21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wanakuwa wenye imara sana kwa Neno lake ili wasingejitoa kwa ushuhuda wa mashauri<br />

yao? Je, katika shida ya namna hii, wangeshikamana kwa Biblia, na kwa Biblia pekee?<br />

Wakati watawala wa Kikristo watakapotanga<strong>za</strong> agizo juu ya wenye kushika amri<br />

kuondolewa kwa ulinzi wa serkali na kuwaacha kwa wale wanaotaka maangamizi yao, watu<br />

wa Mungu watakimbia kutoka katika miji na vijiji na kushirikiana pamoja katika makundi,<br />

kukaa katika mahali pa ukiwa sana na pa upekee. Wengi watapata kimbilio katika ngome <strong>za</strong><br />

milima, kama Wakristo wa mabonde ya Piedmont (Vaudois). (Ta<strong>za</strong>ma sura ya ine). Lakini<br />

wengi katika mataifa yote na makundi yote, wa juu na chini, watajiri na maskini, weusi na<br />

weupe, watatupwa katika utumwa usio na haki kabisa na wa jeuri. Wapenzi wa Mungu<br />

watapitia kwa siku <strong>za</strong> taabu kufungiwa ndani ya gere<strong>za</strong> ya fito <strong>za</strong> chuma, kupewa hukumu<br />

ya kuuawa, labda kuachiwa kufa katika gi<strong>za</strong>, gere<strong>za</strong> la kuchuki<strong>za</strong> mno.<br />

Je, Bwana atasahau watu wake kwa saa hii ya majaribu? Je, alimsahau muaminifu Nuhu,<br />

Loti, Yusufu, Elia, Yeremia, ao Danieli? Ingawa adui wakiwasukuma kwa nguvu katika<br />

gere<strong>za</strong>, lakini kuta <strong>za</strong> gere<strong>za</strong> haziwezi kukata habari kati ya nafsi <strong>za</strong>o na Kristo. Malaika<br />

watakuja kwao katika vyumba vya kifungo vya kipekee. Gere<strong>za</strong> itakuwa kama jumba la<br />

mfalme, na kuta <strong>za</strong> gi<strong>za</strong> zitaangaziwa kama vile Paulo na Sila walipokuwa wakiimba usiku<br />

wa manane katika gere<strong>za</strong> ya Wafilipi.<br />

Hukumu <strong>za</strong> Mungu zitajia wale wanaotaka kuangami<strong>za</strong> watu wake. Kwa Mungu, a<strong>za</strong>bu<br />

ni “tendo la kigeni”. Isaya 28:21; uta<strong>za</strong>me vilevile Ezekieli 23:11. Bwana ni<br />

mwenye”rehema na mwenye neema, si mwepesi kwa hasira, mwema na kweli nyingi, ...<br />

akisamehe uovu na makosa na <strong>za</strong>mbi”. Lakini “hataachilia wenye <strong>za</strong>mbi hata kidogo”.<br />

Kutoka 34:6, 7; Nahamu 1:3. Taifa inalostahimili wakati mrefu, na linaloja<strong>za</strong> kipimo cha<br />

uovu wake, mwishoni litakunywa kikombe cha hasira pasipo kuchanganywa na rehema.<br />

Wakati Kristo anapomali<strong>za</strong> uombezi wake katika Pahali patakatifu, hasira (gha<strong>za</strong>bu)<br />

pasipo kuchanganywa itahofishwa juu ya wale wanaoabudu mnyama itamiminwa. Mapigo<br />

kwa Misri yalikuwa ya namna moja na hukumu zenye eneo kubwa <strong>za</strong>idi zile ambazo<br />

zinapaswa kuanguka duniani mbele kabisa ya wokovu wa mwisho wa watu wa Mungu.<br />

Asema mfumbuzi: “Ikaanguka jipu mbaya, zito, juu ya watu wenye chapa ya mnyama, na<br />

wale walioabudu sanamu yake. “Bahari “ikakuwa damu kama damu ya mfu”. Na “mito na<br />

chemchemi <strong>za</strong> maji; zikakuwa damu”. Malaika anatanga<strong>za</strong>: “Wewe mwenye haki, Bwana,<br />

... kwa sababu umehukumu hivi. Kwani walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,<br />

nawe umewapa damu kunywa; nao wamestahili”. Ufunuo 16:2-6. Kwa kuhukumu watu wa<br />

Mungu hukumu ya mauti, kwa kweli wamehesabiwa makosa ya damu yao kama<br />

ingemwagika na mikono yao. Kristo alitanga<strong>za</strong> kwa Wayahudi wa wakati wake kosa ya<br />

damu yote ya watu watakatifu iliyomwagika tangu siku <strong>za</strong> Abeli (Matayo 23:34-36). Kwani<br />

walikuwa na roho ya namna moja kama wauaji hawa wa manabii.<br />

Kwa pigo linalofuata, uwezo unatolewa kwa jua “kuungu<strong>za</strong> watu kwa moto”. Ufunua<br />

16:8,9. Manabii wanaele<strong>za</strong> wakati huu wakutisha: “Mavuno ya shamba yameharibiwa... miti<br />

262

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!