21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Po pote injili ilikubaliwa, mafikara ya watu yakaamshwa. Wakaan<strong>za</strong> kutupa minyorori<br />

(viungo vya pingu vilivyowashikilia) kuwa watumwa wa ujinga na ibada ya sanamu.<br />

Wafalme waliviona na wakatetemeka kwa ajili ya uonevu wao.<br />

Roma ikaharakisha kuwasha vitisho vyao vya wivu. Katika mwaka 1525, Papa akasema<br />

kwa watawala wa Ufransa: “Huyu wazimu shetani (Dini ya Kiprotestanti) hatatoshelewa<br />

kuchafua dini na kuiangami<strong>za</strong>, bali mamlaka zote, cheo kikubwa, sheria, amri, na hata<br />

madaraja tena.” Tangazo la Papa likaonya mfalme: “Waprotestanti watapindua amri yote ya<br />

serkali na ya dini pia. ... Kiti cha mfalme kinakuwa hatarini kama vile ma<strong>za</strong>bahu.” Roma<br />

ikafaulu kupanga Ufransa kwa kupinga Matengenezo.<br />

Mafundisho ya Biblia yangeimarisha katika mioyo ya watu kanuni <strong>za</strong> haki, kiasi, na<br />

kweli, vinavyokuwa jiwe la pembeni kwa usitawi wa taifa. “Haki inainua taifa.” Maana<br />

“Kiti cha ufalme kinasimamishwa kwa haki.” Me<strong>za</strong>li 14:34; 16:12. Ta<strong>za</strong>ma Isaya 32:17.<br />

Yeye anayetii sheria ya Mungu atazidi kwa kweli kuheshimu na kutii amri <strong>za</strong> inchi. Ufransa<br />

ulikata<strong>za</strong> Biblia. Karne kwa karne watu wa haki, wa ukamilifu wa elimu na matendo mema,<br />

waliokuwa na imani kwa kuteseka kwa ajili ya kweli, wakaenda kwa taabu kama watumwa<br />

katika jahazi, wakaangamizwa kwa kigingi (tita), ao kuo<strong>za</strong> ndani ya pango <strong>za</strong> gere<strong>za</strong>.<br />

Maelfu wakapata usalama katika kukimbia kwa miaka 250 baada ya kufunguliwa kwa<br />

Matengenezo.<br />

“Labda hapakuwa na ki<strong>za</strong>zi cha Ufransa, kwa mda wa wakati ule mrefu ambao<br />

hawakushuhudia wanafunzi wa injili kukimbia mbele ya mauaji kali ya wazimu ya watesi<br />

wao, na kuchukua akili yao pamoja nao, vitu vya ufundi, utendaji, na roho yao ya utaratibu,<br />

kwa kutangulia wakapita, kwa kutayarisha inchi ziiizowapatia kimbilio. ... Kama hawa wote<br />

sasa waliofuku<strong>za</strong> wangalirudi Ufransa, ingalikuwa inchi ya namna gani ... kubwa, ya<br />

usitawi, na ya furaha--mfano kwa mataifa--ingalikuwa! Lakini bidii isiyo ya akili ya upofu<br />

na ki<strong>za</strong>zi kisichokuwa na huruma kikafuku<strong>za</strong> kwa inchi yake kila mwalimu wa nguvu, kila<br />

shujaa wa roho ya utaratibu, kila mtetezi mwaminifu wa kiti cha mfalme. ... Mwishowe<br />

uharibifu wa taifa ukatimilika.”<br />

Matokeo yake yalikuwa Mapinduzi pamoja na machafuko.<br />

Ingewe<strong>za</strong> kuwa Nini<br />

Kukimbia kwa Wahuguenots,ufungufu na inchi nzima ukawa katika Ufransa. Miji ya<br />

usitawi kwa viwanda ikaanguka kwa uharibifu. ... Ikakadirishwa kwamba, kwa mwanzo wa<br />

Mapinduzi, maelfu mia mbili ya wamaskini katika Paris wakadai mapendo kwa mikono ya<br />

mfalme. Wajesuites peke yao walifanikiwa katika taifa lililoharibika.”<br />

Injili ingalileta suluhu kwa magumu hayo yaliyoshinda mapadri wake, mfalme, na<br />

wafanya sheria, na mwishowe wakaingi<strong>za</strong> taifa katika uharibifu. Lakini chini ya utawala wa<br />

Roma watu wakapote<strong>za</strong> mafundisho ya Mwokozi ya kujinyima na upendo wa choyo kwa<br />

ajili ya mazuri ya wengine. Mtajiri hakuwa na karipio kwa ajili yakugandami<strong>za</strong> maskini;<br />

112

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!