama alipashwa<br />

kuuawa na kufufuka tena. Lakini maneno yaliondolewa mbali kutoka kwa mawazo ya<br />

wanafunzi. Wakati jaribu lilipofika, kifo cha Yesu kikaharibu kabisa matumaini yao kama<br />

kwamba hakuwaonya mbele. Kwa hivyo katika mambo ya unabii na wakati ujao<br />

umefunuliwa wazi mbele yetu kwa kama ulivyofunuliwa kwa wanafunzi na Kristo<br />

mwenyewe. Tukio zinazo ambatana na wakati wa kufungwa wakati wa majaribu na kazi ya<br />

matayarisho kwa wakati wa taabu yanaonyeshwa wazi. Lakini wengi hawanaufahamu wa<br />

kweli hizi <strong>za</strong> maana sana, na wakati wa taabu utafika utawakuta wasiokuwa tayari.<br />

Wakati Mungu anapotuma maonyo, anaagi<strong>za</strong> kila mtu kujaliwa na sababu kwa kukubali<br />

ujumbe. Hukumu <strong>za</strong> kutisha juu ya kuabudu mnyama na sanamu yake(Ufunuo 14:9-11)<br />

inapashwa kuongo<strong>za</strong> wote kujifun<strong>za</strong> namna alama ya mnyama inavyokuwa na namna gani<br />

ya kuepuka kuipokea. Lakini jamii ya watu hawataki ukweli wa Biblia, kwa sababu unazuia<br />

tamaa <strong>za</strong> moyo wa <strong>za</strong>mbi. Shetani anatoa mambo ya udanganyifu wanaopenda.<br />

Lakini Mungu atakuwa na watu watakaodumisha Biblia, na ni Biblia peke yake, kama<br />

kawaida ya mafundisho yote na msingi wa matengenezo yote. Nia <strong>za</strong> watu waliojifun<strong>za</strong>,<br />

matoleo ya elimu ya kweli, makusudi ya bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> kanisa, sauti ya watu wengi-hakuna<br />

mojawapo ya haya yanapashwa ku<strong>za</strong>niwa kama ushahidi kwa kukubaliana ao kutokubali<br />

mafundisho yo yote. Inatupasa kudai <strong>za</strong>hiri “Bwana anasema hivi”. Shetani anaongo<strong>za</strong> watu<br />

kuta<strong>za</strong>ma kwa wachungaji, kwa waalimu wa elimu ya tabia na sifa <strong>za</strong> Mungu na dini kama<br />

viongozi vyao, badala ya kuchungu<strong>za</strong> Maandiko wao wenyewe. Kwa kutawala waongozi<br />

hawa, anawe<strong>za</strong> kuvuta wengi.<br />

Wakati Kristo alipokuja, watu wa kawaida walimsikia kwa furaha. Lakini mkuu wa<br />

ukuhani na watu wenye kuongo<strong>za</strong> wakajiingi<strong>za</strong> wao wenyewe katika u<strong>za</strong>limu; wakakataa<br />

ushuhuda wa Umasiya wake. “Namna gani inakuwa”, watu wakauli<strong>za</strong>, “ya kama watawala<br />

wetu na wandishi waliojifun<strong>za</strong> hawaamini Yesu? Waalimu kama wale walioongo<strong>za</strong> taifa la<br />

Wayuda kukataa Mkombozi wao.<br />

248

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!