21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati Tetzel alipoendelea na kiburi chake cha kukufuru, Luther akajitahidi kusema<br />

kutokukubali kwake. Nyumba ya kanisa la Wittenberg ilikuwa na picha (reliques) ambayo<br />

kwa sikukuu fulani yalionyeshwa kwa watu. Maondoleo kamili ya <strong>za</strong>mbi yalitolewa kwa<br />

wote waliozuru kanisa na waliofanya maungamo. Jambo moja la mhimu sana la nyakati<br />

hizi, sikukuu ya Watakatifu Wote, ilikuwa ikikaribia. Luther, alipoungana na makundi<br />

yaliyo jitayarisha kwenda kanisani, akabandika kwa mlango wa kanisa mashauri makumi<br />

tisa na tano juu ya kupinga ya uuzishaji wa vyeti (musamaha).<br />

Makusudi yake yakavuta uangalifu wa watu wote. Yakasomwa na kuyakariri po pote,<br />

yakasitusha sana watu katika mji wote. Kwa maelezo haya yalionyeshwa kwamba uwezo<br />

kwa kutoa masamaha ya <strong>za</strong>mbi na kuachiliwa malipizi yake haukutolewa kwa Papa ao kwa<br />

mtu ye yote. Ilionyeshwa wazi wazi kwamba neema ya Mungu ilitolewa bure kwa wote<br />

wanaoitafuta kwa toba na imani.<br />

Mambo yaliyoandikwa na Luther yakatawanyika pote katika Ujeremani na baada ya<br />

majuma machache yakasikilika pote katika Ulaya. Wengi waliojifanya kuwa watu wa kanisa<br />

la Roma wakasoma mashauri haya (mambo yalioandikwa na Luther) kwa furaha, kutambua<br />

ndani yao sauti ya Mungu. Walijisikia kwamba Bwana aliweka mkono wake kufunga maji<br />

yaliyotomboka ya uovu ulioletwa kutoka kwa Roma. Waana wa wafalme na waamuzi kwa<br />

siri wakafurahi kwamba kizuio kilipashwa kuwekwa juu ya mamlaka ya kiburi ambayo<br />

ilikataa kuacha maamuzi yake.<br />

Wapadri wa hila, kuona faida <strong>za</strong>o kuwa hatarini, wakakasirika. Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

(Reformateur) alikuwa na washitaki wakali wakushindana naye. “Nani asiyejua, ” akajibu,<br />

“kwamba si mara nyingi mtu kuleta mawazo mpya bila. kushitakiwa kukaamsha<br />

mabishano? ... Sababu gani Kristo na wafia dini wote waliuawa? Kwa sababu ... walileta<br />

mambo mapya bila kupata kwan<strong>za</strong> shauri la unyenyekevu la mtu wa hekima na maoni ya<br />

<strong>za</strong>mani.”<br />

Makaripio ya adui <strong>za</strong> Luther, masingizio yao juu ya makusudi yake, mawazo yao ya<br />

uovu juu ya tabia yake yakawajuu yake kama garika. Alikuwa ameamini kwamba waongozi<br />

watajiunga naye kwa furaha katika matengenezo. Mbele ya wakati aliona siku bora<br />

zikipambazuka kwa kanisa.<br />

Lakini kutiia moyo kukageuka kuwa karipio. Wakuu wengi wa kanisa na jamii ya watu<br />

wa serkali kwa upesi wakaona kwamba ukubali wa mambo haya ya kweli karibu<br />

ungaliharibu mamlaka ya Roma, kuzuia maelfu ya vijito vinavyotiririka sasa katika nyumba<br />

ya hazina yake, na vivi hivi kupungu<strong>za</strong> anasa ya waongozi wa Papa. Kufundisha watu<br />

kumuta<strong>za</strong>ma Kristo peke yake kwa ajili ya wokovu kungeangusha kiti cha askofu na<br />

baadaye kuharibu mamlaka yao wenyewe. Kwa hiyo wakajiunga wao wenyewe kupinga<br />

Kristo na kweli kuwa wapin<strong>za</strong>ni kwa mtu aliyetumwa kwa kuwaangazia.<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!