21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Wakati habari ya mauaji ilipofika Roma, furaha ya mapadri haikujua mpaka. Askofu<br />

wa Lorraine akatolea mjumbe <strong>za</strong>wadi ya mataji elfu; mzinga wa Saint-Ange mtakatifu<br />

akapiga ngurumo ya salamu <strong>za</strong> furaha; na kengele zikalia kwa minara ya makanisa yote;<br />

mioto ya furaha ikageu<strong>za</strong> usiku kuwa mchana; na Papa Gregoire XIII, pamoja na maaskofu<br />

na wakuu wengine wa kanisa, wakaenda kwa mwandamano mrefu kwa kanisa la Saint-<br />

Louis, mahali askofu wa Lorraine aliimba Te Deum. ... Nishani ikapigwa kwa kumbukumbu<br />

la machinjo. ... Padri wa Ufransa ... akasema kwa ajili ya`siku ile akijaa na kicheko na<br />

furaha, wakati baba mtakatifu alipokea habari, na akaenda kwa hali ya heshima kwa<br />

kumshukuru Mungu na Mtakatifu Ludoviko.”<br />

Roho mbaya ya namna moja iliyosukuma kuuawa kwa SaintBarthelemy akaongo<strong>za</strong> pia<br />

katika maonyesho <strong>za</strong> Mapinduzi. Yesu Kristo akatangazwa kuwa kama mjanja, na kilio cha<br />

makafiri wa Ufransa kikawaangami<strong>za</strong> wamaskini,” maana yake Kristo. Matukano na uovu<br />

yakaenda pamoja. Katika haya yote, ibada ilitolewa kwa Shetani, wakati Kristo, katika tabia<br />

<strong>za</strong>ke <strong>za</strong> kweli, usafi, na upendo wake wa kupendelea wengine kuliko yeye mwenyewe,<br />

alisuubiwa.”<br />

“Yule nyama anayetoka katika shimo pasipo mwisho atafanya vita nao; naye<br />

atawashinda na kuwaua.” Ufunuo 11:7. Mamlaka ya kukana kumjua Mungu iliyotawala<br />

katika Ufransa wakati wa Mapinduzi na utawala wa Hofu kuu ilipigana vita ya namna hiyo<br />

kumpinga Mungu na Neno lake. Ibada ya Mungu ikakomeshwa na bara<strong>za</strong> la Taifa. Vitabu<br />

vya Biblia vikakusanywa na kuchomwa mbele ya watu wote. Vyama vya Biblia<br />

vikaharibiwa. Siku ya kustarehe ya juma ikakatazwa, na mahali pake kila siku kumi<br />

ikatengwa kwa makutano. Ubatizo na ushirika Mtakatifu (Me<strong>za</strong> ya Bwana) vikakatazwa.<br />

Matangazo yakawekwa kwa mahali pa maziko kutanga<strong>za</strong> kwamba mauti ni usingizi wa<br />

milele.<br />

Ibada ya dini yote ikakatazwa, ila tu ile ya uhuru na ya inchi. “Askofu wa kushika sheria<br />

wa Paris akaletwa ... kwa kutanga<strong>za</strong> kwa mapatano kwamba dini aliyofundisha kwa miaka<br />

nyingi ilikuwa, katika heshima yote, sehemu ya ujanja wa mapadri, ambayo haikuwa na<br />

msingi hata katika historia ao ukweli takatifu. Katika maneno ya kutisha sana na ya wazi,<br />

akakana kuwako kwake Mungu ambako alijitakasa kwa ajili yake.”<br />

“Nao wanaokaa juu ya dunia watafurahi juu yao na kuwachekelea. Watapelekeana<br />

<strong>za</strong>wadi moja kwa wengine, kwa sababu manabii hawa wawili waliwatesa wao wanaokaa juu<br />

ya dunia.” Ufunuo 11:10. Ufransa kafiri ukanyamazisha sauti yenye kulaumu ya washahidi<br />

wawili wa Mungu. Neno la ukweli likalala chini kama maiti” katika njia <strong>za</strong>ke, na wale<br />

waliochukia sheria <strong>za</strong> Mungu wakafurahi. Watu kwa wazi wakachafua Mfalme wa<br />

mbinguni.<br />

Te Deum : Wimbo wa kushukuru wa kanisa la kikatoliki unaoan<strong>za</strong> na maneno haya :<br />

‘’Bwana tunakusifu”.<br />

110

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!