21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Waovu wanaazibiwa “kama ilivyo kazi yao”. Shetani atateswa si kwa ajili ya uasi wake<br />

pekee, bali kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi zote alizozilazimisha watu wa Mungu kuzitenda. Katika<br />

ndimi <strong>za</strong> moto waovu watakuwa kwa maangamizi ya mwisho, shina na matawi-Shetani ni<br />

shina lenyewe na wafuasi wake ni matawi. A<strong>za</strong>bu kamili ya sheria ilijiliwa; matakwa ya<br />

haki yametimizwa. Kazi ya Shetani ya uharibifu imekomeshwa milele. Sasa viumbe vya<br />

Mungu vimekombolewa milele kwa majaribu yake.<br />

Wakati dunia inapofunikwa kwa moto, wenye haki wanakaa kwa salama ndani ya Mji<br />

Mutakatifu. Wakati Mungu anakuwa kwa waovu kama moto unaotekete<strong>za</strong>, anakuwa ngao<br />

kwa watu wake. Ta<strong>za</strong>ma Ufunuo 20:6; Zaburi 84:11.<br />

“Nikaona mbingu mpya na dunia mpya; kwa maana mbingu <strong>za</strong> kwan<strong>za</strong> na dunia ya<br />

kwan<strong>za</strong> zimekwisha kupita”. Ufunuo 21:1. Moto utakaotekete<strong>za</strong> waovu utasafisha dunia.<br />

Kila alama ya laana imeondolewa mbali. Hakuna jehanum inayowaka milele itakayoendelea<br />

mbele ya waliokombolewa matokeo ya kutisha ya <strong>za</strong>mbi.<br />

Kumbusho ya Kusulubiwa<br />

Ukumbusho moja peke unaodumu: Mkombozi wetu atachukua hata milele alama <strong>za</strong><br />

kusulubiwa kwake, alama pekee <strong>za</strong> kazi ya ukali ambazo <strong>za</strong>mbi imetenda. Katika miaka ya<br />

milele vidonda vya Kalvari vitaendelea kuonyesha sifa yake na vitatanga<strong>za</strong> uwezo wake.<br />

Kristo alihakikishia wanafunzi wake ya kwamba alikwenda kuandalia makao kwa ajili<br />

yao katika nyumba ya Baba yake. Lugha wala maneno ya binadamu hayatoshi kuele<strong>za</strong><br />

<strong>za</strong>wadi ya wenye haki. Itajulikana tu kwa wale wanaoita<strong>za</strong>ma. Hakuna wazo lenye mpaka<br />

linalowe<strong>za</strong> kufahamu utukufu wa Paradiso ya Mungu!<br />

Katika Biblia uriti wa waliokombolewa unaitwa “inchi”. Waebrania 11:14-16. Huko<br />

Mchungaji wa mbinguni ataongo<strong>za</strong> kundi lake kwa chemchemi <strong>za</strong> maji ya uzima. Huko<br />

kunakuwa na vijito vyenye kutiririka, safi kama jiwe lingaalo, na pembeni yao miti yenye<br />

kutikisika inayotupa vivuli vyao kwa njia zilizotayarishwa kwa ajili ya waliokombolewa wa<br />

Bwana. Inchi kubwa tambarere zinainuka kuwa vilima vya uzuri, na milima ya Mungu<br />

inapandisha vilele vyao virefu. Katika inchi tambarare hizo <strong>za</strong> amani, pembeni ya vijito<br />

hivyo vya uzima, watu wa Mungu, waliokuwa wasafiri na wanaohangaika watapata makao.<br />

“Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; na watapanda mi<strong>za</strong>bibu, na watakula<br />

matunda yake: hawatajenga na mtu mwingine kukaa ndani yake; hawatapanda, na mtu<br />

mwingine kula matunda yake: ... Na wachaguliwa wangu watafurahia kazi ya mikono yao”.<br />

“Jangwa na inchi kavu zitafurahi; na jangwa litashangilia na kutoa maua kama waridi”. “Na<br />

imbwa mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala chini pamoja na mwanambuzi;<br />

na mtoto mudogo atawaongo<strong>za</strong>... Hawataumi<strong>za</strong> wala kuharibu wote katika mulima<br />

wangu wote mtakatifu”. Isaya 65:21, 22; 35:1; 11:6,9.<br />

282

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!