21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Berquin kwa Mti Wakufungia Watu wa Kochomwa Moto<br />

Katika mti Berquin akajitahidi kusema maneno machache kwa watu; lakini watawa<br />

wakaan<strong>za</strong> kupa<strong>za</strong> sauti na askari kugonganisha silaha <strong>za</strong>o, na makelele yao yaka<strong>za</strong>misha<br />

sauti ya mfia dini. Hivi kwa mwaka 1529 mamlaka kubwa sana ya kanisa na elimu ya Paris<br />

“ikatoa kwa watu wa 1793 mfano wa msingi wa kusongwa juu ya jukwaa (mahali pa<br />

kunyongwa) maneno takatifu ya wenye kufa.” Berquin akanyongwa na mwili wake<br />

ukateketezwa katika miako ya moto.<br />

Waalimu wa imani ya matengenezo wakaenda katika mashamba mengine ya kazi.<br />

Lefévre akaenda Ujermani. Farel akarudi kwa mji wake wa ku<strong>za</strong>liwa upande wenashariki ya<br />

Ufransa, kutawanya nuru katika makao ya utoto wake. <strong>Ukweli</strong> aliuofundisha ukapata<br />

wasiki<strong>za</strong>ji. Kwa upesi akafukuzwa mbali ya mji. Akapitia vijijini, akifundisha katika makao<br />

ya upekee na mashamba ya majani ya uficho, kutafuta kimbilio katika pori na katika<br />

mapango ya miamba yaliyokuwa makao yake katika utoto wake.<br />

Kama katika siku <strong>za</strong> mitume, mateso “yametokea <strong>za</strong>idi kwa kuendesha Habari Njema.”<br />

Wafilipi 1:12. Walipofukuzwa kutoka Paris na Meaux, “Wale waliosambazwa wakaenda<br />

pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4. Ni kwa namna hiyo nuru ilitawanyika mahali<br />

pengi katika majimbo ya mbali ya Ufransa.<br />

Mwito wa Calvin<br />

Katika mojawapo ya mashule ya Paris, kulikuwa kijana mmoja mwangalifu, mtulivu,<br />

kijana aliyeonekana na maisha yasiyokuwa na kosa, kwa ajili ya bidii ya elimu na kwa ajili<br />

ya ibada ya dini. Tabia yake na matumizi vikamufanya kuwa majivuno ya chuo kikubwa, na<br />

ilikuwa ikitumainiwa kwa siri kwamba Jean Calvin angekuwa mmojawapo miongoni mwa<br />

watetezi wenye uwezo sana, wa kanisa. Lakini mshale wa nuru ukaangazia kuta <strong>za</strong> elimu<br />

nyingi na ibada ya sanamu ambayo Calvin amajifungia. Olivetan, binamu mtoto wa ndungu<br />

wa Calvin, alijiunga na Watengene<strong>za</strong>ji. Ndugu hawa wawili wakazungum<strong>za</strong> pamoja juu ya<br />

maneno ambayo yanasumbua jamii la kikristo. “Hapo kuna dini mbili tu ulimwenguni,”<br />

akasema Olivetan, Mprotestanti. “Ile ... ambayo watu wamevumbua, ambamo mtu hujiokoa<br />

mwenyewe kwa sherehe na kazi nzuri; ingine ni ile dini ambayo inayofunuliwa katika<br />

Biblia, na ambayo hufundisha mtu kutumaini wokovu tu kwa neema bila bei kutoka kwa<br />

Mungu.”<br />

“Sitaki mafundisho yenu mapya,” akajibu Calvin; “Unafikiri kwamba nimeishi katika<br />

kosa siku <strong>za</strong>ngu zote?” Lakini peke yake chumbani akatafakari maneno ya binamu (cousin)<br />

wake. Akajiona mwenyewe kuwa bila mpatanishi mbeie ya Mhukumu mtakatifu na wa haki.<br />

Matendo mazuri, sherehe <strong>za</strong> kanisa, yote yalikuwa bila uwezo kwa upatanisho kwa ajili ya<br />

<strong>za</strong>mbi. Ungamo, kitubio, hayakuwe<strong>za</strong> kupatanisha roho pamoja na Mungu.<br />

Ushahidi kwa Mchomo<br />

87

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!