21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

akahubiri ujumbe wa kurudi kwa Yesu. Wakati alipoingia katika kazi ya kuhubiri akaelekea<br />

kwa mafundisho ya mashaka. Katika ujana wake akapendezwa na mambo ya unabii. Baada<br />

ya kusoma Ancient History ya Rollin, uangalifu wake ukawa kwa sura ya pili ya Danieli.<br />

Akashangazwa na namna unabii ulitimilika kwa uaminifu. Hapa palikuwa na ushuhuda kwa<br />

maongozi ya Maandiko. Hakuwe<strong>za</strong> kudumu kutoshelewa na akili <strong>za</strong> kibinadamu, na katika<br />

kujifun<strong>za</strong> Biblia akaongozwa kwa imani ya hakika.<br />

Akafikia kwa imani kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu. Alipovutwa na<br />

umuhimu wa ukweli huu, akakusudia kuupeleka mbele ya watu. Lakini imani ya watu<br />

wengi kwamba mambo ya unabii wa Danieli hayawezi kufahamika ilikuwa kizuizi kikubwa.<br />

Mwishowe akakusudia--kama vile Farel alivyofanya mbele yake katika kuhubiri Genève--<br />

kwa kuan<strong>za</strong> na watoto, kwa njia yao akatumainia kuwa wa<strong>za</strong>zi watavutwa. Akasema,<br />

“Nikusanya wasikili<strong>za</strong>ji watoto; kama kundi linaongezeka kuwa, kubwa, kama likionekana<br />

kwamba wanasikili<strong>za</strong>, wanapendezwa, wanakuwa na usikizi, kwamba wanafahamu na<br />

kuele<strong>za</strong> fundisho, nina hakika kuwa na kundi la pili karibu, na wao, watu wakubwa wataona<br />

kwamba ni faida yao kukaa na kujifun<strong>za</strong>. Wakati jambo hili linapotendeka, ushindi<br />

utapatikana.”<br />

Alipokuwa akisema na watoto, watu wakubwa wakaja kusikili<strong>za</strong>. Vyumba vya kanisa<br />

lake vikajaa na wasikili<strong>za</strong>ji, watu wa heshima na wenye elimu, na wageni wa inchi zingine<br />

wakazuru Geneve. Kwa hivyo ujumbe ukapelekwa kwa sehemu zingine.<br />

Alipotiwa moyo, Gaussen akatanga<strong>za</strong> mafundisho yake na matumaini ya kuanzisha<br />

mafundisho ya vitabu vya unabii. Baadaye akawa mwalimu katika chuo cha elimu ya tabia<br />

na sifa <strong>za</strong> Mungu na dini, akiendelea kwa siku ya juma pili na kazi yake kama mwalimu wa<br />

katikisimu, kusema kwa watoto na kuwafundisha katika Maandiko. Kwa kiti cha mwalimu,<br />

kwa njia ya vitabu (chapa) na kama mwalimu wa watoto, yeye kwa miaka mingi alikuwa<br />

chombo katika kuita uangalifu wa wengi kwa mambo ya unabii ambayo yalionyesha<br />

kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu.<br />

Wahubiri Watoto wa Skandinavie<br />

Katika Skandinavie vilevile ujumbe wa kurudi kwa Yesu alitangazwa. Wengi<br />

wakasimama kutubu na kuacha <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o na kutafuta rehema katika jina la Kristo. Lakini<br />

padri wa kanisa la mahali pale akapinga mabadiliko, na wengine waliohubiri ujumbe<br />

wakatupwa gere<strong>za</strong>ni. Mahali pengi ambapo wahubiri wa kuja kwa Bwana kwa karibu<br />

walinyamazishwa, Mungu akapendezwa kutuma ujumbe kwa njia ya watoto wadogo. Kama<br />

vile walikuwa chini ya umri wa maisha ya mtu mzima, serkali haikuwe<strong>za</strong> kuwafunga, na<br />

wakaruhusiwa kusema bila kusumbuliwa.<br />

Katika makao yake ya umasikini watu wakakusanyika kusikia maonyo. Wahubiri<br />

wengine watoto hawakuwa <strong>za</strong>idi ya umri wa miaka sita ao mnane; ijapo maisha yao<br />

yalishuhudia kwamba walimpenda Mwokozi, wakaonyesha tu kwa kawaida akili na uwezo<br />

151

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!