21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati alipoona nyakati <strong>za</strong> taratibu ya miaka ambayo ilifikia kwa kuja kwa mara ya pili<br />

kwa Kristo, hangaliwe<strong>za</strong> lakini kuzita<strong>za</strong>ma kama “nyakati zilizoonyeshwa mbele”, ambazo<br />

Mungu alifunulia watumishi wake. “Vitu vile vilivyofunuliwa ni vyetu, na vya wana wetu<br />

milele.” Bwana alitanga<strong>za</strong> kwamba “hatafanya lolote, lakini anafunulia watumishi wake<br />

manabii siri yake.” Torati 29:29; Amosi 3:7. Wanafunzi wa Neno la Mungu wanawe<strong>za</strong><br />

kuta<strong>za</strong>mia kwa hakika kuona mambo makubwa kuliko katika historia ya wanadamu<br />

iliyoonyeshwa kwa wazi katika Maandiko.<br />

“Nilisadikishwa kabisa,” akasema Miller, “kwamba kila andiko lililopewa kwa<br />

maongozi ya Mungu linafaa kwa mafundisho; kwamba liliandikwa; wakati watu watakatifu<br />

walikuwa wakiongozwa na Roho Mtakatifu, yameandikwa kwa majifunzo yetu, kwamba<br />

kwa subira na faraja ya maandiko tuwe na tumaini ... kwa hiyo mimi niliona kwamba katika<br />

kujitahidi kufahamu kile Mungu alikuwa nacho katika huruma <strong>za</strong>ke kinachoonekana kufaa<br />

kwa kufunuliwa kwetu, sikuwa na haki kupita inje ya nyakati <strong>za</strong> unabii.”<br />

Unabii ambao ulionekana wazi <strong>za</strong>idi kwa kufunua wakati wa kuja kwa mara ya pili<br />

ulikuwa Danieli 8:14: “Hata mangaribi na asubui elfu mbili mia tatu; halafu Pahali<br />

patakatifu patasafishwa.” Kufanya Maandiko mfasiri wake mwenyewe, Miller akajifun<strong>za</strong><br />

kwamba siku moja katika unabii ni mwaka moja. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.) Aliona kwamba siku<br />

2300 <strong>za</strong> unabii, ao miaka kabisa, ingefikia mbali sana ya mwisho wa mugawo wa<br />

Wayahudi, kwa hiyo haikuwe<strong>za</strong> kutaja juu ya mahali patakatifu pa mugawo ule.<br />

Miller akakubali maelezo ya kawaida kwamba katika miaka ya Kikristo ulimwengu ni<br />

“mahali patakatifu,” na kwa hiyo akafahamu kwamba kusafishwa kwa mahali patakatifu<br />

kulikotabiriwa katika Danieli 8:14 ilikuwa mfano wa kutakaswa kwa dunia na moto kwa<br />

kuja kwa mara ya pili kwa Kristo. Kama mahali kamili pa kuanzia pangewe<strong>za</strong> kupatikana<br />

kwa ajili ya siku 2300, akamali<strong>za</strong> kwamba wakati wa kuja kwa mara ya pili ungewe<strong>za</strong><br />

kufunuliwa.<br />

132

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!