21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

tutakuwa pamoja na Bwana milele. Na anaonge<strong>za</strong>: “Basi mufarijiane kwa maneno haya.” 1<br />

Tesalonika 4:1618. Katika kuja kwa Bwana, minyororo ya kaburi itavunjika na “wafu katika<br />

Kristo” watafufuliwa kwa uzima wa milele.<br />

Wote watahukumiwa kwa kupatana na mambo yaliyoandikwa katika vitabu na kulipwa<br />

kama vile matendo yao yalivyokuwa. Hukumu hii haitafanyika katika mauti. “Kwa maana<br />

ameweka siku, atakayohukumu dunia kwa haki.” “Angalia, Bwana alikuja na watakatifu<br />

wake, elfu kumi, ili afanye hukumu juu ya watu wote.” Matendo 17:31; Yuda 15.<br />

Lakini kama wafu wamekwisha kufurahishwa na mbingu ao kujinyonga katika ndimi <strong>za</strong><br />

moto ya jehanum, ni haja gani ya hukumu ijayo? Neno la Mungu linawe<strong>za</strong> kufahamika<br />

katika mafikara ya kawaida. Lakini ni fikara gani la haki tunawe<strong>za</strong> kuona wala hekima ao<br />

haki katika maelezo inayokubaliwa na wengi? Je, wenye haki watapokea sifa, “Verna,<br />

mutumwa mwema na mwaminifu, ... ingia katika furaha ya bwana wako,” wakati walikuwa<br />

wakikaa machoni pake kwa miaka mingi? Je, waovu wameitwa kutoka taabuni kupokea<br />

hukumu kutoka kwa Mwamzi, “Ondokeni kwangu, ninyi muliolaaniwa, endeni katika moto<br />

wa milele”? Matayo 25:21,41.<br />

Maelezo juu ya maisha ya milele ya nafsi ya roho yalikuwa mojawapo ya mafundisho ya<br />

uwongo ambayo Roma ilipokea kutoka kwa ushenzi. Luther aliyapanga pamoja na hadisi<br />

kubwa (<strong>za</strong> uwongo) vinavyofanya sehemu ya mtu wa uchafu ya maagizo ya Roma. Biblia<br />

inafundisha ya kwamba wafu wanalala hata ufufuo.<br />

Pumziko la heri kwa wenye haki waliochoka! Wakati ukiwa mrefu ao mfupi, lakini ni<br />

wakati kwao. Wanalala; wanaamshwa kwa baragumu ya Mungu kwa maisha ya milele ya<br />

utukufu. “Kwa sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa wasiwe na kuo<strong>za</strong>. ... Lakini<br />

wakati ule wa kuo<strong>za</strong> utakapovaa kutokuo<strong>za</strong>, na ule wa mauti utakapovaa kutokufa, wakati<br />

ule litakapotimia neno lililoandikwa; Mauti imemezwa kwa ushindi”. 1 Wakorinto 15:52-<br />

54.<br />

Kuitwa kutoka kwa usingizi wao, wanaan<strong>za</strong> kufikiri ni wapi waliishia. Shituko la<br />

mwisho lilikuwa ni maumivu makali ya mauti; wazo la mwisho, kwamba walikuwa<br />

wakianguka chini ya uwezo wa kaburi. Wanapofufuka kutoka kaburini, wazo lao la kwan<strong>za</strong><br />

la furaha, litakaririwa katika shangwe la ushindi: Ee mauti, uchungu wako ni wapi?” 1<br />

Wakorinto 15:55. “Ee kaburi, kushinda kwako ni wapi?<br />

229

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!