21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Shetani anaona ya kwamba uasi wake wa mapenzi haukumstahilisha kuingia mbinguni.<br />

Amezoe<strong>za</strong> nguvu <strong>za</strong>ke kwa vita kumpinga Mungu; usafi na umoja wa mbinguni ungekuwa<br />

kwake mateso makubwa. Anainama chini na kukubali haki ya hukumu yake.<br />

Kila swali la kweli na kosa katika mashindano ya siku nyingi limefanywa wazi sasa.<br />

Matokeo ya kuweka pembeni sheria <strong>za</strong> Mungu yamewekwa wazi mbele ya macho ya<br />

viumbe vyote. Historia ya <strong>za</strong>mbi itasimama milele kwa wote kama ushuhuda ya kwamba<br />

pamoja na kuwako kwa sheria ya Mungu kunafungwa furaha ya viumbe vyote<br />

alivyoviumba. Viumbe vyote, vya uaminifu na vyenye uasi, kwa mapatano pamoja<br />

vinatanga<strong>za</strong>, “Haki na kweli njia <strong>za</strong>ko, wewe Mfalme wa watakatifu”.<br />

Saa imefika wakati Kristo anapashwa kutukuzwa juu ya kila jina linalotajwa. Kwa ajili<br />

ya furaha inayowekwa mbele yake--ya kwamba aliwe<strong>za</strong> kuleta wana wengi katika utukufu--<br />

akavumilia msalaba. Anaangalia kwa waliookolewa, waliofanywa upya kwa mfano wake<br />

mwenyewe. Anata<strong>za</strong>ma ndani yao matokeo ya kazi ya roho yake, na anatoshelewa. Isaya<br />

53:11. Kwa sauti ambayo inawafikia makutano, wenye haki na waovu, anatanga<strong>za</strong>:<br />

“Ta<strong>za</strong>ma biashara wa damu yangu! Kwa ajili ya hawa niliteseka, kwa ajili ya hawa<br />

nilikufa”.<br />

Mwisho Mkali Sana wa Waovu<br />

Tabia ya Shetani inaendelea bila kubadilika. Uasi kama maji mengi yenye kupita kwa<br />

nguvu tena yamejipenye<strong>za</strong> kwa nguvu. Anakusudia kutoacha vita yenye kukata tamaa ya<br />

mwisho ya kupambana na Mfalme wa mbinguni. Lakini kwa mamilioni isiyohesabika yote<br />

ambayo aliyoshawishi katika uasi, hakuna anayekubali sasa mamlaka yake. Waovu<br />

wamejazwa na uchuki wa namna moja kwa Mungu unaoongozwa na Shetani, lakini<br />

wanaona ya kwamba hoja lao halina matumaini. “Kwa sababu umeweka moyo wako kama<br />

moyo wa Mungu, kwa hivi, ta<strong>za</strong>ma, nitaleta wageni juu yako, watu wa mataifa wenye<br />

kuogopesha, na watachomoa panga <strong>za</strong>o juu ya uzuri wa hekima yako, nao watatia uchafu<br />

kungaa kwako. Watakuleta chini kwa shimo. ... nitakuharibu, Ee kerubi la kufunika, kutoka<br />

katikati ya mawe ya moto... nitakutupa hata inchi, nitakula<strong>za</strong> mbele ya wafalme, wapate<br />

kukuona ... nitakufanya kuwa majivu juu ya inchi mbele ya wote wanaokuta<strong>za</strong>ma ...<br />

utakuwa maogopesho, wala hutakuwa tena hata milele”. Ezekieli 28:6-8, 16-19.<br />

“Maana kasirani kali ya Bwana ni juu ya mataifa yote”. “Atanyeshea waovu mitego;<br />

Moto na kiberiti na upepo wa kuchoma zitakuwa fungu la kikombe chao”. Isaya 34:2;<br />

Zaburi 11:6. Moto utashuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Dunia itaharibika. Miako ya<br />

moto unaotekete<strong>za</strong> inatoka kwa nguvu kutoka kwa kila shimo kubwa linalokuwa wazi.<br />

Miamba halisi inakuwa motoni. Na viumbe vya asili vitayeyushwa kwa moto mkali, na<br />

inchi na kazi zilizo ndani yake zitateketea. 2 Petro 3:10. Uso wa dunia utaonekana kama<br />

fungu moja kubwa lililoyeyuka--, ziwa la moto lililochafuka. Maana ni “siku ya kisasi cha<br />

Bwana, mwaka wa malipo, kwa ubishi wa Sayuni”. Isaya 34:8.<br />

281

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!