21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa wakati moja jamaa lote lilipelekwa mbele ya watu wa hekimu (Inquisiteurs), juu ya<br />

kutokwenda kwa misa na kuabudu nyumbani. Kijana wa mwisho katika jamaa akajibu<br />

“Tunapiga magoti yetu, na kuomba kwamba Mungu apate kuanga<strong>za</strong> akili zetu na kusamehe<br />

<strong>za</strong>mbi zetu; tunaombea utawala wa mfalme wetu, ili ufalme wake upate kusitawi na maisha<br />

yake yawe ya furaha; tunawaombea waamzi wetu, ili Mungu apate kuwalinda.” ‘’Baba na<br />

mmojawapo wa watoto wake wakahukumiwa kifo cha (kigingi) mti wa kuchoma upin<strong>za</strong>ni<br />

wa ibada ya dini.”<br />

Si wanaume tu lakini wanawake na vijana wanawake wakatumia ujasiri imara. “Bibi<br />

waliwe<strong>za</strong> kusimama kwa vigingi vya waume wao, na wakati walipokuwa wakivumilia<br />

mchomo wa moto wangenongone<strong>za</strong> maneno ya faraja ao kuimba <strong>za</strong>buri kuwatia moyo.”<br />

“Wasichana wakalazwa ndani ya kaburi <strong>za</strong>o kana kwamba walikuwa wakiingia katika<br />

chumba chao kulala usiku; ao kwenda kwa jukwaa na moto, wakijivika kwa mapambo yao<br />

mazuri sana, kana kwamba walikuwa wakienda kwa ndoa yao.”<br />

Mateso yakazidisha hesabu ya washuhuda kwa ajili ya ukweli. Mwaka kwa mwaka<br />

mfalme akashurutisha kazi yakeya ukatili, lakini hakufaulu. William wa Orange mwishowe<br />

akaleta uhuru wa kuabudu Mungu katika Holandi.<br />

Matengenezo Katika Danemark<br />

Katika inchi <strong>za</strong> kaskazini injili ilipata mwingilio wa amani. Wanafunzi huko Wittenberg<br />

waliporudi nyumbani walikuwa wakichukua imani ya matengenezo huko Scandinavia.<br />

Maandiko ya Luther pia yakatawanya nuru. Watu hodari wa upande wa kaskazini,<br />

wakageuka kutoka maovu na ibada ya sanamu ya Roma na kupokea kwa furaha kweli ya<br />

maisha bora ya Biblia.<br />

Tausen, “Mtengene<strong>za</strong>ji wa Danemark,” kama mtoto mwanzoni, akaonyesha akili ya<br />

nguvu na akaingia kwa nyumba ya watawa. Mtihani ulimtambulisha kuwa na talanta<br />

iliyoahidi kufanya kazi nzuri kanisani. Mwanafunzi kijana akaruhusiwa kujichagulia<br />

mwenyewe chuo kikubwa cha Ujeremani ama cha Uholandi, ila kwa sharti moja tu:<br />

hakupashwa kwenda Wittenberg kuhatarishwa na uzushi. Watawa wakasema hivyo.<br />

Tausen akaenda Cologne, mojawapo ya ngome ya Kiroma. Hapo hakukawia<br />

kuchukizwa. Ni wakati ule ule aliposoma maandiko ya Luther kwa furaha na akatamani<br />

sana kujifun<strong>za</strong> mafundisho ya kipekee ya Mtengene<strong>za</strong>ji. Lakini kwa kufanya vile alipashwa<br />

kujihatarisha kupote<strong>za</strong> usaada wa wakuu wake. Kwa upesi kusudi lake likafanyika na mara<br />

akawa mwanafunzi huko Wittenberg.<br />

Kwa kurudi Danemark, hakuonyesha siri yake, lakini akajitahidi kuongo<strong>za</strong> wen<strong>za</strong>ke kwa<br />

imani safi. Akafungua Biblia na akahubiri Kristo kwao kama tumaini pekee la mwenye<br />

<strong>za</strong>mbi la wokovu. Hasira ya mkuu wa nyumba ya watawa ilikuwa kubwa sana, walioweka<br />

matumaini ya juu juu kwake kuwa mtetezi wa Roma. Akahamishwa mara moja kutoka kwa<br />

nyumba yake mwenyewe ya watawa kwenda kwa ingine na kufungiwa kwa chumba chake<br />

96

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!