21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kuongea na watu (spiritualisme), na <strong>za</strong>rau kwa sheria takatifu ya Mungu-daraka la kutisha<br />

kwa uovu unaokuwako katika jamii la Kikristo.<br />

Kwani jamii lilelile linalodai ya kama mkazo wa kushika siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche)<br />

kungesitawisha mafundisho yahali ya kijamii. Ni mojawapo ya mashauri ya Shetani<br />

kuchanganya uwongo na ukweli shauri laonekana kuwa njema. Waongozi wa mwendo wa<br />

siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche) wangeshindania matengenezo ambayo watu wanahitaji, kanuni<br />

katika umoja pamoja na Biblia; lakini wakati ambao kunakuwa na madai pamoja na hizi<br />

kinyume kwa sheria <strong>za</strong> Mungu, watumishi wake hawawewzi kujiunga pamoja nao. Hakuna<br />

kitu kinachowe<strong>za</strong> kuthibitika kuweka kando amri <strong>za</strong> Mungu kwa ajili ya amri <strong>za</strong> watu.<br />

Katika makosa mawili makubwa, kutokufa kwa nafsi na utakatifu wa siku ya kwan<strong>za</strong><br />

(dimanche), Shetani ataleta watu chini ya madanganyo yake. Wakati kosa la kwan<strong>za</strong><br />

linapowekwa msingi wa imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na<br />

kuongea na watu (spiritualisma), kosa la mwisho hufanya kifungo cha huruma pamoja na<br />

Roma. Waprotestanti wa Umoja wa Mataifa ya Kiamerika watakuwa wa kwan<strong>za</strong> kunyoosha<br />

mikono yao ngambo ya shimo kubwa kushika mkono wa imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu<br />

walikufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu (Spiritualisme); wakifikia kwa shimo<br />

kubwa kukumbatia mikono na mamlaka ya Roma. Na chini ya mvuto wa umoja huu wa<br />

mara tatu, inchi hii itafuata katika hatua <strong>za</strong> Roma kwa kukanyanga haki <strong>za</strong> <strong>za</strong>miri.<br />

Kwa namna imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea<br />

na watu (spiritualisme) , inakuwa na uwezo mkubwa kwa kudanganya. Shetani yeye<br />

mwenyewe “hujigeu<strong>za</strong>”. Ataonekana kama malaika wa nuru. Kwa njia ya imani ya kuwa<br />

roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu, miuji<strong>za</strong> itafanyika,<br />

wangonjwa wataponyeshwa, na maajabu mengi yasiyokukanishwa yatafanyika.<br />

Wafuasi wa kanisa la kiroma wanaojisifu juu ya miuji<strong>za</strong> kuwa alama ya kanisa la kweli<br />

watadanganyika upesi kwa uwezo huu wa kufanya miuji<strong>za</strong>; na Waprotestanti,<br />

wanapokwisha kutupia mbali ngao ya ukweli, watadanganyika vile vile. Wafuasi wa kanisa<br />

la Roma, Waprotestanti, na watu wapendao anasa <strong>za</strong> dunia wataonekana vivyo hivyo katika<br />

umoja huu mabadiliko makubwa kwa ajili ya toba ya ulimwengu.<br />

Kwa njia ya imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea<br />

na watu (spiritualisme), Shetani hutokea kama mtenda mema wa kabila, kuponyesha<br />

magonjwa na kuonyesha kawaida mpya ya imani ya dini, lakini wakati ule ule anaongo<strong>za</strong><br />

wengi kwa maangamizi. Kukosa kiasi kunaondoa akili; mapendeleo ya anasa, vita, na<br />

kumwanga damu hufuata. Vita huamsha tamaa mbaya sana ya nafsi na kufutia kwa milele<br />

mateka wake walioloanishwa katika uovu na damu. Nikusudi la Shetani kuchochea mataifa<br />

kwa vita, kwani anawe<strong>za</strong> kupotosha watu kwa matayarisho ya kusimama kwa siku ile ya<br />

Mungu.<br />

245

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!