21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

maskini hawakuwa na msaada kwa u<strong>za</strong>ifu wao. Choyo ya mtajiri na uwezo yakazidi<br />

kulemea. Kwa karne nyingi, watajiri wakakosea wamaskini, na wamaskini wakawachukia<br />

matajiri.<br />

Katika majimbo mengi madaraka ya wafanyakazi yalikuwa chini ya wenyeji na<br />

walilazimishwa kutii maagizo ya kupita kiasi. Madaraja ya katikati na ya chini ya wafanya<br />

kazi wakalipishwa kodi ya nguvu kwa watawala wa serkali na wa dini. “Wakulima na<br />

wakaaji wa vijiji waliwe<strong>za</strong> kuteswa na njaa, kwani watesi wao hawakujali. ... Maisha ya<br />

watumikaji wakulima yalikuwa ya kazi isiyokuwa na mwisho na taabu isiyokuwa na<br />

kitulizo; maombolezo yao ... yaii<strong>za</strong>niwa kuwa <strong>za</strong>rau ya ushupavu. ... Mambo mabaya ya<br />

rushwa yakakubaliwa kwa hakika na waamzi. ... Ya kodi, ... nusu ya fe<strong>za</strong> ikaenda kwa<br />

hazina ya mfalme ao ya askofu; inayobaki ikatumiwa ovyo ovyo katika anasa ya upotovu.<br />

Na watu waliozoofisha hivi wen<strong>za</strong>o wakaachiliwa wenyewe bila kulipa kodi na walikuwa<br />

na haki kwa sheria ao kwa desturi, kwa maagizo yote ya serkali. ... Kwa ajili ya furaha yao<br />

mamilioni walihukumiwa maisha mabaya bila tumaini.” (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

Zaidi ya nusu ya karne mbele ya Mapinduzi kiti cha ufalme kilikaliwa na Louis XV,<br />

aliyetambulika nakuwa mfalme mvivu, asiyejali, na waanasa. Kwa habari ya fe<strong>za</strong> ya serkali<br />

wakawa na matatizo na watu wakakasirishwa, haikuhitajiwa jicho la nabii kuona maasi<br />

makali. Ilikuwa vigumu kuharakisha hoja ya kufanya matengenezo. Ajali iliyongojea<br />

Ufransa ilielezwa katika jibu la kujipenda ama choyo cha mfalme, “Baada yangu, garika!”<br />

Roma ilivuta wafalme na vyeo vya watawala kuweka watu katika utumwa, kukusudia<br />

kufunga wote watawala na watu katika vifungo vyake vya minyororo juu ya roho <strong>za</strong>o. Huku<br />

hali mbaya ya tabia njema ambayo ni matokeo ya siasa hii ilikuwa ya kutisha <strong>za</strong>idi mara<br />

elfu kuliko mateso ya kimwili. Kukosa Biblia, na kujitia katika kujipende<strong>za</strong>, watu<br />

wakajifunika katika ujinga na ku<strong>za</strong>ma katika maovu, kabisa hawakuwe<strong>za</strong> kujitawala.<br />

Matokeo Yaliyopatwa katika Damu<br />

Baadala ya kudumisha watu wengi katika utii wa upofu kwa mafundisho yake, kazi ya<br />

Roma ikaishia katika kuwafanya makafiri na wapinduzi. Dini ya Roma wakai<strong>za</strong>rau kama<br />

ujanja wa wapadri. Mungu mmoja waliomujua ni mungu wa Roma. Waliangalia tamaa yake<br />

na ukatili kama tunda la Biblia, na hawakutaka tena kusikia habari yake.<br />

Roma iliele<strong>za</strong> vibaya tabia ya Mungu, na sasa watu wakakataa vyote viwili Biblia na<br />

Muumba wake. Katika urejeo, Voltaire na wafuasi wake wakakataa kabisa Neno la Mungu<br />

yote pamoja kutawanya kukana Mungu. Roma ikakanyaga watu chini ya kisigino chake cha<br />

chuma; na sasa watu wengi wakatupia mbali kuzuiwa kote (amri). Walipokasirishwa,<br />

wakakataa kweli na uongo pamoja.<br />

Kwa kufunguliwa kwa Mapinduzi, kwa ukubali wa mfalme, watu wakapata kwa mitaa<br />

ya kawaida mfano wa juu kuliko ule wa wakuu na mapadri pamoja. Kwa hivyo kipimo cha<br />

uwezo kulikuwa katika mikono yao; lakini hawakutayarishwa kukitumia kwa hekima na<br />

113

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!