21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 9. Nuru Iliwashwa Katika Usuisi<br />

Juma chache baada ya ku<strong>za</strong>liwa kwa Luther katika kibanda cha mchimba madini katika<br />

Saxe, Ulric Zwingli aka<strong>za</strong>liwa katika nyumba ndogo ya wachungaji katika milima mirefu ya<br />

Alpes. Alipokelewa pahali penye maubule makubwa, akili yake mwanzoni tu ikavutwa na<br />

utukufu wa Mungu. Kando ya babu wake mwanamke, alisikili<strong>za</strong> hadizi chache <strong>za</strong> damani <strong>za</strong><br />

Biblia alizokusanya kwa shida kutoka kwa hadizi na mafundisho ya kanisa yaliyotokea<br />

<strong>za</strong>mani.<br />

Kwa umri wa miaka kumi na mitatu akaenda Berne, mahali palipokuwa shule lililokuwa<br />

la sifa sana katika Usuisi. Hapa, lakini, kukatokea hatari. Juhudi nyingi zikafanywa na<br />

watawa kwa kumvuta katika nyumba ya watawa. Kwa bahati baba yake akapata habari ya<br />

makusudi ya watawa. Aliona kwamba mafaa ya wakati ujao ya mwanawe yalikuwa ya kufa<br />

kwa ajili ya imani ya dini na akamwongo<strong>za</strong> kurudi nyumbani.<br />

Agizo likasikiwa, lakini kijana hakuwe<strong>za</strong> kurizika katika bonde lake la ku<strong>za</strong>liwa,<br />

akaenda kufuata masomo yake huko Ba le. Ni hapo ambapo Zwingli alisikia mara ya<br />

kwan<strong>za</strong> injili ya neema ya Mungu isionunuliwa. Huko Wittembach, alipokuwa akijifun<strong>za</strong><br />

(kiyunani) Kigiriki na Kiebrania, akaongozwa kwa Maandiko matakatifu, kwa hivyo nyali<br />

<strong>za</strong> nuru ya Mungu ikatolewa katika akili <strong>za</strong> wanafunzi aliokuwa akifundisha. Akatanga<strong>za</strong><br />

kwamba kifo cha Kristo ni ukombozi wa kipekee wa mwenye <strong>za</strong>mbi. Kwa Zwingli maneno<br />

haya ni nyali ya kwan<strong>za</strong> ya nuru unayotangulia mapambazuko.<br />

Zwingli akaitwa upesi kutoka Bale kwa kuingia kwa kazi yake ya maisha. Kazi yake ya<br />

kwan<strong>za</strong> ilikuwa katika vilaya ya milima mirefu. Akatakaswa kama padri, “akajitoa wakfu na<br />

roho yake yote kwa kutafuta kweli ya Mungu.” Namna alizidi kutafuta Maandiko, <strong>za</strong>idi<br />

tofauti ikaonekana kwake kati ya ukweli na mambo ya kupinga imani ya dini ya Roma.<br />

Akajitoa mwenyewe kwa Biblia kama Neno la Mungu, amri moja tu inayofaa na ya haki.<br />

Aliona kwamba Biblia inapaswa kuwa mfariji wake mwenyewe. Akatafuta usaada wowote<br />

kwa kupata ufahamu kamili wa maana yake, na akaomba usaada wa Roho Mtakatifu.<br />

“Nikaan<strong>za</strong> kumuomba Mungu kwa ajili ya nuru yake, “baadaye akaandika, “na Maandiko<br />

yakaan<strong>za</strong> kuwa rahisi <strong>za</strong>idi kwangu.”<br />

Mafundisho yaliyohubiriwa na Zwingli hayakupokewa kutoka kwa Luther. Yalikuwa<br />

mafundisho ya Kristo. “ikiwa Luther anahubiri Kristo,” akasema Mtengene<strong>za</strong>ji wa Usuisi,<br />

“anafanya ninavyofanya. ... Hakuna hata neno moja lililoandikwa nami kwa Luther wala<br />

lililoandikwa na Luther kwangu. Ni kwa sababu gani? ... Ili ipate kuonyeshwa namna gani<br />

Roho wa Mungu anakuwa katika sauti moja kwake mwenyewe, hivi sisi wawili, bila<br />

mgongano, tunafundisha mafundisho ya Kristo kwa ulinganifu kama huo.”<br />

Katika mwaka 1516 Zwingli akaalikwa kuhubiri katika nyumba ya watawa huko<br />

Einsiedeln. Hapa alipashwa kutumia kama Mtengene<strong>za</strong>ji mvuto ambao ungesikiwa mbali<br />

hata kuvuka milima mirefu (Alpes) alipo<strong>za</strong>liwa.<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!