21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

uchafu unajaa kwa kila mkono? Wengi kwa moyo wanakubali maongozi ya tamaa mbaya.<br />

Shetani anachukua maelfu katika wavu lake wanaodai kufuata Kristo.<br />

Lakini Mungu ametoa nuru ya kutosha kuvumbua mtego huo. Msingi kabisa wa imani<br />

ya kuwa kwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa unakuwa kwa vita ikipiganisha Maandiko. Biblia<br />

inasema ya kwamba wafu hawajui kitu, ya kwamba mawazo yao yamepotea; hawana<br />

sehemu katika furaha wala huzuni ya wale wanaokuwa duniani.<br />

Tena <strong>za</strong>idi Mungu amekata<strong>za</strong> maarifa ya hila yamazungumzo na roho <strong>za</strong> wafu.<br />

“mashetani”. Kama hawa wageni kutoka dunia zingine walikuwa wakiitwa, wanatangazwa<br />

na Biblia kuwa “pepo <strong>za</strong> mashetani”. Ta<strong>za</strong>ma Hesabu 25:1-3; Zaburi 106:28; 1 Wakorinto<br />

10:20; Ufunuo 16:14. Kutendeana pamoja nao kulikatazwa katika a<strong>za</strong>bu ya kufa. Walawi<br />

19:31; 20:27. Lakini imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa (spiritisme) imefanya njia yake<br />

katika jamii <strong>za</strong> ujuzoi wakweli ikashambulia makanisa, na kupata upendeleo katika majamii<br />

ya wafanya sheria, hata katika majumba ya wafalme. Udanganyifu mkubwa huu ni uamsho<br />

katika hila mpya ya uchawi uliohukumiwa <strong>za</strong>mani.<br />

Kwa kuonyesha ubaya <strong>za</strong>idi wa watu kama katika mbingu, Shetani anasema kwa<br />

ulimwengu: “Si kitu ukiamini wala usipoamini Mungu na Biblia, uishi kama unanvyopenda;<br />

mbingu ni makao yako”. Neno la Mungu linasema: “Ole wao wanaoita uovu mema, na<br />

wanaita mema uovu; wanaoweka gi<strong>za</strong> kwa nuru, na nuru gi<strong>za</strong>.” Isaya 5:20.<br />

Biblia llifananishwa kama Habari <strong>za</strong> Uwongo<br />

Mitume, wanafananishwa na pepo <strong>za</strong> uwongo, wanafanywa, kwa kukanusha mambo<br />

waliyoandika wakati walipokuwa kwa dunia. Shetani anafanya ulimwengu kuamini ya<br />

kwamba Biblia ni habari <strong>za</strong> uwongo, kitabu kilichopende<strong>za</strong> kwa utoto wa taifa, lakini, sasa<br />

ku<strong>za</strong>niwa kama kisiuchofaa. Kitabu kinachopaswa kumuhukumu yeye na wafuasi wake<br />

anakiweka katika kivuli; Mwokozi wa ulimwengu anamfanya kuwa kama mtu yo yote. Na<br />

waaminifu katika mifano ya kiroho wanajaribu kufanya kuonekana kwamba hakuna kitu cha<br />

muuji<strong>za</strong> katika maisha ya Mwokozi wetu. Miuji<strong>za</strong> yao wenyewe, inatanga<strong>za</strong>, kwa mbali<br />

<strong>za</strong>idi kazi <strong>za</strong> Kristo.<br />

Imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa (spiritisme) inajitwalia sasa umbo la Kikristo.<br />

Lakini mafundisho yake hayawezi kukanushwa wala kufichwa. Katika mfano wake wa sasa<br />

unakuwa ya hatari <strong>za</strong>idi, wa hila, udanganyifu. Inajidai sasa kukubali Kristo na Biblia.<br />

Lakini Biblia inafasiriwa kwa namna ya kupende<strong>za</strong> kwa moyo mpya. Mapendo inakuwako<br />

kama sifa bora ya Mungu, lakini inaaibishwa kwa tamaa <strong>za</strong>ifu kufanya tofauti ndogo kati ya<br />

uzuri na ubaya. Mashitaki ya Mungu ya <strong>za</strong>mbi, matakwa ya sheria yake takatifu<br />

yanachungwa mbali na kuonekana kwa macho. Mifano inaongo<strong>za</strong> watu kukataa Biblia kama<br />

msingi wa imani yao. Kristo anakaniwa kama mbele, lakini udanganyifu hautambuliwe.<br />

Wachache wanakuwa na wazo la haki la uwezo wa kudanganwa wa imani ya kuwa na<br />

roho <strong>za</strong> watu waliokufa (spiritisme). Wengi wanavuta vibaya nao kwa kupende<strong>za</strong> tu<br />

232

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!