21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wariti wa Mungu wanatoka kwa vyjumba vya orofani, vibanda vibovu, gere<strong>za</strong>, mahali<br />

wauaji wanaponyongwa kwa sheria, milimani, jangwani, mapangoni. Walikuwa “maskini,<br />

wakiteswa, kusumbuliwa”. Mamilioni walienda kwa kaburi wakilemezwa na sifa mbaya<br />

kwa sababu walikataa kujitoa kwa Shetani. Lakini sasa hawateseki tena, hawatawanyike<br />

tena, na hawaonewe. Toka sasa wanasimama wanapovaa mavazi ya utajiri kuliko nguo watu<br />

walioheshimiwa sana wa dunia waliyovaa, kuvikwa na mataji ya utukufu <strong>za</strong>idi kuliko yale<br />

yaliyovikwa kwa paji la uso ya wafalme wa dunia. Mfalme wa utukufu amepangu<strong>za</strong><br />

machozi kwa nyuso zote. Wanatoa wimbo wa sifa, wazi, tamu, na wakupatana. Wimbo wa<br />

furaha ukaenea katika miruko ya mbinguni: “Wokovu kwa Mungu wetu anayeketi juu ya<br />

kiti cha enzi, na kwa Mwana-Kondoo”. Na wote wakaitika, “Amina: Baraka na utukufu, na<br />

hekima, na shukrani, na heshima, na uwezo, na nguvu kwa Mungu wetu hata milele na<br />

milele”. Ufunuo 7:10,12.<br />

Katika maisha haya tunawe<strong>za</strong> tu kuan<strong>za</strong> kufahamu asili ya ajabu ya wokovu. Kwa<br />

ufahamu wetu wenye mpaka tungewe<strong>za</strong> kufikiri <strong>za</strong>idi kwa kweli haya na utukufu, uzima<br />

(maisha) na mauti, haki na rehema, yanayokutana katika msalaba; lakini kwa mvuto <strong>za</strong>idi<br />

wa nguvu <strong>za</strong> akili yetu tunashindwa kuelewa maana yake kamili. Urefu na upana, urefu wa<br />

kwenda chini na urefu wa kwenda juu, wa upendo wa ukombozi unafahamika kidogo tu.<br />

Shauri la wokovu halitafahamika kamili, hata wakati waliokombolewa wanapoona kama<br />

wanavyoonwa na kujua kama wanavyojulikana; lakini katika vi<strong>za</strong>zi vya milele kweli mpya<br />

itaendelea kufunuliwa akili ya ajabu na furaha. Ijapo masikitiko na maumivu na majaribu ya<br />

dunia yanapomalizika na sababu imeondolewa, watu wa Mungu watakuwa na maarifa ya<br />

kupambanua, na akili ya kufahamu bei ya wokovu wao. Msalaba utakuwa ni wimbo wa<br />

waliookolewa milele.<br />

Katika Kristo aliyetukuzwa wanamta<strong>za</strong>ma Kristo aliyesulibiwa. Haitasahauliwa kamwe<br />

ya kwamba Mwenye Enzi wa mbinguni alijinyenyeke<strong>za</strong> mwenyewe kwa kuinua mtu<br />

aliyeanguka, ili achukue kosa na haya ya <strong>za</strong>mbi na kuficha uso wa Baba yake hata misiba ya<br />

ulimwengu uliopotea unapovunja moyo wake na kuangami<strong>za</strong> maisha yake. Muumba wa<br />

dunia yote akaweka pembeni utukufu wake sababu ya upendo kwa mtu--hii itaamsha milele<br />

mshangao wa viumbe vyote. Wakati mataifa ya waliookolewa wanapomta<strong>za</strong>ma Mkombozi<br />

wao na kujua ya kwamba ufalme wake ni wa kutokuwa na mwisho, wanaendelea katika<br />

wimbo: “Anastahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, na aliyetukomboa kwa Mungu kwa damu<br />

yake mwenyewe ya damani!”<br />

Siri ya msalaba inaele<strong>za</strong> siri zote. Itaonekana ya kwamba yeye anayekuwa pasipo<br />

mwisho kwa hekima hangefanya shauri lingine kwa ajili ya wokovu wetu isipokuwa kafara<br />

ya Mwana wake. Malipo kwa ajili ya kafara hii ni furaha ya kuja<strong>za</strong> dunia na viumbe<br />

vilivyokombolewa, vitakatifu, vya furaha, na vya milele. Hii ni damani ya nafsi ambayo<br />

Baba anatoshelewa kwa bei iliyolipwa. Na Kristo mwenyewe, kwa kuta<strong>za</strong>ma matunda ya<br />

kafara yake kubwa, anatoshelewa.<br />

271

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!