21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 36. Migogoro Inayokaribia<br />

Tangu mwanzo kabisa wa vita kubwa mbinguni, kusudi daima la Shetani lilikuwa<br />

kuvunja sheria ya Mungu. Kwa yeye kufikia kusudi lake ni kukataa sheria yote ama kukataa<br />

mojawapo ya amri <strong>za</strong>ke, matokeo yatakuwa namna moja. Mtu anayekosa “katika neno moja<br />

tu” anaonyesha <strong>za</strong>rau kwa sheria yote; mvuto wake na mfano yanakuwa kwa upande wa<br />

kosa; anakuwa mwenye kukosa juu ya yote”. Yakobo 2:10.<br />

Shetani amepotesha mafundisho ya Biblia, na kwa hivi makosa yakaingia katika imani<br />

ya maelfu. Mapigano makubwa ya mwisho kati ya ukweli na uwongo ni juu ya amri ya<br />

Mungu, kati ya Biblia na dini ya uwongo na mambo ya asili. Biblia inafikia wote, lakini<br />

wachache tu wanaoikubali kama kiongozi cha uzima. Katika kanisa wengi wanakana nguzo<br />

<strong>za</strong> imani ya Kristo. Uumbaji, kuanguka kwa mtu, upatanisho wa Yesu Kristo kwa kufa<br />

kwake, na sheria ya Mungu hutawaliwa yote ao sehemu. Maelfu wanai<strong>za</strong>nia kuwa kama<br />

ushuhuda wa u<strong>za</strong>ifu kuweka tumaini kamili katika Biblia.<br />

Ni rahisi kufanya sanamu na maelezo ya uwongo kama kufanya sanamu ya mti ao jiwe.<br />

Kwa kuele<strong>za</strong> Mungu vibaya, Shetani anaongo<strong>za</strong> watu kum<strong>za</strong>nia katika tabia ya uwongo.<br />

Sanamu ya utilivu imewekwa katika pahali pa Mungu mwenye uhai kama anavyofuniliwa<br />

katika Neno lake, katika Kristo, na katika kazi ya uumbaji. Mungu wa watu hodari wengi,<br />

watunga mashairi, watu wa siasa, waandishi wa habari kwa magazetu-wa vyuo vikubwa<br />

(universités) vingi, hata wavyama vya elimu ya tabia na <strong>za</strong> Mungu na dini (théologie) ni<br />

afa<strong>za</strong>li kidogo kuliko Bali, mungu wa jua wa Foiniki katika siku <strong>za</strong> Eliya. Hapana kosa<br />

linalofika kwa ujasiri <strong>za</strong>idi juu ya mamlaka ya Mungu, hapana linalokuwa mbaya <strong>za</strong>idi<br />

katika matukio yake, kuliko mafundisho ya kwamba sheria ya Mungu haina na masharti<br />

tena. Ufikiri ya kama wahuduma wenye kujulikana walikuwa wakifundisha kwa wazi ya<br />

kuwa sheria zinazotawala inchi yao hazikuwa <strong>za</strong> lazima, ya kama zilizuia mambo ya uhuru<br />

wa watu na haiwapashwi kutiiwa; muda gani watu kama wale wangevumiliwa katika<br />

mimbara?<br />

Ingekuwa muaminifu <strong>za</strong>idi kwa mataifa kuvunja sheria <strong>za</strong>o kuliko kwa mtawala wa<br />

viumbe vyote kutangua sheria yake. Jaribio la kufanya nafasi sheria ya Mungu lilijaribiwa<br />

katika Ufransa wakati kukana Mungu ulipokuwa na uwezo wa kutawala. Ilionyeshwa ya<br />

kwamba kwa kutupa amri ambazo Mungu aliamuru ni kukubali kanuni ya mtawala wa<br />

uovu.<br />

Kuweka Kando Sheria ya Mungu<br />

Wale wanaofundisha watu kutun<strong>za</strong> sheria <strong>za</strong> Mungu kwa urahisi wanapanda uasi kwa<br />

kuvuna uasi. Kuacha amri iliyoamuriwa kwa sheria ya Mungu kuweka yote kando, na sheria<br />

<strong>za</strong> kibinadamu kwa upesi hazitajaliwa. Matokeo ya kutangua amri <strong>za</strong> Mungu ingekuwa<br />

kama hazikutumainiwa. Mali hayangekuwa tena na usalama. Watu wangekamata milki ya<br />

jirani <strong>za</strong>o kwa jeuri, na walio hodari <strong>za</strong>idi wangekuwa watajiri kuliko. Maisha yenyewe<br />

243

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!