21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Neema ile iletayo wokovu” ilionekana, lakini Ufransa ilipoangaziwa na mwanga<strong>za</strong><br />

wake, ikautupilia mbali, ikachagua gi<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi kuliko nuru. Wakaita ubaya wema, na wema<br />

ubaya, hata walipoanguka kuwa watu wa kuteswa kwa hila yao ya ukaidi. Nuru ambayo<br />

ingewe<strong>za</strong> kuwaokoa kwa udanganyifu, kwa kuchafua roho <strong>za</strong>o na kosa ya uuaji, wakaikataa<br />

kwa kuasi.<br />

Tena mkutano ukafanyika. “Kwa mwendo mfupi (majukwaa) mahali pa kunyongea watu<br />

yakajengwa mahali Wakristo wa Kiprotestanti walipashwa kuchomwa motoni wakiwa hai,<br />

na ilitengenezwa kwamba matata yawashwe wakati mfalme alipokaribia, na kwamba<br />

mwandamano ulipashwa kusimama kwa kushuhudia wauaji.” Hapakuwa na kutikisika kwa<br />

upande wa watu waliopashwa kufa. Kwa kushurutishwa kukana, mmoja akajibu: “Mimi<br />

naamini tu yale manabii na mitume waliyohubiri mbele na yale jamii lote la watakatifu<br />

waliamini. Imani yangu inakuwa na tumaini kwa Mungu ambaye atashinda mamlaka yote<br />

ya kuzimu.”<br />

Katika kufikia jumba la mfalme, makutano yakatawanyika na mfalme na maaskofu<br />

wakaondoka, walipokuwa wakishangilia wenyewe kwamba kazi ingeendelea kwa kutimi<strong>za</strong><br />

maangamizo ya wapinga ibada ya dini.”<br />

Habari Njema ya amani ambayo Ufransa ilikataa ilipashwa kungolewa kweli, na<br />

matokeo yalikuwa ya kutisha. Tarehe 21 ya Januari 1793, mwandamano mwengine ukapita<br />

katika njia <strong>za</strong> Paris. “Tena mfalme alikuwa mwongozi mkuu; tena kukawa fujo na<br />

kulalamika; tena kukasikiwa kilio cha watu wengi walioteswa; tena kukawa majukwaa<br />

meusi; na matukio ya siku yakamalizika kwa mauaji na sana; Louis XVI, alipokuwa<br />

akishindana mikononi mwa walinzi wake wa gere<strong>za</strong> na wanyongaji, akakokotwa kwa gogo,<br />

na hapo akashikwa kwa nguvu nyingi hata shoka lilipoanguka, na kichwa chake<br />

kilichokatwa kikajifingirisha kwa jukwaa.”<br />

Karibu na mahali pale pale watu 2800 wakaangamizwa na machine yenye kisu cha<br />

kukata watu kichwa (guillotine). Matengenezo ikaonyesha kwa ulimwengu Biblia yenye<br />

kufunguliwa. Upendo usio na mwisho ukajulisha watu kanuni <strong>za</strong> mbinguni. Wakati Ufransa<br />

ilipokataa <strong>za</strong>wadi ya mbinguni, ikapanda mbegu ya uharibifu. Hakukuwa namna ya kuepuka<br />

matokeo yaliyotendeka ambayo mwisho ulikuwa mapinduzi na utawala wa kuhofisha.<br />

Farel shujaa na mwenye uhodari akalazimishwa kukimbia kutoka kwa inchi yake ya<br />

ku<strong>za</strong>liwa na kwenda Uswisi. Lakini akaendelea kutumia mvuto uliokusudiwa juu ya<br />

matengenezo katika Ufransa. Pamoja na usaada wa watu wengine waliofukuzwa, maandiko<br />

ya Watengene<strong>za</strong>ji wa Ujeremani yakatafsiriwa katika Kifransa na pamoja na Biblia ya<br />

Kifransa ikachapwa kwa wingi sana. Kwa njia ya watu wa vitabu vya dini vitabu hivyo<br />

vikauzishwa kwa eneo kubwa sana katika Ufransa.<br />

Farel akaingia kwa kazi yake katika Uswisi kwa mwenendo mnyenyekevu wa mwalimu,<br />

akaingi<strong>za</strong> kwa werevu kweli <strong>za</strong> Biblia. Wengine wakaamini, lakini wapadri wakaja<br />

91

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!