21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mamlaka ya Papa ya Ufransa ikamtia gere<strong>za</strong>ni kama mpinga imani ya dini, lakini<br />

akafunguliwa na mfalme. Kwa miaka nyingi Francis alikuwa akisitasita kati ya Roma na<br />

Matengenezo. Mara tatu Berquin akafungwa na mamlaka ya Papa, na akafunguliwa na<br />

mfalme, aliyekataa kumtoa kafara kwa ukorofi wa serkali ya kanisa. Berquin akazidi<br />

kuonywa juu ya hatari iliyotaka kumpata katika Ufransa na akalazimishwa kufuata hatua <strong>za</strong><br />

wale waliokwenda kutafuta usalama katika kuhamishwa kwa mapenzi mbali na kwao.<br />

Berquin Shujaa<br />

Lakini juhudi ya Berquin ikazidi kuwa na nguvu. Akakusudia mpango wa nguvu <strong>za</strong>idi.<br />

Hakusimama tu kwa kutetea ukweli, lakini akashambulia kosa. Adui <strong>za</strong>ke waliokuwa na<br />

juhudi na ukaidi <strong>za</strong>idi walikuwa watawa wenye elimu kutoka kwa idara ya elimu ya tabia na<br />

sifa <strong>za</strong> Mungu na dini (theologie) katika chuo kikubwa (universite) cha Paris, mojawapo ya<br />

mamlaka ya kanisa ya juu sana katika taifa. Kwa maandiko ya waalimu hawa, Berquin<br />

akapata makusudi kumi na mbili ambayo akaitanga<strong>za</strong> wazi wazi kuwa kinyume cha Biblia,”<br />

na akauli<strong>za</strong> mfalme kujifanya muamzi katika shindano.<br />

Mfalme, kwa kuwa na furaha ya nafasi ya kushusha majivuno ya hawa watawa wenye<br />

kiburi, akaalika wakatoliki kutetea jambo lao kwa kufuata Biblia. Silaha hii haingewasaidia<br />

<strong>za</strong>idi; mateso na kifo cha mtu wa kuchoma ilikuwa ndizo silaha ambazo walizifahamu <strong>za</strong>idi<br />

namna ya kutawala. Sasa wakajiona wenyewe kuanguka katika shimo walilotumaini<br />

kumtumbuki<strong>za</strong> Berquin. Wakatafuta wenyewe namna gani ya kujiepusha.<br />

“Kwa wakati ule wakaona kando ya mojawapo ya njia sanamu ya bikira iliyovunjwa.”<br />

Makundi yakakusanyika mahali pale, wakilia na hasira. Mfalme akachomwa moyo sana .<br />

“Haya ndiyo matunda ya mafundisho ya Berquin,” watawa wakapa<strong>za</strong> sauti. “Kila kitu ni<br />

karibu kugeuzwa--dini, sheria, kiti cha ufalme chenyewe kwa mapatano hii ya Luther.”<br />

Mfalme akatoka Paris, na watawa wakaachiwa huru kufanya mapenzi yao. Berquin<br />

akahukumiwa na kuhukumiwa kifo. Kwa hofu kwamba Francis angetetea tena kwa<br />

kumwokoa, hukumu ikafanyika kwa siku ile ile ilio tamkwa. Kwa sasa sita <strong>za</strong> mchana<br />

msongano wengi ukakusanyika kwa kushuhudia jambo hili, na wengi wakaona kwa<br />

mshangao kwamba mtu aliyeteswa alichaguliwa miongoni mwa watu bora na wahodari<br />

<strong>za</strong>idi wa jamaa bora <strong>za</strong> Ufransa. Mshangao, hasira, <strong>za</strong>rau, na uchuki wa uchungu<br />

yakahuzunisha nyuso <strong>za</strong> kundi lile, lakini kwa uso mmoja haukuwa na kivuli. Mfia dini<br />

alikuwa na <strong>za</strong>miri tu ya kuwako kwa Bwana wake.<br />

Uso wa Berquin ulikuwa ukingaa na nuru ya mbinguni. Alivaa vazi kama joho laini la<br />

kungaa, chuma puani na soksi ya <strong>za</strong>habu.” Alikuwa karibu kushuhudia imani yake mbele ya<br />

Mfalme wa wafalme, na hakuna dalili iliyopasa kusingizia furaha yake. Wakati<br />

mwandamano ulipokuwa ukisogea polepole katika njia zilizosongana, watu wakapatwa na<br />

mshangazo wa ushindi wa furaha wa uvumilivu wake. “Yeye anakuwa,” wakasema, “kama<br />

mmoja anayekaa katika hekalu, na akifikiri vitu vitakatifu.”<br />

86

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!