21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

uchunguzi. Wangejazwa na hofu kuu kwa wazo la kujitoa kwa utawala wa pepo. Lakini<br />

wanajitayarisha kwa kiwanja kilichokatazwa, na mharibu wautumia uwezo wake, na<br />

anawashikilia kuwa watumwa. Hakuna kitu kingine kisipokuwa uwezo wa Mungu, kwa jibu<br />

kwa maombi ya bidii, inayowe<strong>za</strong>kuokoa nafsi hizi.<br />

Wote wanaolinda <strong>za</strong>mbi inayojulikana kwa makusudi wanaalika majaribu ya Shetani.<br />

Wanajitenga wenyewe kutoka kwa Mungu na ulinzi wa malaika <strong>za</strong>ke, na wanakuwa pasipo<br />

mateteo. “Na wakati wanapokuambia: Tafuta habari kwa watu wenye roho na kwa walozi<br />

wafumu, wanaolialia kama ndege na kunungunika, sema, haifai kwa watu kutafuta kwa<br />

Mungu wao? Waenda kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai? Kwa sheria na kwa<br />

ushuhuda! Kama hawasemi sawasawa na neno hili, kweli hapana asubui kwao.” Isaya 8:19,<br />

20.<br />

Kama watu wangekusudia kupokea ukweli juu ya asili ya mtu na hali ya wafu,<br />

wangeona katika imani ya kuwa roho ya watu waliokufa (spiritisme) uwezo wa Shetani na<br />

miuji<strong>za</strong> ya uwongo. Lakini wengi wanafunga macho yao kwa nuru, na Shetani anafuma<br />

mitego yake kwao. “Kwa sababu hawakupokea mapendo kwa kweli, wapate kuokolewa,”<br />

kwa sababu hii, “Mungu anawaletea nguvu ya upotevu, hata waamini uwongo.” 2<br />

Watesalonika 2:10, 11.<br />

Wale wanaopinga imani ya kuwako kwa roho ya watu waliokufa (spiritisme)<br />

wanashambulia Shetani na malaika <strong>za</strong>ke. Shetani hataacha hatua (=2,54cm) moja ya uwanja<br />

ila tu akisukumwa kwa nguvu na wajumbe wa mbinguni. Anawe<strong>za</strong> kutumia Maandiko na<br />

atapotosha maana ya mafundisho Wale watakaosimama kwa wakati huu wa hatari<br />

wanapashwa kufahamu wao wenyewe ushuhuda wa Maandiko.<br />

Pepo <strong>za</strong> mashetani wanaoiga ndugu ao rafiki watatokea kwa huruma <strong>za</strong> mapendo kwetu<br />

na watafanya miuji<strong>za</strong>. Inatupasa kuwazuia kwa njia ya kweli ya Biblia ya kwamba wafu<br />

hawajui kitu cho chote na ya kwamba wale wanaotokea ni pepo <strong>za</strong> mashetani.<br />

Imani yao yote haikuanzishwa kwa Neno la Mungu watadanganyiwa na kushindwa.<br />

Shetani “anatumika na madanganyo yote ya uovu, ” Na madanganyo yake yataongezeka.<br />

Lakini wale wanaotafuta maarifa ya kweli na safi nafsi <strong>za</strong>o katika utii watapata katika<br />

Mungu wa kweli ulinzi wa hakika. Mwokozi angetuma upesi kila malaika kutoka mbinguni<br />

kulinda watu wake kuliko kuacha nafsi moja inayotumaini kushindwa na Shetani. Wale<br />

wanaojifariji wenyewe kwa uhakikisho kwamba hakuna a<strong>za</strong>bu kwa ajili ya mwenye <strong>za</strong>mbi,<br />

wanaokataa kweli ambayo Mbingu inayotoa kama ulinzi kwa siku ya taabu, watakubali<br />

madanganyo yaliyotolewa na Shetani, madai ya imani ya madanganyo <strong>za</strong> watu waliokufa<br />

(spiritisme).<br />

Wenye kuzihaki wana<strong>za</strong>ni mi<strong>za</strong>ha matangazo ya Maandiko juu ya shauri la wokovu na<br />

malipo yatakayokuja ya wanaokataa kweli. Wanageu<strong>za</strong> jambo la kutia huruma kwa mawazo<br />

ya ushupavu, u<strong>za</strong>ifu, na mafundisho ya uchawi kama kutii matakwa ya sheria ya Mungu.<br />

233

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!