21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ma<strong>za</strong>bahu ya <strong>za</strong>habu ya uvumba, ambalo wingu la manukato, pamoja na maombi ya Israeli,<br />

yalikuwa yakipanda kila siku mbele <strong>za</strong> Mungu.<br />

Katika Pahali patakatifu pa patakatifu palisimama sanduku, sanduku ilifunikwa na<br />

<strong>za</strong>habu, gala ya Amri Kumi. Juu ya sanduku kulikuwa na kiti cha rehema kilichokuwa na<br />

makerubi wawili waliofanywa na <strong>za</strong>habu ngumu. Ndani ya chumba hiki kuwako kwa<br />

Mungu kulionekana katika wingu utukufu lililokuwa katikati ya kerubi.<br />

Baada ya kuwekwa kwa Waebrania katika Kanana, hema ao maskani iliwakombolewa<br />

kwa hekalu ya Solomono, ambayo, ijapo ni ya umbo la daima na ya ukubwa wa juu,<br />

ikafuata ulinganifu wa namna moja na vyombo vivyo hivyo. Katika umbo hili hema<br />

likawako--isipokuwa kwa wakati wa maangamizi wakati wa Danieli-hata maharibifu yake<br />

iliyofanywa na wa Waroma katika mwaka A.D. 70. Hii ni Pahali patakatifu tu duniani<br />

ambapo Biblia inatoa maelezo yote, Pahali patakatifu pa agano la kwan<strong>za</strong>. Lakini agano<br />

jipya halina Pahali patakatifu?<br />

Kurudi tena kwa kitabu cha Waebrania, wakatafuta ukweli wakaona kwamba Pahali<br />

patakatifu pa agano la pili ao jipya ilionyeshwa katika maneno yaliyokwisha kuelezwa<br />

vizuri: “Basi hata agano la kwan<strong>za</strong> lilikuwa na amri ya kuabudu Mungu, na Pahali<br />

patakatifu pake pa dunia.” Kurudi nyuma kwa mwanzo wa sura ya kwan<strong>za</strong>, wanasoma:<br />

“Basi, neno kubwa katika maneno haya tunasoma ni hii: Tuna kuhani mukubwa wa namna<br />

hii, aliyeketi mukono wa kuume wa kiti cha Mwenyezi katika mbingu, mutumishi wa Pahali<br />

patakatifu, na wa hema ya kweli, ndiyo Bwana aliisimamisha, wala si watu.” Waebrania<br />

8:1,2.<br />

Hapa panafunua Pahali patakatifu pa agano jipya... Pahali patakatifu pa agano la kwan<strong>za</strong><br />

ilitengenezwa na Musa; hii ilitengenezwa na Bwana. Katika patakatifu pale pa kidunia<br />

makuhani walikuwa wakitenda huduma yao; katika hii, Kristo, Kuhani wetu Mkuu,<br />

alihudumia kwa mukono wa kuume wa Mungu. Hema takatifu moja ilikuwa duniani, na<br />

ingine ilikuwa mbinguni.<br />

Hema iliyojengwa na Musa ilifanywa kwa mfano. Bwana alipokuwa akionyesha:<br />

“Sawasawa na maneno yote ninayokuonyesha, mufano wa hema, mfano wa vyombo vyake<br />

vyote, ndivyo mutakavyofanya.” “Na angalia uvifanye kwa mufano wao ulioonyeshwa<br />

mulimani.” Hema ya kwan<strong>za</strong> ilikuwa “mufano wa wakati wa sasa; ndani yake sadaka na<br />

<strong>za</strong>bihu zilitolewa”, mahali pake takatifu “mifano ya vitu vilivyo mbinguni.” Makuhani<br />

walikuwa wakitumika kwa mufano na kivuli cha vitu vya mbinguni.” Kristo hakuingia<br />

katika Pahali patakatifu palipofanywa kwa mikono, ndio mufano wa kweli, lakini aliingia<br />

mbinguni zenyewe, aonekane sasa mbele ya Mungu kwa ajili yetu.” Kutoka 25:9,40;<br />

Waebrania 9:23; 8:5; 9:24.<br />

Hema ya mbinguni ni asili kubwa ya hema Musa alijenga ambayo ilikuwa ni mfano.<br />

Fahari ya hema ya kidunia ilikuwa mfano wa utukufu wa hekalu lile la mbinguni pahali<br />

172

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!