21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

amwangamize.” (Marko 9:17-27); mwenye pepo, aliyeteswa na pepo ya ibilisi mchafu<br />

aliyechafua Sabato tulivu kule Kapernaumu (Luka 4:33-36)--wote waliponyeshwa kwa<br />

Mwokozi. Karibu kila mfano, Kristo akasema pepo mchafu kama kitu chenye akili,<br />

kumwagi<strong>za</strong> kutotesa mtu wake tena. Waabuduo kule Kapernaumu “wote wakashangaa sana,<br />

wakaseme<strong>za</strong>na wao wenyewe wakisema: Neno gani hili; kwani kwa mamlaka na uwezo<br />

anaamuru pepo wachafu, nao wanatoka.” Luka 4:36.<br />

Kwa ajili ya kupata uwezo wa ajabu, wengine wakakaribisha mvuto wa Shetani. Mambo<br />

haya bila shaka hayakuwa na ugomvi pamoja na pepo wachafu. Kwa kundi hili kulikuwa<br />

wale waliokuwa na pepo ya uaguzi--Simon Magus, Elima mchawi yule, na kijakazi mwenye<br />

pepo aliyefuata Paulo na Sila kule Filipi. Ta<strong>za</strong>ma Matendo 8:9,18; 13:8; 16:16-18.<br />

Hakuna wanaokuwa katika hatari kubwa kuliko wale wanaokana kuwako kwa Shetani<br />

na malaika <strong>za</strong>ke. Wengi wanajali mashauri yao wanapoona wao wenyewe kuwa wakifuata<br />

hekima yao wenyewe. Kwa namna tunavyokaribia mwisho wa wakati, wakati Shetani<br />

anapashwa kutumika kwa uwezo mkubwa kudanganya, anaene<strong>za</strong> mahali pote imani<br />

kwamba yeye hakuwako. Ni kanuni yake kujificha mwenyewe na namna yake ya kutumika.<br />

Mwongo mkubwa anaogopa kwamba tutakuwa wenye kutambua mipango yake. Kwa<br />

kuficha tabia yake ya kweli akajifanya mwenyewe aonyeshwe kama kitu cha kuchekelea ao<br />

cha ku<strong>za</strong>rau. Anapendezwa kufafanishwa kama mwenye kuchekesha, mwenye msiba, nusu<br />

mnyama na nusu mwanadamu. Anapendezwa kusikia jina lake linapotumiwa katika mchezo<br />

na kicheko. Kwa sababu amejificha mwenyewe na akili kamili, swali linaulizwa sana<br />

popote: “Je, kiumbe cha namna hii kinakuwako kweli?” Ni kwa sababu Shetani anawe<strong>za</strong><br />

kwa upesi kutawala mawazo ya wale wanaokuwa bila kufahamu mvuto wake kwamba Neno<br />

la Mungu linafungua mbele yetu nguvu <strong>za</strong> siri yake, kwa hivi kutuweka kwa angalisho.<br />

Tunawe<strong>za</strong> kupata kimbilio na wokovu katika uwezo mukubwa wa Mkombozi wetu.<br />

Tunachunga vizuri sana nyumba zetu kwa mapingo na kufuli kulinda mali yetu na maisha<br />

kwa watu waovu, lakini ni marahaba kufikiri juu ya malaika waovu kushindana na<br />

mashambulio yake tunayokuwa nayo, katika nguvu zetu wenyewe, hakuna ulinzi. Kama<br />

wakiruhusiwa, wanawe<strong>za</strong> kuvuta mioyo yetu, kutesa miili yetu, kuharibu mali yetu na<br />

maisha yetu. Lakini wale wanaomfuata Kristo wanakuwa salama chini ya ulinzi wake.<br />

Malaika wanaopita katika nguvu wanatumwa kuwalinda. Waovu hawawezi kuvunja ulinzi<br />

aliyoweka Mungu kwa ajili ya watu wake.<br />

Sura 32. Namna ya Kumshinda Shetani<br />

Vita kuu kati ya Kristo na Shetani ni karibu kuisha, na mwovu huyo anazidisha mara<br />

mbili juhudi <strong>za</strong>ke kwa kuvunja kazi ya Kristo kwa ajili ya mtu. Kwa kushikilia watu katika<br />

gi<strong>za</strong> na ugumu wa moyo hata upatanishi wa Mwokozi umalizika ndiyo shabaha anayoitafuta<br />

kutimi<strong>za</strong>. Wakati ubaridi unapokuwa mwingi ndani ya kanisa, Shetani hajali. Lakini wakati<br />

216

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!