21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“katika mavazi ya gunia.” Katika nyakati <strong>za</strong> gi<strong>za</strong> kabisa watu waaminifu wakapewa hekima<br />

na mamlaka kwa kutanga<strong>za</strong> kweli wa Mungu. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

“Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumi<strong>za</strong>, moto utatoka katika vinywa vyao na kume<strong>za</strong><br />

adui <strong>za</strong>o. Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumi<strong>za</strong>, anapashwa kuuawa namna hii.” Ufunuo<br />

11:5. Watu hawawezi bila kuwa na hofu ya kupata malipizi kwa ku<strong>za</strong>rau Neno la Mungu!<br />

“Hata watakapomali<strong>za</strong> ushuhuda wao.” Wakati washuhuda hawa wawili walipokaribia<br />

mwisho wa kazi yao katika gi<strong>za</strong>, vita ilipaswa kufanywa juu yao na “yule nyama anayetoka<br />

katika shimo pasipo mwisho.” Hapa kunaonekana onyesho mpya la uwezo wa Shetani.<br />

Ilikuwa busara ya Roma, kushuhudia heshima kwa ajili ya Biblia, kwa kuifungisha kwa<br />

lugha isiyojulikana, ikafichwa kwa watu. Chini ya amri yake washahidi wakatabiri “katika<br />

mavazi ya gunia. ” Lakini ” yule nyama anayetoka katika shimo pasipo mwisho” alipashwa<br />

kufunguliwa na kufanya vita wazi wazi kwa Neno la Mungu.<br />

“Mji mkubwa” katika njia <strong>za</strong>ke ambazo washahidi hawa wawili waliuawa, na mahali<br />

maiti yao ililala ni “kwa kiroho” ni Misri. Kwa mataifa yote katika historia ya Biblia, Misri<br />

ndiyo iliyozidi kukana kuwako kwa Mungu na ikapinga amri <strong>za</strong>ke. Hakuna mfalme aliyeasi<br />

kwa ujasiri sana juu ya mamlaka ya mbingu kama mfalme wa Misri alivyofanya, Farao:<br />

“Simjui Bwana, na vilevile sitaruhusu Israeli kwenda.” Kutoka 5:2. Hii ni kusema hakuna<br />

Mungu (atheisme), na taifa linalowakilisha Misri lingetaja mfano wa namna moja wa<br />

Mungu na kuonyesha roho ya namna moja ya uasi.<br />

“Mji mkubwa” unafananishwa vile vile, “kwa kiroho,” na Sodomo. Maovu ya Sodomo<br />

yalionekana <strong>za</strong>idi katika uasherati. Zambi hizi zilipaswa kuwa vile vile tabia ya taifa<br />

lililopasa kutimi<strong>za</strong> andiko hili.<br />

Kwa kupatana na nabii, ndipo, mbele kidogo ya mwaka 1798 uwezo moja wa tabia ya<br />

uovu ukainuka kwa kufanya vita na Biblia. Na katika inchi ambapo “washuhuda wawili wa<br />

Mungu walipashwa kunyamazishwa, hapo pangekuwa onyesho la kutokujali kuwako kwa<br />

Mungu kwa Farao na usherati wa Sodomo.<br />

Utimilizo wa Ajabu wa Unabii<br />

Unabii huu ulipata utimilizo wa ajabu katika historia ya Ufransa wakati wa Mapinduzi<br />

(Revolution), katika mwaka 1793. “Ufransa ulikuwa ni taifa pekee katika historia ya dunia,<br />

ambayo kwa amri ya bara<strong>za</strong> la sheria, likatanga<strong>za</strong> kwamba hakuna Mungu, na ambaye<br />

wenyeji wote wa mji mkuu, na sehemu kubwa ya watu popote, wanawake na wanaume pia,<br />

wakache<strong>za</strong> na kuimba kwa furaha kwa kukubali tangazo hili.”<br />

Ufransa ukaonyesha pia tabia ambazo zilipambanua Sodomo. Mwandishi wa historia<br />

anaonyesha pamoja kukana Mungu na uasherati wa Ufransa: “Kwa uhusiano na sheria hizi<br />

juu ya dini, ilikuwa ile ambayo ilivunja muungano wa ndoa--maagano takatifu kuliko<br />

ambayo watu wanawe<strong>za</strong> kufanya, na kudumu ni wa lazima kwa ulinzi wa jamaa--<br />

108

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!