21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 40. Ukombozi Mkubwa<br />

Wakati ulinzi wa sheria <strong>za</strong> kibinadamu zitakapoondolewa kutoka kwa wale<br />

wanaoheshimu sheria ya Mungu, katika inchi mbalimbali kutakuwa mwendo wa namna<br />

moja kwa ajili ya maangamizi yao. Kwa namna wakati ulioamriwa katika agizo<br />

unapokaribia, watu watafanya shauri pamoja usiku mmoja shauri la kuangami<strong>za</strong> kwa pigo<br />

litakalonyamazisha washupavu na wasiotii.<br />

Watu wa Mungu wengine wapo katika vyumba vya gere<strong>za</strong>, wengine mwituni na katika<br />

milima--wanaomba ulinzi wa Mungu. Watu wenye silaha, wakilazimishwa na malaika<br />

waovu, wanajitayarisha kwa kazi ya mauti. Sasa, kwa saa ya mwisho kabisa, Mungu atajitia<br />

kati kati: “Mutakuwa na wimbo kama vile wakati wa usiku, wakati karamu takatifu<br />

inapotakaswa; na furaha ya moyo kama vile mtu anavyokwenda... katika mlima wa Bwana,<br />

aliye Mwamba wa Israeli. Na Bwana atafanya sauti yake ya utukufu kusikiwa, naye<br />

ataonyesha kushuka kwa mkono wake, wa nuru, kwa ga<strong>za</strong>bu ya kasirani yake, na ulimi wa<br />

moto unaokula, pamoja na zoruba na garika na mvua ya mawe”: Isaya 30:29,30.<br />

Makutano makubwa ya watu waovu yanakuwa karibu kushambulia juu ya mawindo<br />

yake, wakati gi<strong>za</strong> kubwa, nzito kuliko usiku, inaanguka duniani. Ndipo upindi wa mvua<br />

unazunguka mbingu kuonekana kuzunguka kila kundi la maombi. Makutano yenye kasirani<br />

yamefungwa. Makusudi ya hasira yao yamesahauliwa. Wanata<strong>za</strong>ma kwa mfano wa agano la<br />

Mungu na kutamani kulindwa kwa utukufu wake.<br />

Kwa watu wa Mungu sauti imesikiwa, kusema, “Ta<strong>za</strong>ma”. Kama Stefano wanata<strong>za</strong>ma<br />

na wanaona utukufu wa Mungu na wa Mwana wa watu katika kiti chake cha enzi. Ta<strong>za</strong>ma<br />

Matendo 7:55, 56. Wanatambua alama <strong>za</strong> unyenyekevu wake, na wanasikia ombi, “nataka<br />

sana hawa ulionipa wakae pamoja nami pahali nilipo”. Yoane 17:24. Sauti imesikiwa<br />

ikisema, “Wanakuja, watakatifu, wapole, na safi! Wameshika neno la uvumilivu wangu”.<br />

Kwa usiku wa manane Mungu anaonyesha uwezo wake kwa ajili ya ukombozi wa watu<br />

wake. Jua linatokea likingaa kwa nguvu <strong>za</strong>ke. Alama na maajabu yanafuata. Waovu<br />

wanata<strong>za</strong>ma kwa hofu kuu kwa tokeo lile, huku wenye haki wakita<strong>za</strong>ma alama <strong>za</strong> ukombozi<br />

wao. Katikati ya mbingu zenye hasira kukaonekana nafasi moja wazi ya utukufu<br />

usioelezeka na pale sauti ya Mungu ikatokea kama sauti ya maji mengi, ikisema,<br />

“imefanyika! ” Ufunuo 16:17.<br />

Sauti inatetemesha mbingu na dunia. Hapo ni tetemeko kubwa la inchi, “hata tangu watu<br />

walipokuwa juu ya dunia halikuwa namna ile, namna lilivyokuwa kubwa tetemeko hili. ”<br />

Ufunuo 16:18. Miamba iliyopasuka ikatawanyika pande zote. Bahari ikatikisatikisa kwa<br />

hasira kali. Hapo kunasikiwa mlio wa nguvu wa tufani kama sauti ya mashetani. Upande wa<br />

juu wa inchi ukapasuka. Misingi yake yenyewe yaonekana kutoweka. Miji yenye bandari<br />

iliyokuwa kama Sodomo kwa ajili ya uovu imemezwa kwa maji yenye hasira. “Babeli ule<br />

mkubwa” ukakumbukwa mbele ya Mungu, “kupewa kikombe cha mvinyo ya ga<strong>za</strong>bu ya<br />

265

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!