21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mwenye haki na mtakatifu; alihukumiwa, ijapokuwa hakuwa na kosa ... niko tayari kwa<br />

kufa. Sitarudia nyuma mbele ya maumivu mabaya yale yanayotayarishwa kwa ajili yangu<br />

na adui <strong>za</strong>ngu na mashahidi wa uongo, ambao siku moja watatoa hesabu ya mambo yao ya<br />

ujanja mbele ya Mungu Mkuu, ambaye hakuna kitu kinawe<strong>za</strong> kudanganya.”<br />

Jerome akaendelea: “Kwa <strong>za</strong>mbi zote nilizozifanya tangu ujana wangu, hakuna moja<br />

inayokuwa na uzito sana katika akili yangu, na kuniletea majuto makali, kama ile<br />

niliyofanya katika mahali hapa pa kufisha, wakati nilipokubali hukumu mbaya sana<br />

iliyofanywa juu ya Wycliffe, na juu ya mfia dini mtakatifu, John Huss, bwana wangu na<br />

rafiki yangu. Ndiyo! Ninatubu kutoka moyoni mwangu, na natanga<strong>za</strong> kwa hofu kuu<br />

kwamba nilitetemeka kwa haya sababu ya hofu ya mauti, nililaumu mafundisho yao. Kwa<br />

hiyo ni naomba ... Mwenyezi Mungu tafa<strong>za</strong>li unirehemu <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ngu, na hii kwa upekee,<br />

mbaya kuliko zote.”<br />

Kueleke<strong>za</strong> kwa waamuzi wake, akasema kwa uhodari, “Muliwahukumu Wycliffe na<br />

John Huss ... mambo ambayo walihakikisha, na yasiyo ya udanganyifu, nafikiri, pia vile vile<br />

na kutanga<strong>za</strong>, kama wao.” Maneno yake yakakatwa. Maaskofu wakitetemeka na hasira,<br />

wakapa<strong>za</strong> sauti: “Haja gani iko pale ya ushuhuda <strong>za</strong>idi? Tunaona kwa macho yetu wenyewe<br />

wingi wa ukaidi wa wapinga dini!”<br />

Bila kutikiswa na tufani, Jerome akaka<strong>za</strong> sauti: “Nini basi! munafikiri kwamba naogopa<br />

kufa? Mulinishika mwaka mzima katika gere<strong>za</strong> la kutisha, la kuchuki<strong>za</strong> kuliko mauti<br />

yenyewe. ... Siwezi bali naele<strong>za</strong> mshangao wangu kwa ushenzi mkubwa wa namna hii juu<br />

ya Mkristo.” Akahesabiwa Kifungo na Mauti. Tena zoruba ya hasira ikatokea kwa nguvu,<br />

na Jerome akapelekwa gere<strong>za</strong>ni kwa haraka. Kwani kulikuwa wengine ambao maneno yake<br />

yaliwagusa na kuwapa mawazo mioyoni na walitamani kuokoa maisha yake. Alizuriwa na<br />

wakuu wenye cheo na kumuomba sana kutii bara<strong>za</strong>. Matumaini mazuri yalitolewa kama<br />

<strong>za</strong>wadi.<br />

“Shuhudieni kwangu kwa Maandiko matakatifu kwamba niko katika makosa,” akasema,<br />

“na nitaikana kwa kiapo.”<br />

“Maandiko matakatifu”! akapa<strong>za</strong> sauti mmoja wao wa wajaribu wake, “je, kila kitu basi<br />

ni kuhukumiwa kwa yale Maandiko? Nani anawe<strong>za</strong> kuyafahamu mpaka kanisa<br />

ameyatafsiri?”<br />

“Je, maagizo ya watu yanakuwa na bei kuliko injili ya Mwokozi wetu?” akajibu Jerome.<br />

“Mpunga dini!” lilikuwa jibu. “Natubu kwa kutetea wakati mrefu pamoja nanyi. Naona<br />

kwamba unashurutishwa na Shetani”.<br />

Kwa gafula akapelekwa mahali pale pale ambapo Huss alitoa maisha yake. Alikwenda<br />

akiimba njiani mwake, uso wake ukang’aa kwa furaha na amani. Kwake mauti ilipote<strong>za</strong><br />

kutisha kwake. Wakati mwuaji, alipotaka kuwasha kundi, akasimama nyuma yake, mfia dini<br />

44

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!