21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Niliona kwamba Biblia ilionyesha tu Mwokozi wa namna ninayehitaji: na nilifa<strong>za</strong>ika<br />

kuona namna gani kitabu kisichoongozwa na Mungu kilipashwa kuku<strong>za</strong> kanuni<br />

zilizolingana kabisa kabisa kwa matakwa ya ulimwengu ulioanguka. Nikalazimishwa<br />

kukubali kwamba Maandiko yanapashwa kuwa ufunuo kutoka kwa Mungu. Yakawa<br />

mapenzi yangu; na katika Yesu napata rafiki. Mwokozi akawa kwangu mkuu kuliko<br />

miongoni mwa wakuu elfu kumi; na Maandiko, ambayo mbele yalikuwa gi<strong>za</strong> na kinyume,<br />

sasa yakawa taa kwa miguu yangu... Niliona Bwana Mungu kuwa Mwamba katikati ya<br />

bahari ya maisha. Biblia sasa inakuwa fundisho langu kuu, na ninawe<strong>za</strong> kusema kweli,<br />

niliitafuta kwa furaha kubwa... Nilishangaa sababu gani sikuona uzuri wake na utukufu<br />

mbele, na nikashangaa namna gani ningaliwe<strong>za</strong> kuikataa... Nikapote<strong>za</strong> onyo yote ya kusoma<br />

vitabu vingine, nikatumia moyo wangu kwa kupata hekima kutoka kwa Mungu.”<br />

Miller akaungama wazi wazi imani yake. Lakini rafiki <strong>za</strong>ke wasiokuwa waaminifu<br />

wakaendeleya mbele na mabishano, hayo yote ambayo yalishurutisha mwenyewe kupinga<br />

Maandiko. Akafikiri kwamba kama Biblia ni ufunuo wa Mungu, Kitabu hicho kinapaswa<br />

kujiele<strong>za</strong> chenyewe. Akakusudia kujifun<strong>za</strong> Maandiko na kupata kama kila mabishano ya<br />

wazi yapate kupatanishwa.<br />

Akaacha maelezo yo yote, akalinganisha maandiko kwa maandiko kwa usaada wa<br />

kumbukumbu ya upande na upatanifu (concordance). Kuanzia kwa Mwanzo, kusoma shauri<br />

kwa shauri, alipoona kitu cho chote cha gi<strong>za</strong> ilikuwa desturi yake kukilinganisha pamoja na<br />

maneno yote yanayowe<strong>za</strong> kuwa na uhusiano na fundisho lenyewe. Kila neno likaruhusiwa<br />

kuwa na tegemeo lake juu ya maneno yenyewe. Kwa hiyo wakati wo wote alipokutana<br />

maneno magumu kwa kufahamu alipata maelezo katika sehemu ingine ya Maandiko.<br />

Akajifun<strong>za</strong> kwa maombi ya juhudi kwa ajili ya nuru ya kiMungu maneno ya mwandishi wa<br />

<strong>za</strong>buri: “kufunua kwa maneno yako kunaleta nuru; Kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi<br />

119:130.<br />

Kwa usikizi mwingi akajifun<strong>za</strong> kitabu cha Danieli na Ufunuo na akaona ya kwamba<br />

mifano ya unabii inawe<strong>za</strong> kufahamika. Aliona ya kwamba mifano yote mbalimbali, me<strong>za</strong>li,<br />

vifani, kama hayakuelezwa kwa maneno yaliyotangulia haya, hupata penginepo maelezo<br />

yake kwa muunganiko wake mwenyewe ao kuelezwa kwa maandiko mengine na<br />

kufahamika kwa kweli. Kiungo kwa kiungo cha mnyororo wa kweli na kuwa ni shani ya<br />

bidii yake. Hatua kwa hatua akafuatisha mistari ya unabii. Malaika wa mbinguni walikuwa<br />

wakiongo<strong>za</strong> akili yake.<br />

Akatoshelewa kwamba maoni ya watu wengi ya miaka elfu (millennium) mbele ya<br />

mwisho wa dunia hayakukubaliwa na Neno la Mungu. Mafundisho haya,ya kuonyesha<br />

miaka elfu ya amani mbele ya kuja kwa Bwana, ni kinyume cha mafundisho ya Kristo na<br />

mitume wake, waliotanga<strong>za</strong> kwamba ngano na magugu yanapashwa kukuwa pamoja hata<br />

wakati wa mavuno, mwisho wa dunia, na kwamba “watu wabaya na wadanganyifu<br />

wataendelea na kuzidi kuwa waovu.” 2 Timoteo 3:13.<br />

130

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!