21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 18. Nuru Mpya Katika Dunia Mpya<br />

Mkulima mwaminifu, wa haki, ambaye alitamani kujua ukweli, alikuwa mtu<br />

aliyechaguliwa na Mungu kuongo<strong>za</strong> katika kutanga<strong>za</strong> kuja kwa Kristo mara ya pili. Kama<br />

watengene<strong>za</strong>ji wengi wengine, William Miller alipigana na umaskini na akajifun<strong>za</strong> fundisho<br />

la kujikana.<br />

Hata katika utoto alitoa ushuhuda wa uwezo wa akili <strong>za</strong>idi kuliko ule wa kawaida. Kwa<br />

kukomaa kuwa mtu mzima, akili yake ilikuwa ya utendaji na ikaendelea sana, na alikuwa na<br />

kiu cha bidii kwa maarifa. Upendo wake wa kujifun<strong>za</strong> na tabia ya mafikara ya uangalifu<br />

kuambatana na ujuzi vikamfanya kuwa mtu wa hukumu na maono ya uchunguzi. Alikuwa<br />

na tabia ya matendo mema isiyolaumiwa na sifa nzuri. Alifanya kazi <strong>za</strong> serkali na <strong>za</strong><br />

kiaskari pamoja na sifa njema. Utajiri na heshima vilionekana kufunguliwa sana kwake.<br />

Katika utoto alikuwa mtu wa mawazo ya dini. Mawazo ya mtu mkubwa, kwa hivi<br />

akajiingi<strong>za</strong> katika jamii ya watu wanaokuwa na imani katika Mungu (deistes), mvuto wake<br />

ulikuwa wa nguvu kwa jambo kwamba walikuwa karibu raia wema,wapole na wakarimu.<br />

Kuishi kati ya vyama vya Kikristo, tabia <strong>za</strong>o zilikuwa <strong>za</strong> kadiri zilizofanywa na wale<br />

waliowazunguuka. Kwa ajili ya wema ambao uliwapatia heshima, wakawapashwa<br />

kushukuru Biblia, na <strong>za</strong>wadi hizi nzuri zikawaongo<strong>za</strong> kwa kutumia mvuto juu ya Neno la<br />

Mungu. Miller akaongozwa kuitika nia <strong>za</strong>o.<br />

Mafasiri ya kisasa ya Maandiko yalionyesha magumu ambayo ilionekana kwake<br />

kwamba kubwa sana; lakini imani mpya yake, kwa kuweka Biblia kando, haikumsaidia kitu,<br />

na akawa mbali ya kutoshelewa. Lakini wakati Miller alipokuwa na miaka makumi tatu na<br />

ine, Roho Mtakatifu akamfahamisha moyo wake kwa hali aliyokuwamo kama mwenye<br />

<strong>za</strong>mbi. Hakuona tumaini la furaha ngambo ya pili ya kaburi. Wakati ujao ulikuwa gi<strong>za</strong> na<br />

huzuni. Kwa kuta<strong>za</strong>ma mawazo yake ya moyo kwa wakati huu, akasema: 1<br />

“Mbingu zilikuwa kama shaba juu ya kichwa changu, na dunia kama chuma chini ya<br />

miguu yangu... Nilipofikiri <strong>za</strong>idi hukumu <strong>za</strong>ngu zikatawanyika. Nikajaribu kukata<strong>za</strong><br />

mawazo yangu, lakini mawazo yangu haikuwe<strong>za</strong> kutawalika. Nikawa maskini kwa kweli,<br />

lakini bila kufahamu sababu. Nikanungunika na kulalamika, lakini sikujua juu ya nani.<br />

Nikajua kwamba kosa lilikuwako, lakini sikujua namna gani ao mahali gani kupata haki.”<br />

Miller Anapata Rafiki<br />

“Kwa gafula,” akasema, “tabia la Mwokozi likaonekana kabisa kwa akili yangu.<br />

Inaonekana kwangu kufahamu kwamba kuna Kiumbe kizuri sana na chenye huruma kwa<br />

kufanya mwenyewe upatanisho wa makosa yetu, na kutuokoa kwa kuteseka kwa a<strong>za</strong>bu ya<br />

<strong>za</strong>mbi... Lakini swali likatokea, Namna gani itawezekana kuhakikisha kwamba kiumbe cha<br />

namna hii kinakuwako? Inje ya Biblia, niliona kwamba sikuwe<strong>za</strong> kupata ushahidi wa<br />

kuwako kwa Mwokozi wa namna ile, ao hata hali ya wakati ujao...<br />

129

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!