21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yangewe<strong>za</strong> kupata hasara. Si kwa usalama wake mwenyewe, bali kwa ajili ya ushindi wa<br />

injili alishindana na Mungu. Katika ukosefu wa usaada imani yake ikashikilia juu ya Kristo,<br />

Mkombozi mkuu. Hangeonekana pekee yake mbele ya bara<strong>za</strong>. Amani ikarudi kwa roho<br />

yake, na akafurahi kwamba aliruhusiwa kuinua Neno la Mungu mbele ya watawala wa<br />

mataifa.<br />

Luther akawa<strong>za</strong> juu ya jibu lake, akachungu<strong>za</strong> maneno katika maandiko yake, na akapata<br />

kwa Maandiko matakatifu mahakikisho ya kufaa kwa kusimamia maneno yake. Ndipo,<br />

akatia mkono wake wa kushoto kwa Kitabu Kitakatifu, akainua mkono wake wa kuume<br />

mbinguni na akaapa kwa kiapo “kukua mwaminifu kwa injili, na kwa uhuru kutanga<strong>za</strong><br />

imani yake, hata ingewe<strong>za</strong> kutia mhuri kwa ushuhuda wake kwa kumtia damu yake.”<br />

Luther Mbele ya Bara<strong>za</strong> Tena<br />

Wakati alipoingizwa tena ndani ya Bara<strong>za</strong>, alikuwa mwenye ukimya na amani, lakini<br />

shujaa mwenye tabia nzuri, kama mshuhuda wa Mungu miongoni mwa wakuu wa dunia.<br />

Ofisa wa mfalme akauli<strong>za</strong> uamuzi wake. Je, alitaka kukana? Luther akatoa jibu lake kwa<br />

sauti ya unyenyekevu, bila ugomvi wala hasira. Mwenendo wake ulikuwa wa wasiwasi na<br />

wa heshima; lakini akaonyesha tumaini na furaha ambayo ilishanga<strong>za</strong> makutano.<br />

“Mfalme mwema sana, watawala watukufu, mabwana wa neema,” akasema Luther,<br />

“naonekana mbele yenu leo, kufuatana na agizo nililopewa jana. Kama katika ujinga,<br />

ningevunja desturi utaratibu wa mahakama, ninaomba munirehemu; kwani sikukomalia<br />

katika ma nyumba ya wafalme, bali katika maficho ya nyumba ya watawa.”<br />

Ndipo akasema kwamba katika kazi <strong>za</strong>ke zingine zilizochapwa aliele<strong>za</strong> habari ya imani<br />

na matendo mema; hata maadui <strong>za</strong>ke walizitanga<strong>za</strong> kuwa <strong>za</strong> kufaa. Kuzikana ingehukumu<br />

kweli ambazo wote walikubali. Aina ya pili ni ya maandiko ya kufunua makosa na<br />

matumizi mabaya ya cheo cha Papa. Kuharibu haya ni kuimarisha jeuri ya Roma na<br />

kufungua mlango kuwa wazi sana kwa ukosefu wa heshima kwa Mungu. Katika aina ya tatu<br />

alishambulia watu waliosimamia maovu yanayokuwako. Kwa ajili ya mambo haya akakiri<br />

kwa uhuru kwamba alikuwa mkali <strong>za</strong>idi kuliko ilivyofaa. Lakini hata vitabu hivi hatawe<strong>za</strong><br />

kuvikana kwani adui <strong>za</strong> ukweli wangepata nafasi kwa kulaani watu wa Mungu kwa ukali<br />

mwingi <strong>za</strong>idi.<br />

Akaendelea, “Nitajitetea mwenyewe kama Kristo alivyofanya: Kama nimesema vibaya,<br />

kushuhudia juu ya uovu’ ... Kwa huruma <strong>za</strong> Mungu, ninakusihi, mfalme asio na upendeleo,<br />

na ninyi, watawala bora, na watu wote wa kila aina, kushuhudia kutoka kwa maandiko ya<br />

manabii na mitume kwamba nilidanganyika. Mara moja ninapokwisha kusadikishwa kwa<br />

jambo hili, nitakana makosa yote, na nitakuwa wa kwan<strong>za</strong> kushika vitabu vyangu na<br />

kuvitupa motoni. ...<br />

“Bila wasiwasi, ninafurahi kuona kwamba injili inakuwa sasa kama kwa nyakati <strong>za</strong><br />

<strong>za</strong>mani, ambayo ni chanzo cha taabu na fitina. Hii ni tabia, na mwisho wa neno la Mungu.<br />

63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!