21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kuja kwa Kristo mwenyewe<br />

Mafundisho juu ya kugeuka kwa ulimwengu na utawala wa Kristo wa kiroho<br />

hayakushikwa na kanisa la mitume. Kwa kawaida hayakukubaliwa na Wakristo hata karibu<br />

ya mwanzo wa karne ya kumi na mnane. Ilifundisha watu kuta<strong>za</strong>mia mbali kwa wakati ujao<br />

kuja kwa Bwana na kuwakata<strong>za</strong> kwangalia ishara <strong>za</strong> kurudi kwake. Iliongo<strong>za</strong> watu kutojali<br />

kujitayarisha kwa kumlaki Bwana wao.<br />

Miller akaona kuja kwa Kristo halisi kulikofundishwa wazi katika Maandiko. “Kwa<br />

sababu Bwana mwenyewe atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti ya malaika<br />

mkubwa, na pamoja na baragumu ya Mungu.” “Nao wataona Mwana wa watu akija katika<br />

mawingu ya mbingu pamoja na uwezo na utukufu mkubwa.” “Kwa maana kama umeme<br />

unavyokuja toka mashariki na unaonekana hata mangaribi; ni hivi kuja kwa Mwana wa<br />

watu kutakavyokuwa.” “Mwana wa watu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika yote<br />

pamoja naye.” “Naye atatuma malaika <strong>za</strong>ke na sauti kubwa ya baragumu, nao watakusanya<br />

wachaguliwa wake.” 1 Watesalonika 4:16, 17; Matayo 24:30, 27; 25:31; 24:31.<br />

Kwa kuja kwake wafu wenye haki watafufuka na wenye haki waliohai watabadilika.<br />

“Sisi sote hatutalala, lakini sisi sote tutabadilika, kwa dakika moja, kwa kufunga na<br />

kufungua jicho, kwa baragumu ya mwisho: sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa<br />

wasiwe na kuo<strong>za</strong>, na tutabadilika. Maana sharti ule mwili wenye kuo<strong>za</strong> uvae kutokuo<strong>za</strong>, na<br />

huu wa mauti uvae kutokufa.” “Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwan<strong>za</strong>; kisha<br />

sisi tulio hai, tuliobaki, tutanyanyuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana<br />

katika hewa, na hivi tutakuwa pamoja na Bwana milele.” 1 Wakorinto 15:51-53; 1<br />

Watesalonika 4:16, 17.<br />

Mtu katika hali ya sasa ni wa kufa, wakuo<strong>za</strong>; lakini ufalme wa Mungu utakuwa<br />

wakutokuo<strong>za</strong>. Kwa hivyo mtu kwa hali yake ya sasa hawezi kuingia katika ufalme wa<br />

Mungu. Wakati Yesu atakuja, atatoa kutokufa kwa watu wake, na kuwaita kuriti ufalme<br />

ambao hawakuuriti hata sasa.<br />

Maandiko matakatifu na Taratibu ya Miaka<br />

Haya pamoja na maandiko mengine kwa wazi yakamshuhudia Miller kwamba utawala<br />

wa amani wa watu wote na kuimarishwa kwa ufalme wa Mungu duniani ungekuwa baada<br />

ya kuja kwa mara ya pili. Tena, hali ya ulimwengu ililingana na maelezo ya unabii wa siku<br />

<strong>za</strong> mwisho. Alilazimishwa kwa mwisho kwamba mda uliogawanywa kwa dunia katika hali<br />

yake ya sasa ulikuwa karibu kuisha.<br />

Namna ingine ya ushuhuda ambao kwa nguvu ulichoma moyo wangu.” Akasema,<br />

“ulikuwa utaratibu wa Maandiko... Niliona kwamba mambo yaliyotabiriwa, yalitimilika<br />

katika wakati uliopita, mara kwa mara yalitukia karibu ya wakati uliotolewa... Matokeo ...<br />

yanapokuwa tu mambo ya unabii, ... yalitimia katika upatano wa yale yaliotabiriwa.”<br />

131

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!