21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Hata kwa wakati wa kufa kwa Kristo, hakuna badiliko lililofanyika katika siku”; na “ni<br />

hivyo kama maandiko yanavyoonyesha, wao (mitume) ... hawakutoa agizo lo lote la wazi<br />

kuonyesha kuachwa kwa Sabato ya siku ya saba, na kushikwa kwake kwa siku ya kwan<strong>za</strong><br />

ya juma.”<br />

Wakatoliki wa Roma wanatambua kwamba badiliko la Sabato lilifanywa na kanisa lao,<br />

na kutanga<strong>za</strong> kwamba Waprotestanti, kwa kushika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma),<br />

wanatambua mamlaka ya Roma. Maneno yamesemwa: “Wakati wa sheria ya kale,<br />

jumamosi (siku ya saba) ilikuwa siku iliyotakaswa; lakini kanisa, lilipoagizwa na Yesu<br />

Kristo, na kuongozwa na Roho ya Mungu, likabadilisha Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma:<br />

Dimanche) kwa Jumamosi (siku ya saba ya juma:Samedi), kwa hiyo tunatakasa siku ya<br />

kwan<strong>za</strong>, si siku ya saba, Jumapili maana yake, na sasa ni, siku ya Bwana.”<br />

Kama alama ya mamlaka ya Kanisa la Wakatoliki, waandishi wa Kanisa la Roma<br />

wananena “Tendo kabisa la kugeu<strong>za</strong> Sabato kwa Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma),<br />

ambalo Waprotestanti wanakubali; ... kwa sababu ya kushika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya<br />

juma), wanakubali mamlaka ya kanisa kwa kuamuru siku kuu, na kuzitawala chini ya<br />

<strong>za</strong>mbi.”<br />

Ni nini tena badiliko la Sabato, lakini ni alama, ao chapa, cha mamlaka ya Kanisa la<br />

Roma--“chapa ya mnyama”? Kanisa la Roma halikuacha madai yake kwa mamlaka.<br />

Wakati ulimwengu na makanisa ya Waprotestanti wanapokubali sabato iliotungwa na<br />

Roma, wakati wanapokataa Sabato ya Biblia, wanakubali kwa kweli majivuno haya. Kwa<br />

kufanya vile wana<strong>za</strong>rau kanuni zinazowatenga kwa Roma--kwamba “Biblia, na ni Biblia tu,<br />

ni dini ya Waprotestanti.” Kwa namna mwendo kwa ajili yakulazimisha Jumapili (siku ya<br />

kwan<strong>za</strong> ya juma) unapata upendeleo, mwishoni italeta Waprotestanti wote chini ya bendera<br />

ya Roma.<br />

Wakristo wa Kanisa la Roma wanatanga<strong>za</strong> kwamba “kushika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong><br />

ya juma) kwa Waprotestanti ni heshima kuu wanatoa, kwa kujichukia wenyewe, kwa<br />

mamlaka ya Kanisa .”7 Kwa kulazimisha kazi ya dini kwa mamlaka ya serkali ni kufanya<br />

sanamu kwa mnyama; kwa hiyo kulazimisha kushika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma)<br />

katika Amerika kungekuwa kulazimusha kuabudu ya mnyama na sanamu yake.<br />

Wakristo wa vi<strong>za</strong>zi vilivyopita walishika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma) waki<strong>za</strong>ni<br />

kwamba walikuwa wakishika Sabato ya Biblia, sasa kunakuwa Wakristo wa kweli katika<br />

kila kanisa ambao kwa uaminifu wanaamini kwamba Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma) ni<br />

agizo la kimungu. Mungu anakubali uaminifu wao na uhaki yao. Lakini wakati kushika<br />

Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma) itakapolazimishwa kwa sheria na ulimwengu<br />

utaangaziwa juu ya Sabato ya kweli, ndipo ye yote atakayevunja amri ya Mungu kwa kutii<br />

amri ya Roma kwa hiyo atakuwa anaheshimu mafundisho ya kipapa kuliko ya Mungu.<br />

Anakuwa akitoa heshima kwa Roma. Anakuwa akiabudu mnyama na sanamu yake. Ndipo<br />

watu watapokea chapa cha utii kwa Roma--“chapa ya mnyama.” Yale hayatafanyika hata<br />

188

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!